Rais Samia, tunaomba Umtoe Mkurugenzi wa NBS, atatuharibia Sensa. Hili ni suala la Kitaifa

Mbona hujaeleza jinsi sensa inavyoenda vibaya badala yake umeongelea porojo za sheria ya Takwimu aliyotunga Jiwe na ambayo iko ignored?
 
Sensa imeharibiwa na idadi ndogo ya makarani. Watu takribani 200,000 wawafanyie tathmini ya kina vile takribani watu 60 m sawa na karani 1: 300 watu.
 
Sensa imeharibiwa na idadi ndogo ya makarani. Watu takribani 200,000 wawafanyie tathmini ya kina vile takribani watu 60 m sawa na karani 1: 300 watu.

42 per day? mbona average kaka?

Yaan Watu 42 ni wengi per day? binafsi hata watu 60 ningehesabu bila mizaha na kujipiga mapicha[emoji3]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…