Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
Wewe ibilisi hujui chochote kaa kimya....Hakuna aliye juu ya sheria ktk nchi hii
Sabaya alipokamatwa wote tulishangilia tukasema Mamá anaupiga mwingi sana, kwamba anatenda haki,
leo kadakwa Mbowe tunaanza kulialia eti hatendi haki
Sasa kuwa Mwenyekiti wa chama ndio ngao ya yeye kutokuchunguzwa au kuchukuliwa hatua!???
Na kuonesha namna Mbowe alivyo mnafiki,, kwenye msiba wa Kaka yake hakutaka watu wakusanyike msibani kisa kuepusha maambukizi ya Corona,
Msiba umeisha akawahi Mwanza kwenda kufanya mikusanyiko
Kwahyo Jamii yake ni bora sana ndio maana akailinda kuepusha maambukizi ila Jamii ya wanaMwanza wakafie mbali
Huu ni unafiki wenye roho ya uuaji na roho ya kishetani
Msiba ulikuwa hata haujaisha, Mbowe anajua kuwachezesha ngoma wafuasi wake, nadhani ashawajua ni watu wa mihemko. Ni Mbowe huyu huyu aliwadekisha barabara hili Lowassa apiteHakuna aliye juu ya sheria ktk nchi hii
Sabaya alipokamatwa wote tulishangilia tukasema Mamá anaupiga mwingi sana, kwamba anatenda haki,
leo kadakwa Mbowe tunaanza kulialia eti hatendi haki
Sasa kuwa Mwenyekiti wa chama ndio ngao ya yeye kutokuchunguzwa au kuchukuliwa hatua!???
Na kuonesha namna Mbowe alivyo mnafiki,, kwenye msiba wa Kaka yake hakutaka watu wakusanyike msibani kisa kuepusha maambukizi ya Corona,
Msiba umeisha akawahi Mwanza kwenda kufanya mikusanyiko
Kwahyo Jamii yake ni bora sana ndio maana akailinda kuepusha maambukizi ila Jamii ya wanaMwanza wakafie mbali
Huu ni unafiki wenye roho ya uuaji na roho ya kishetani
Siyi siri, matukio ya hivi karibuni dhidi ya vyama vya upinzani hayajafurahisha kitaifa wala kimataifa.
Hatua za kuvichukulia hatua vyama hivyo kwa kutumia nguvu ya dola na si nguvu ya hoja, imezua wingu zito juu ya dhamira ya mama kiuchumi.
Wengi tunajiuliza, je Mama anahujumiwa?
Hata hivyo the damage has been done!
Mama for your admirers ulianza vizuri na kumbuka hoja itapingwa na hoja nzuri zaidi na si dola.
Watu wako vzr ktk ulonzi wee ndio hujui tuSiyi siri, matukio ya hivi karibuni dhidi ya vyama vya upinzani hayajafurahisha kitaifa wala kimataifa.
Hatua za kuvichukulia hatua vyama hivyo kwa kutumia nguvu ya dola na si nguvu ya hoja, imezua wingu zito juu ya dhamira ya mama kiuchumi.
Wengi tunajiuliza, je Mama anahujumiwa?
Hata hivyo the damage has been done!
Mama for your admirers ulianza vizuri na kumbuka hoja itapingwa na hoja nzuri zaidi na si dola.
Mkuu mawazo yako siafiki maana two wrongs do not make a right.
Katika suala la upinzani, kuzima hoja kwa kutumia dola haijawahi kuwa na mashiko, na ndio maana tunasema mama kakosea.
Mimi ni mwana CCM long time.
Miaka hiyo tulikuwa na utamaduni wa kujibu hoja kwa hoja na si kujibu hoja kwa kutumia dola.
Hivi CCM haina watu kama Kingunge, Kunana, Makamba au Nape kujibu mashambulizi ya hoja za upinzani?
Siro akitumika kujibu hoja za upinzani basi sisi wa siku nyingi tunajua hapa hakuna mtu wa hoja.
Unachokitetea ni upumbavu. Je viongozi wa serikali ngazi zote wamesimamisha kukutana na wananchi ?!. Tumeshuhudia mawaziri , wakuu wa mikoa na wakuu wenyewe kila siku wakikutana na wananchi .Hakuna aliye juu ya sheria ktk nchi hii
Sabaya alipokamatwa wote tulishangilia tukasema Mamá anaupiga mwingi sana, kwamba anatenda haki,
leo kadakwa Mbowe tunaanza kulialia eti hatendi haki
Sasa kuwa Mwenyekiti wa chama ndio ngao ya yeye kutokuchunguzwa au kuchukuliwa hatua!???
Na kuonesha namna Mbowe alivyo mnafiki,, kwenye msiba wa Kaka yake hakutaka watu wakusanyike msibani kisa kuepusha maambukizi ya Corona,
Msiba umeisha akawahi Mwanza kwenda kufanya mikusanyiko
Kwahyo Jamii yake ni bora sana ndio maana akailinda kuepusha maambukizi ila Jamii ya wanaMwanza wakafie mbali
Huu ni unafiki wenye roho ya uuaji na roho ya kishetani
Usimtetee , haya mambo yameanza baada ya kauli kula Morogoro (chokochoko). Kiongozi ni kuchunga ndimi zakoInahisiwa mambo hayo yametengenezwa nje ya mama kwa masilahi binafsi na ya kuumiza nchi ,Samia Hana upuuzi huo hasa kwa namna ambavyo tumemjua ndani ya miezi mitatu ya awali ktk uongozi wake.
Hata hivyo nchi imeingia dosari kubwa ambapo baadhi ya wabinasi hawa wa madalaka hawakujua Kama itakuwa.
Tayari wawekezaji wakubwa na nchi rafiki za Ng,ambo zimetishwa na Hali hour ya mwendelezo wa ubinyaji demokrasia.
Huyu Mama nimoja ya wamama makatili kabisa kuwahi kuzaliwa hapa nchini..nilidhihirisha hili aliposemea hili suala la risasi 3.Alianzia wapi kuijenga vizuri? Huyu si alikuwa makamu wa rais?na alisema askari wao hawezi piga risasi zaidi.ya 3 akakosa na akabak kazini?ni wapi aliwahi onesha ana jenga utawala mzuri?
Wahenga walisema " mlevi hasifiwi".Mama for your admirers ulianza vizuri
nashauli mama atowe hicho kipengele kwenye katiba kinachowapa kchwa dema!!aweke kipengele kitakacholuhusu siasa baada ya mika 5 tu,,, maana ukivunja sheria et umeonewa mama alisema wamuache kwanza anajua jambo hilo ila wao wana fanya mikusannyiko kinyume na sheria mbali na hilo huu wakat s mzur kufanya mikusanyiko,, chadomo bwana vichwa ngumu kabisa,,,tena mama akaze kamba hawa watu sio wa kuwachekea watakuingza pabaya.Mkuu mawazo yako siafiki maana two wrongs do not make a right.
Katika suala la upinzani, kuzima hoja kwa kutumia dola haijawahi kuwa na mashiko, na ndio maana tunasema mama kakosea.
Mimi ni mwana CCM long time.
Miaka hiyo tulikuwa na utamaduni wa kujibu hoja kwa hoja na si kujibu hoja kwa kutumia dola.
Hivi CCM haina watu kama Kingunge, Kunana, Makamba au Nape kujibu mashambulizi ya hoja za upinzani?
Siro akitumika kujibu hoja za upinzani basi sisi wa siku nyingi tunajua hapa hakuna mtu wa hoja.
Huyu Mama nimoja ya wamama makatili kabisa kuwahi kuzaliwa hapa nchini..nilidhihirisha hili aliposemea hili suala la risasi 3.
Sema na akina Mboo we walikuwa na haraka bwana, yaani mama ndo kuingis wao washadai katiba kwann hawakudai wakati wa stone age ahaha
Mi sidhani kama kuna wakati maalumu wa kudai katiba. Hata wangesubiri baadaye wangeambiwa mlikuwa wapi kipindi cha mwanzo? Sasa hivi nipo busy na mambo ya msingi.Huyu Mama nimoja ya wamama makatili kabisa kuwahi kuzaliwa hapa nchini..nilidhihirisha hili aliposemea hili suala la risasi 3.
Sema na akina Mboo we walikuwa na haraka bwana, yaani mama ndo kuingis wao washadai katiba kwann hawakudai wakati wa stone age ahaha
Weka mambo wazi kama unalo la kusema.Watu wako vzr ktk ulonzi wee ndio hujui tu