Rais Samia tunasikitika kuona unaiumiza legacy yako uliyoanza kuijenga vizuri

Rais Samia tunasikitika kuona unaiumiza legacy yako uliyoanza kuijenga vizuri

Hakuna aliye juu ya sheria ktk nchi hii

Sabaya alipokamatwa wote tulishangilia tukasema Mamá anaupiga mwingi sana, kwamba anatenda haki,
leo kadakwa Mbowe tunaanza kulialia eti hatendi haki

Sasa kuwa Mwenyekiti wa chama ndio ngao ya yeye kutokuchunguzwa au kuchukuliwa hatua!???

Na kuonesha namna Mbowe alivyo mnafiki,, kwenye msiba wa Kaka yake hakutaka watu wakusanyike msibani kisa kuepusha maambukizi ya Corona,
Msiba umeisha akawahi Mwanza kwenda kufanya mikusanyiko

Kwahyo Jamii yake ni bora sana ndio maana akailinda kuepusha maambukizi ila Jamii ya wanaMwanza wakafie mbali

Huu ni unafiki wenye roho ya uuaji na roho ya kishetani
Hakuna aliyekuwa juu ya Sheria sasa kuwa mwenyekiti wa CCM ndiyo kuwabambikia kesi wapinzani kwa visingizio haramu vya kishamba na kishetani? Unafiki na roho ya kishetani mnayo nyinyi watengeneza kesi feki ili mpate kuharalisha uonevu unyanyasaji wenu wa kijinga na kishamba sana
 
'Team uchaguzi 2025' imeshamuweka kati kummaliza bila yeye kujua.
Bado kitambo kdg atakuja kugundua kuwa magaidi anao ndani ya chama chake.
Maana halisi ya ugaidi ni CCM kuwabambikia kesi wapinzani huo ndiyo maana halisi kuwabambikia kesi kesi ni Uonevu mkubwa na ugaidi upo CCM humo humo
 
Hakuna aliye juu ya sheria ktk nchi hii

Sabaya alipokamatwa wote tulishangilia tukasema Mamá anaupiga mwingi sana, kwamba anatenda haki,
leo kadakwa Mbowe tunaanza kulialia eti hatendi haki

Sasa kuwa Mwenyekiti wa chama ndio ngao ya yeye kutokuchunguzwa au kuchukuliwa hatua!???

Na kuonesha namna Mbowe alivyo mnafiki,, kwenye msiba wa Kaka yake hakutaka watu wakusanyike msibani kisa kuepusha maambukizi ya Corona,
Msiba umeisha akawahi Mwanza kwenda kufanya mikusanyiko

Kwahyo Jamii yake ni bora sana ndio maana akailinda kuepusha maambukizi ila Jamii ya wanaMwanza wakafie mbali

Huu ni unafiki wenye roho ya uuaji na roho ya kishetani
Huyo ms@ng# mbowe ni katili, muhuaji na mbinafsi sana kwann mahandamo hakutaka kufanyia kilimanjaro akataka aende kwa wakina sukuma gangs ambao anawadhiaki kila siku, pia nawalinda watu wake wa kilimanjaro dhidi ya corona alafu anataka kusambaza ugonjwa kwa watu wa Mwanza.
 
Hakuna aliye juu ya sheria ktk nchi hii

Sabaya alipokamatwa wote tulishangilia tukasema Mamá anaupiga mwingi sana, kwamba anatenda haki,
leo kadakwa Mbowe tunaanza kulialia eti hatendi haki

Sasa kuwa Mwenyekiti wa chama ndio ngao ya yeye kutokuchunguzwa au kuchukuliwa hatua!???

Na kuonesha namna Mbowe alivyo mnafiki,, kwenye msiba wa Kaka yake hakutaka watu wakusanyike msibani kisa kuepusha maambukizi ya Corona,
Msiba umeisha akawahi Mwanza kwenda kufanya mikusanyiko

Kwahyo Jamii yake ni bora sana ndio maana akailinda kuepusha maambukizi ila Jamii ya wanaMwanza wakafie mbali

Huu ni unafiki wenye roho ya uuaji na roho ya kishetani
Mikusanyiko ya yanga na simba kigoma mbowe ndiyo aliwakusanya mpaka kwenye Train ? Sabaya kafanya mabaya mengi lakini Makonda Bashite alifanya mabaya unyama mkubwa ikiwemo kwenda Dodoma na akina cyprian Musiba Heri kisanduku le mutuz kumpiga risasi Tundu lisu Mbona hajawahi kufikishwa mahakamaccm?acheni kutumia Polisiccm kukandamiza demokrasia kwa visingizio haramu vya kishamba na kishetani
 
Huyu bibi ni zaidi ya gaidi, katiba mpya imemtisha mpaka anafungulia watu kesi za ugaidi? hatari sn
Tatizo tunaloliona inaelekea mama anabambikwa uwajibikaji kwa maamuzi ambayo hakuyafanya.
Hayo ni maoni yangu.
 
Huyo ms@ng# mbowe ni katili, muhuaji na mbinafsi sana kwann mahandamo hakutaka kufanyia kilimanjaro akataka aende kwa wakina sukuma gangs ambao anawadhiaki kila siku, pia nawalinda watu wake wa kilimanjaro dhidi ya corona alafu anataka kusambaza ugonjwa kwa watu wa Mwanza.
Mkutano wa kudai katiba ni popote Tanzania ndiyo maana hata mikusanyiko mkubwa wa mechi ya Simba na Yanga uliofanyika kigoma kwa kupangwa na mwenyekiti wa TFF ambaye ni kada wa CCM, kongamano la kudai katiba litafanyika popote acheni kutengeneza mazingira ya kishamba ili kupata sababu za kuwabambikia kesi kesi wapinzani
 
Tatizo tunaloliona inaelekea mama anabambikwa uwajibikaji kwa maamuzi ambayo hakuyafanya.
Hayo ni maoni yangu.
Wapo wanufaika wa huu uonevu ambao hujilipa posho kwa visingizio vya kuendesha oparation za kuwakomoa wapinzani
 
Mama ametekwa na Majangiri wa kibinadamu. Tulimuonya afanye overhaul akasitasita. Yanaweza kumkuta asipate wa kumwokoa.
Wanufaika wa uonevu unyanyasaji kwa wapinzani wameaandaa bajeti kubwa wanajilipa pesa nyingi kwa visingizio vya kufanya uchunguzi wa ugaidi feki wa mbowe
 
Wajanja huko CCM sasa wanakula pesa kiulaini kwa visingizio vya kuweka mambo sawa kuidhoofisha chadema na upinzani kwa ujumla ikiwemo kuwapa pesa vyama Dhaifu kama TLP na vyenzao ili wapingane na chadema, huu ni mda wa wajanja kupiga pesa ni mradi haramu umebuniwa huko CCM kwa uratibu wa wajanja wachache
 
Mkuu mawazo yako siafiki maana two wrongs do not make a right.

Katika suala la upinzani, kuzima hoja kwa kutumia dola haijawahi kuwa na mashiko, na ndio maana tunasema mama kakosea.

Mimi ni mwana CCM long time.
Miaka hiyo tulikuwa na utamaduni wa kujibu hoja kwa hoja na si kujibu hoja kwa kutumia dola.

Hivi CCM haina watu kama Kingunge, Kunana, Makamba au Nape kujibu mashambulizi ya hoja za upinzani?
Siro akitumika kujibu hoja za upinzani basi sisi wa siku nyingi tunajua hapa hakuna mtu wa hoja.
Kikwete alishawaonya mkiona mnaanza kutegemea dola ili mfanikishe mambo yenu, basi mmekwisha.
Ni suala la Muda CCM itabaki madarakani ila kwa vitendo ambavyo mtakua mnakana uanachama japo mnatawala na kula mema ya nchi.
 
Kikwete alishawaonya mkiona mnaanza kutegemea dola ili mfanikishe mambo yenu, basi mmekwisha.
Ni suala la Muda CCM itabaki madarakani ila kwa vitendo ambavyo mtakua mnakana uanachama japo mnatawala na kula mema ya nchi.
Kulitegemea Dola kujibu mambo ya kisiasa hakujawahi kumwacha mtu salama kisiasa.
Mama inabidi akisuke chama ili mambo ya wapinzani yajibiwe na hoja.
 
Siyi siri, matukio ya hivi karibuni dhidi ya vyama vya upinzani hayajafurahisha Kitaifa wala Kimataifa.

Hatua za kuvichukulia hatua vyama hivyo kwa kutumia nguvu ya dola na si nguvu ya hoja, imezua wingu zito juu ya dhamira ya Rais kiuchumi.

Wengi tunajiuliza, je Mama anahujumiwa?

Hata hivyo the damage has been done!

Mama for your admirers ulianza vizuri na kumbuka hoja itapingwa na hoja nzuri zaidi na si dola.
Ni kweli hoja hpingwa na hoja.
Aliye kuwa raisi wa Zanzibar Amani Karume alisema mashekhe wa uamsho wana eleza umma kuhusu ubaya wa muungano na CCM itafute mashekhe wakueleza umma uzuri wa muungano.
hatimae CCM ilitumia nguvu na kuwakamata mashekhe.
CCM hawawezi kutumia hoja .
 
Wanufaika wa uonevu unyanyasaji kwa wapinzani wameaandaa bajeti kubwa wanajilipa pesa nyingi kwa visingizio vya kufanya uchunguzi wa ugaidi feki wa mbowe
Ndivyo wanavyofanya mwaka huu pesa imepelea wametuletea matozo
 
Ni kweli hoja hpingwa na hoja.
Aliye kuwa raisi wa Zanzibar Amani Karume alisema mashekhe wa uamsho wana eleza umma kuhusu ubaya wa muungano na CCM itafute mashekhe wakueleza umma uzuri wa muungano.
hatimae CCM ilitumia nguvu na kuwakamata mashekhe.
CCM hawawezi kutumia hoja .
Hoja isipojibiwa kwa hoja nzurizaidi , hii insonyesha udhaifu wa chama na kukosa itikadi!
 
Back
Top Bottom