Rais Samia tunakuomba hutubia taifa, omba radhi, fanya maamuzi magumu ya kuvunja mkataba huu nchi ipone

Rais Samia tunakuomba hutubia taifa, omba radhi, fanya maamuzi magumu ya kuvunja mkataba huu nchi ipone

 
Saa 100 aombe msamaha thubutu!, alivyo na kiburi cha kizenji yule

Zaidi ataendeleza dharau na ligi kwa kukomoa watanganyika kwa tangazo la uteuzi lilojaa wazenji
Jamaa unamchukia S100 kwelikweli,kuna mtu alikuwa jeuri na kiburi kama Mwenda zake?
 
Rais umefanya mema na mazuri kupitia uongozi wako. Mungu mtakatifu ana kusudi la kukupa nafasi kuu ktk nchi yetu ktk mazingira uliopewa si Kwa mapenzi ya wanadamu Bali Mungu tu..Si Kwa wewe kutaka Bali neema tu.

Wengi sana walijitokeza (Watangaza nia)ili kupewa kijiti cha kupeperusha bendera ya CCM..Walilipa fedha, Walizunguka nchi nzima wakijinadi Kwa wanachama (Wajumbe) na wananchi. Mwenyezi Mungu hakuwapa nafasi kupitia michakato mbalimbali ya Chama na kitaifa..

Ilimpendeza Mungu Hayati JPM awe kiongozi Mkuu wa taifa hili tajiri na wewe kuwa Msaidizi wake au makamu wake. Mungu alimpangia Siku,saa,mazingira ya kutwaliwa ktk mwili..Mwili wake umefariki huku roho yake ikisubiri hukumu Kama ilivyo Kwa wanadamu wote Kwa mujibu wa maandiko..

Yamkini nia na makusudi ni njema kabisa Kwa mujibu wa upembuzi wa viongozi wetu haswaa ktk kukuletea taifa tija Kina endelea ELIMU, AFYA, MIUNDOMBINU, N.K. Kwa lilivyo hili jambo sio jepesi ni zito mnoo. Limeenea mnoo..Lina ukakasi mnoo,Halina amani. Halina furaha. Halina utulivu. Linachakata mioyo, roho, fahamu Za wananchi maskini, wenye kipato cha kati na wasomi (Elimu bure imeleta effect ktk fikra)..

Viongozi wetu, Mitihani ktk maisha ya Uongozi haina budi kuruhusiwa kuwapata..Fanyeni toba Kwa Mwenyezi Mungu. Ombeni hekima na busara. Fanyeni maamuzi magumu yenye kuleta amani,Utulivu na mshikamano..

Kwa Heshima na unyenyekevu mkubwa nikuombe Mh Rais ikikupendeza hutubia taifa Kwa muda utakaokufaa na Utoe ufafanuzi wa mapana,Omba radhi kwenye mapungufu, Elimisha itakapobidi,Wajibisha wanaopaswa kuwajibishwa ,Toa dira mahsusi, Kemea uzembe wote (Watumishi na Viongozi wote wa umma hutenda kazi Kwa niaba yako Mh Rais,..Huwezi kufika kila mahali. Huwezi soma kila kitu,Huwezi fuatilia kila jambo..Huwezi saini kila nyaraka.

Mwisho usisahau kuwasamehe wote wate waliokukosea,Kukuudhi,Kuumiza moyo,na kukukwaza sana ktk kipindi hiki..Ni mtihani kwako. Mwenyezi Mungu anatusamehe makosa yetu tunaposamehe wengine wanaotukosea.

Kwa kuwa watendaji wako na wasaidizi wako ni binadamu hivyo wana mapungufu Kwa namna moja au nyingine hivyo hawawezi kuwa sahihi Kwa kila jambo Kwa kuzingatia changamoto za kimazingira, elimu, Utandawazi na mengineo.

Nina imani Watanzania wana imani na uongozi wako na jitihada zote ufanyazo ktk kuimarisha na kujenga umoja wa kitaifa. Kwa hotuba yako mjadala utakoma na mengi mema yako na serikali yatatamalaki zaidi..
Kwani mkataba ulishasainiwa?
 
Rais umefanya mema na mazuri kupitia uongozi wako. Mungu mtakatifu ana kusudi la kukupa nafasi kuu ktk nchi yetu ktk mazingira uliopewa si Kwa mapenzi ya wanadamu Bali Mungu tu..Si Kwa wewe kutaka Bali neema tu.

Wengi sana walijitokeza (Watangaza nia)ili kupewa kijiti cha kupeperusha bendera ya CCM..Walilipa fedha, Walizunguka nchi nzima wakijinadi Kwa wanachama (Wajumbe) na wananchi. Mwenyezi Mungu hakuwapa nafasi kupitia michakato mbalimbali ya Chama na kitaifa..

Ilimpendeza Mungu Hayati JPM awe kiongozi Mkuu wa taifa hili tajiri na wewe kuwa Msaidizi wake au makamu wake. Mungu alimpangia Siku,saa,mazingira ya kutwaliwa ktk mwili..Mwili wake umefariki huku roho yake ikisubiri hukumu Kama ilivyo Kwa wanadamu wote Kwa mujibu wa maandiko..

Yamkini nia na makusudi ni njema kabisa Kwa mujibu wa upembuzi wa viongozi wetu haswaa ktk kukuletea taifa tija Kina endelea ELIMU, AFYA, MIUNDOMBINU, N.K. Kwa lilivyo hili jambo sio jepesi ni zito mnoo. Limeenea mnoo..Lina ukakasi mnoo,Halina amani. Halina furaha. Halina utulivu. Linachakata mioyo, roho, fahamu Za wananchi maskini, wenye kipato cha kati na wasomi (Elimu bure imeleta effect ktk fikra)..

Viongozi wetu, Mitihani ktk maisha ya Uongozi haina budi kuruhusiwa kuwapata..Fanyeni toba Kwa Mwenyezi Mungu. Ombeni hekima na busara. Fanyeni maamuzi magumu yenye kuleta amani,Utulivu na mshikamano..

Kwa Heshima na unyenyekevu mkubwa nikuombe Mh Rais ikikupendeza hutubia taifa Kwa muda utakaokufaa na Utoe ufafanuzi wa mapana,Omba radhi kwenye mapungufu, Elimisha itakapobidi,Wajibisha wanaopaswa kuwajibishwa ,Toa dira mahsusi, Kemea uzembe wote (Watumishi na Viongozi wote wa umma hutenda kazi Kwa niaba yako Mh Rais,..Huwezi kufika kila mahali. Huwezi soma kila kitu,Huwezi fuatilia kila jambo..Huwezi saini kila nyaraka.

Mwisho usisahau kuwasamehe wote wate waliokukosea,Kukuudhi,Kuumiza moyo,na kukukwaza sana ktk kipindi hiki..Ni mtihani kwako. Mwenyezi Mungu anatusamehe makosa yetu tunaposamehe wengine wanaotukosea.

Kwa kuwa watendaji wako na wasaidizi wako ni binadamu hivyo wana mapungufu Kwa namna moja au nyingine hivyo hawawezi kuwa sahihi Kwa kila jambo Kwa kuzingatia changamoto za kimazingira, elimu, Utandawazi na mengineo.

Nina imani Watanzania wana imani na uongozi wako na jitihada zote ufanyazo ktk kuimarisha na kujenga umoja wa kitaifa. Kwa hotuba yako mjadala utakoma na mengi mema yako na serikali yatatamalaki zaidi..
Kula chuma icho!
 
Kwa Heshima na unyenyekevu mkubwa nikuombe Mh Rais ikikupendeza hutubia taifa Kwa muda utakaokufaa na Utoe ufafanuzi wa mapana,Omba radhi kwenye mapungufu, Elimisha itakapobidi,Wajibisha wanaopaswa kuwajibishwa ,Toa dira mahsusi, Kemea uzembe wote (Watumishi na Viongozi wote wa umma hutenda kazi Kwa niaba yako Mh Rais,..Huwezi kufika kila mahali. Huwezi soma kila kitu,Huwezi fuatilia kila jambo..Huwezi saini kila nyaraka.
3FE3BA1A-9713-4F15-8294-949B87F4A1B6.jpeg.jpg
 
Umeandika vema. Sijui kama wanaweza kupona maana hatujui ugonjwa ulishaingia mwilini kwa kiasi gani maana wanajua kutunza siri. Ila neno moja ninaloliskia mijini na vijijini wanasema huyu hatufai, kama ameuza bandari zetu na zao hajauza hatufai aondokeeee. LAKINI sijui pia kama yeye au wao wanahisi maumivu ya watanganyika ktk hili.
Ukweli hafai hata kidogo
 
Hakika, anatakiwa kuomba radhi, kwasababu mpaka leo bado sijaona jibu lolote la maana toka kwa serikali yake kutetea ule mkataba wa kinyonyaji.

Zaidi, anathibitisha udhaifu wake, badala ya kusimama na kuonesha namna amejipanga kutatua tatizo, akiwa kama amiri jeshi mkuu, yeye ndio kwanza amejificha, hii nchi haina kiongozi kwa sasa.
Aibu sn kwa kweli
 
Mama hawezi kuomba radhi kwa jambo lenye maslahi kwa Watanzania. Tulieni tu faida za uwekezaji wa DP World mtazijua huko mbele ya safari.
 
Mh Rais Samia ni msikikivu Sana,Mnyenyekevu Sana,Muungwana sana,Mpole kwenye mambo yanayohitaji utulivu..Mwingi wa upendo..Ni Kiongozi Mahiri na amakwiva mnoo..

Mh Tundu Lissu alipopigwa lisasi Mh Samia alibeba dhamana kubwa kumtembelea pale Nairobi Hospital licha ya Upinzani mkubwa toka ktk Chama..Haikuwa jambo rahisi..Kwa kuzingatia mazingira na nyakati..Mama Ana utu mnoo..

Hakika Hana dharau Kwa wananchi (Maskini ,Matajiri,Wakulima na wafanyakazi,Wanamichezo,Wamachinga,Bodaboda,Wauza Baa,Wanafunzi..

Nina imani ni suala la muda atazungumza na watanzania na Kwa ujasiri na ushupavu mkubwa kuweka mambo sawa Kwa maslahi makubwa ya Taifa huku akidumisha mshikamano,uhuru,Umoja na Uzalendo..

Uhuru na maslahi mapana ya Taifa letu ni muhimu kuliko chochote..Ama Kwa hakika amesikia kilio,Ushauri,Hoja,Mapendekezo na matamanio ya wananchi walio wengi..
 
Mimi namshauri ang'atuke kabisa kwa kitendo alichofanya kutufanya kua submissive kwa waarabu

Hiyo haikupaliki kabisa pride ya Tanzania ni kubwa sana kujiuza kwa hao waarabu
Una akili za kizamani mno mkuu Mlamba. Dunia ya sasa hivi ni ya kutazama unaingiza nini hazina.

Man City wamenunuliwa na tajiri wa kiarabu na wamebeba makombe matatu kwa mara ya kwanza katika historia, ina maana na Waingereza na wao wamekuwa submissive kwa waarabu?.

Hawa DPW wapo Southampton na London wakifanya shughuli hizi hizi za bandari, kwa hiyo waingereza wameamua kwa dhati kabisa kuwa watumwa wa waarabu.

Hizi ni akili za kimaskini sana yarabi.
 
Back
Top Bottom