Rais Samia tunasikitika kuona unaiumiza legacy yako uliyoanza kuijenga vizuri

Rais Samia tunasikitika kuona unaiumiza legacy yako uliyoanza kuijenga vizuri

Chadema mlifanya makosa sana tangia awali.

Yule ni Rais ,

Sio mama kama mnavyomuaddress.

Ndio ni mama ila akiwa na familia yake lakini haiondoi ukweli kuwa yule ni Rais wa JMT.

Mkitambua hilo mtafahamu namna ya kwenda nae.
 
Siyi siri, matukio ya hivi karibuni dhidi ya vyama vya upinzani hayajafurahisha kitaifa wala kimataifa.

Hatua za kuvichukulia hatua vyama hivyo kwa kutumia nguvu ya dola na si nguvu ya hoja, imezua wingu zito juu ya dhamira ya mama kiuchumi.

Wengi tunajiuliza, je Mama anahujumiwa?

Hata hivyo the damage has been done!

Mama for your admirers ulianza vizuri na kumbuka hoja itapingwa na hoja nzuri zaidi na si dola.
Mimi bado sijataka kuamini kama kweli ni yeye au la.
 
Chadema mlifanya makosa sana tangia awali.

Yule ni Rais ,

Sio mama kama mnavyomuaddress.

Ndio ni mama ila akiwa na familia yake lakini haiondoi ukweli kuwa yule ni Rais wa JMT.

Mkitambua hilo mtafahamu namna ya kwenda nae.
Mmeacha majonzi tena ya kumlilia shetani jiwe mmerudi kwa mama yetu?
 
Siyi siri, matukio ya hivi karibuni dhidi ya vyama vya upinzani hayajafurahisha kitaifa wala kimataifa.

Hatua za kuvichukulia hatua vyama hivyo kwa kutumia nguvu ya dola na si nguvu ya hoja, imezua wingu zito juu ya dhamira ya mama kiuchumi.

Wengi tunajiuliza, je Mama anahujumiwa?

Hata hivyo the damage has been done!

Mama for your admirers ulianza vizuri na kumbuka hoja itapingwa na hoja nzuri zaidi na si dola.
Mama ametekwa na Majangiri wa kibinadamu. Tulimuonya afanye overhaul akasitasita. Yanaweza kumkuta asipate wa kumwokoa.
 
Hakuna aliye juu ya sheria ktk nchi hii

Sabaya alipokamatwa wote tulishangilia tukasema Mamá anaupiga mwingi sana, kwamba anatenda haki,
leo kadakwa Mbowe tunaanza kulialia eti hatendi haki

Sasa kuwa Mwenyekiti wa chama ndio ngao ya yeye kutokuchunguzwa au kuchukuliwa hatua!???

Na kuonesha namna Mbowe alivyo mnafiki,, kwenye msiba wa Kaka yake hakutaka watu wakusanyike msibani kisa kuepusha maambukizi ya Corona,
Msiba umeisha akawahi Mwanza kwenda kufanya mikusanyiko

Kwahyo Jamii yake ni bora sana ndio maana akailinda kuepusha maambukizi ila Jamii ya wanaMwanza wakafie mbali

Huu ni unafiki wenye roho ya uuaji na roho ya kishetani
Wewe kweli kwa akili zako unaona Mbowe ni wa kulinganishwa na Sabaya? Kuitisha mkutano wa katiba ndio inakuwa kosa la ugaidi?! Inaona ni sawa tu!
 
Siyi siri, matukio ya hivi karibuni dhidi ya vyama vya upinzani hayajafurahisha kitaifa wala kimataifa.

Hatua za kuvichukulia hatua vyama hivyo kwa kutumia nguvu ya dola na si nguvu ya hoja, imezua wingu zito juu ya dhamira ya mama kiuchumi.

Wengi tunajiuliza, je Mama anahujumiwa?

Hata hivyo the damage has been done!

Mama for your admirers ulianza vizuri na kumbuka hoja itapingwa na hoja nzuri zaidi na si dola.
Yaani hata aibu huna! Mama aache magaidi wahujumu nchi watambe tu! by the way hawajakamatwa na Mama wamekamatwa kwa mujibu wa sheria
 
Hakuna aliye juu ya sheria ktk nchi hii

Sabaya alipokamatwa wote tulishangilia tukasema Mamá anaupiga mwingi sana, kwamba anatenda haki,
leo kadakwa Mbowe tunaanza kulialia eti hatendi haki

Sasa kuwa Mwenyekiti wa chama ndio ngao ya yeye kutokuchunguzwa au kuchukuliwa hatua!???

Na kuonesha namna Mbowe alivyo mnafiki,, kwenye msiba wa Kaka yake hakutaka watu wakusanyike msibani kisa kuepusha maambukizi ya Corona,
Msiba umeisha akawahi Mwanza kwenda kufanya mikusanyiko

Kwahyo Jamii yake ni bora sana ndio maana akailinda kuepusha maambukizi ila Jamii ya wanaMwanza wakafie mbali

Huu ni unafiki wenye roho ya uuaji na roho ya kishetani
Mbowe ni zaidi ya gaidi. Ova.
 
Chadema mlifanya makosa sana tangia awali.

Yule ni Rais ,

Sio mama kama mnavyomuaddress.

Ndio ni mama ila akiwa na familia yake lakini haiondoi ukweli kuwa yule ni Rais wa JMT.

Mkitambua hilo mtafahamu namna ya kwenda nae.
Alisha sema mimi ni Mama.
 
Gaidi Mbowe yupo chini ya ulinzi salama wa Polisi, nchi nzima imetulia hakuna matukio ya ajabu ajabu kama Uamsho walivyowekwa sehemu salama na Zenji ikatulia.
 
Yaani hata aibu huna! Mama aache magaidi wahujumu nchi watambe tu! by the way hawajakamatwa na Mama wamekamatwa kwa mujibu wa sheria
Ni ujinga ulioje kuamini kuwa chama cha upinzani wanafuga magaidi.
Ugaidi ulikuwa ule wa MKIRU.
Watu wameandikishwa katika daftari la vyama vya kisiasa, kikatiba halafu mijitu mijinga mijinga inawaita magaidi.
Mama anahujumiwa na watu kama ninyi wa Mwendazake.
 
Ni ujinga ulioje kuamini kuwa chama cha upinzani wanafuga magaidi.
Ugaidi ulikuwa ule wa MKIRU.
Watu wameandikishwa katika daftari la vyama vya kisiasa, kikatiba halafu mijitu mijinga mijinga inawaita magaidi.
Mama anahujumiwa na watu kama ninyi wa Mwendazake.
Mimi sidhanii kwamba sasa Serukali ya Mama Samia inaendesga sera za Mwendazake za kubambika kesi.
Kuna watu mana anawainea haya, achukue hatua.
 
Siyi siri, matukio ya hivi karibuni dhidi ya vyama vya upinzani hayajafurahisha kitaifa wala kimataifa.

Hatua za kuvichukulia hatua vyama hivyo kwa kutumia nguvu ya dola na si nguvu ya hoja, imezua wingu zito juu ya dhamira ya mama kiuchumi.

Wengi tunajiuliza, je Mama anahujumiwa?

Hata hivyo the damage has been done!

Mama for your admirers ulianza vizuri na kumbuka hoja itapingwa na hoja nzuri zaidi na si dola.
Huyu ni hatari sn hafai kuwa kiongozi ni zaidi ya gaidi
 
nashauli mama atowe hicho kipengele kwenye katiba kinachowapa kchwa dema!!aweke kipengele kitakacholuhusu siasa baada ya mika 5 tu,,, maana ukivunja sheria et umeonewa mama alisema wamuache kwanza anajua jambo hilo ila wao wana fanya mikusannyiko kinyume na sheria mbali na hilo huu wakat s mzur kufanya mikusanyiko,, chadomo bwana vichwa ngumu kabisa,,,tena mama akaze kamba hawa watu sio wa kuwachekea watakuingza pabaya.
Kajifunze kwanza kiswahili Bashite mkubwa
 
Unachokitetea ni upumbavu. Je viongozi wa serikali ngazi zote wamesimamisha kukutana na wananchi ?!. Tumeshuhudia mawaziri , wakuu wa mikoa na wakuu wenyewe kila siku wakikutana na wananchi .

Kongamano la Cdm lilikuwa na zaidi ya mwezi imeandaliwa kufanyika tena katika ukumbi na si mkutano wa hadhara . Na kinachodaiwa ni katiba mpya ya wananchi wote, si ya Cdm .

Leo mbona wanawaachia bila dhamana au masharti ?!. Kitumia nguvu ya dola kudhoofisha wapinzani wako si sawa. Ni uoga
Mwenge mbona unazunguka au corona inaogopa mwenge?
 
Huyu bibi ni zaidi ya gaidi, katiba mpya imemtisha mpaka anafungulia watu kesi za ugaidi? hatari sn
 
'Team uchaguzi 2025' imeshamuweka kati kummaliza bila yeye kujua.
Bado kitambo kdg atakuja kugundua kuwa magaidi anao ndani ya chama chake.
 
Back
Top Bottom