Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,916
- 43,505
Baada ya Mh Rais kusema wazi kuwa wananchi waambiwe kuwa gharama za umeme sio 27,000 tena kama alivyotangaza Rais mwaka jana.
Hivi gaharama za kuunganishiwa Umeme zanzibar zikoje?
ZESCO imekuwa ikidaiwa madeni mengi sana ya Umeme na Tanesco na wamekuwa wakitegemea kusamehewa na wakisha samehewa maana yake mzigo wa Umeme unabebwa na wananchi wa bara na ambao wameambiwa wazi kuwa gharama zinarudi kama kawa na wana matozo kama yote.
Kuna kipindi walitishia kutumia vibatari wakilazimisha wapewe umeme bure na Tanesco
Ni wakati Muafaka Mh Rais uwambie wazi wazanzibari na ZESCO kama ulivyo wambia Tanesco na watanganyika kuwa Umeme gharama zirudi kama kawaida na hakuna umeme wa 27,000/=
Hivyo ni wakati muafaka wa kuwambia ZESCO kuwa hakuna umeme wa bure lazima wachangie gharama za Umeme kama watanzania wote.......
.................
Hivi gaharama za kuunganishiwa Umeme zanzibar zikoje?
ZESCO imekuwa ikidaiwa madeni mengi sana ya Umeme na Tanesco na wamekuwa wakitegemea kusamehewa na wakisha samehewa maana yake mzigo wa Umeme unabebwa na wananchi wa bara na ambao wameambiwa wazi kuwa gharama zinarudi kama kawa na wana matozo kama yote.
Kuna kipindi walitishia kutumia vibatari wakilazimisha wapewe umeme bure na Tanesco
Ni wakati Muafaka Mh Rais uwambie wazi wazanzibari na ZESCO kama ulivyo wambia Tanesco na watanganyika kuwa Umeme gharama zirudi kama kawaida na hakuna umeme wa 27,000/=
Hivyo ni wakati muafaka wa kuwambia ZESCO kuwa hakuna umeme wa bure lazima wachangie gharama za Umeme kama watanzania wote.......
.................