Rais Samia, tuondolee huyu RC Amos Makalla mkoa wa Dar es Salaam

Rais Samia, tuondolee huyu RC Amos Makalla mkoa wa Dar es Salaam

Jifunze kuonge na wakubwa;
Normally unapo-present challenge kwa watoa maamuzi jitahidi sana ku ainisha na mitigations za kutatua changamoto hiyo, binafsi nilidhani ungeainisha kuwa mbadala wa Makala kwa mkoa kama wa Dar ni nani angalau watatu...sasa yeye kwa kutumia vyombo vyake angefanya vetting na ku come up na conclusion. Au hata useme Makala anafaa wapi kwa kuwa Dar hafai....
Hebu nitokee hapa Hopeless Mmoja Wewe.
 
Bring Back Makonda,
Mkoa wa Dar ulinyoonywa na Yusuph Makamba na Paul Makonda tu,
Huu Mkoa bila kiongozi kujitoa ufahamu ni ngumu sana kuuendesha.
 
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Amos Makalla, amesema wahalifu wanaodaiwa kuwa Panyarodi waliovamia maeneo ya Bunju sio wakazi wa mkoa huo, kwani kazi ya kuwashughulikia wahalifu hao ilishaimaliza.

Wahalifu hao wakiwa kundi la watu wanaokadiriwa kuwa zaidi ya wanane, walifika kwenye mtaa makazi katika eneo la Bunju B Mtaa wa Idara ya Maji saa 8 usiku wa kuamkia jana Februari 10, 2023 na kujeruhi watu kwa mapanga.

Akizungumza leo Jumamosi Februari 11, 2023 alipokutana na uongozi wa Wamachinga na Bodaboda kupokea taarifa ya ziara yao nchini Rwanda, Makalla amesema wahalifu hao sio wakazi wa Dar es Salaam bali ni wa Mapinga mkoani Pwani.

Chanzo:
mwananchi_official

=======

Yaani RC wa Dar es Salaam Amos Makalla anakimbilia kusema hawa Panya Road si wakazi wa Mkoa wa Dar es Salaam kwakuwa tu huko nyuma aliendesha Oparesheni ya Zimamoto kisha akaja Ikulu Kwako Kukudanganya kuwa ameshawamaliza (Panya Road) wote hivyo leo anasema hawatoki Mkoani hapa Dar es Salaam ili usije Ukakasirika na Kumtumbua.

RC mwenye Akili timamu angesema kuwa kama Mkoa bado tunaendelea Kupambana kukabiliana na Panya Road na si Kukurupuka na kukimbilia kusema hawatoki Mkoani Dar es Salaam na Kusingizia Mikoa mingine ambayo ina Wakuu wa Mikoa very Intelligent and Committed kuliko Yeye.

Rais Samia Binafsi kama MINOCYCLINE ukimuondoa huyu Amos Makalla kama Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam nitakushukuru mno kwani hakufai, hana uwezo, muongo muongo na hajui anachokifanya na sijui ni kwanini Mama (Mheshimiwa) na Wewe ulikosea na ukamteua tena kwa Mkoa wenye 'Changanyikeni Brain' kama huu wa Dar es Salaam.

Nyumba uliyozaliwa tu na Kuishi (Kukulia) uliyoachiwa na Marehemu Baba yako iliyoko Kawe Ukwamani (Nyuma ya Hotel ya Victoria) inayotizama na Ghorofa Jipya la Tajiri wa Kiha Muyama One hadi Leo (miaka nenda rudi) umeshindwa Kuiboresha Kiujenzi mpaka inatia Aibu na Kukuaibisha ndiyo utauweza Mkoa wa Dar es Salaam na Kuuendeleza Kimaendeleo?

Hovyo kabisa!
Unamuondoaje mtu anayelinda maslahi yako?
 
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Amos Makalla, amesema wahalifu wanaodaiwa kuwa Panyarodi waliovamia maeneo ya Bunju sio wakazi wa mkoa huo, kwani kazi ya kuwashughulikia wahalifu hao ilishaimaliza.

Wahalifu hao wakiwa kundi la watu wanaokadiriwa kuwa zaidi ya wanane, walifika kwenye mtaa makazi katika eneo la Bunju B Mtaa wa Idara ya Maji saa 8 usiku wa kuamkia jana Februari 10, 2023 na kujeruhi watu kwa mapanga.

Akizungumza leo Jumamosi Februari 11, 2023 alipokutana na uongozi wa Wamachinga na Bodaboda kupokea taarifa ya ziara yao nchini Rwanda, Makalla amesema wahalifu hao sio wakazi wa Dar es Salaam bali ni wa Mapinga mkoani Pwani.

Chanzo:
mwananchi_official

=======

Yaani RC wa Dar es Salaam Amos Makalla anakimbilia kusema hawa Panya Road si wakazi wa Mkoa wa Dar es Salaam kwakuwa tu huko nyuma aliendesha Oparesheni ya Zimamoto kisha akaja Ikulu Kwako Kukudanganya kuwa ameshawamaliza (Panya Road) wote hivyo leo anasema hawatoki Mkoani hapa Dar es Salaam ili usije Ukakasirika na Kumtumbua.

RC mwenye Akili timamu angesema kuwa kama Mkoa bado tunaendelea Kupambana kukabiliana na Panya Road na si Kukurupuka na kukimbilia kusema hawatoki Mkoani Dar es Salaam na Kusingizia Mikoa mingine ambayo ina Wakuu wa Mikoa very Intelligent and Committed kuliko Yeye.

Rais Samia Binafsi kama MINOCYCLINE ukimuondoa huyu Amos Makalla kama Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam nitakushukuru mno kwani hakufai, hana uwezo, muongo muongo na hajui anachokifanya na sijui ni kwanini Mama (Mheshimiwa) na Wewe ulikosea na ukamteua tena kwa Mkoa wenye 'Changanyikeni Brain' kama huu wa Dar es Salaam.

Nyumba uliyozaliwa tu na Kuishi (Kukulia) uliyoachiwa na Marehemu Baba yako iliyoko Kawe Ukwamani (Nyuma ya Hotel ya Victoria) inayotizama na Ghorofa Jipya la Tajiri wa Kiha Muyama One hadi Leo (miaka nenda rudi) umeshindwa Kuiboresha Kiujenzi mpaka inatia Aibu na Kukuaibisha ndiyo utauweza Mkoa wa Dar es Salaam na Kuuendeleza Kimaendeleo?

Hovyo kabisa!
Mkuu unamchongea jirani yako mliyecheza naye utotoni!😀😀
 
Hebu nitokee hapa Hopeless Mmoja Wewe.
lete hoja za msingi, hoja kwamba aondolewe kwa sababu hajaendeleza nyumba yao ya urithi ni hoja mfisilisi isiyo na mashiko na siyo hoja ya kuiweka mezani!
 
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Amos Makalla, amesema wahalifu wanaodaiwa kuwa Panyarodi waliovamia maeneo ya Bunju sio wakazi wa mkoa huo, kwani kazi ya kuwashughulikia wahalifu hao ilishaimaliza.

Wahalifu hao wakiwa kundi la watu wanaokadiriwa kuwa zaidi ya wanane, walifika kwenye mtaa makazi katika eneo la Bunju B Mtaa wa Idara ya Maji saa 8 usiku wa kuamkia jana Februari 10, 2023 na kujeruhi watu kwa mapanga.

Akizungumza leo Jumamosi Februari 11, 2023 alipokutana na uongozi wa Wamachinga na Bodaboda kupokea taarifa ya ziara yao nchini Rwanda, Makalla amesema wahalifu hao sio wakazi wa Dar es Salaam bali ni wa Mapinga mkoani Pwani.

Chanzo:
mwananchi_official

=======

Yaani RC wa Dar es Salaam Amos Makalla anakimbilia kusema hawa Panya Road si wakazi wa Mkoa wa Dar es Salaam kwakuwa tu huko nyuma aliendesha Oparesheni ya Zimamoto kisha akaja Ikulu Kwako Kukudanganya kuwa ameshawamaliza (Panya Road) wote hivyo leo anasema hawatoki Mkoani hapa Dar es Salaam ili usije Ukakasirika na Kumtumbua.

RC mwenye Akili timamu angesema kuwa kama Mkoa bado tunaendelea Kupambana kukabiliana na Panya Road na si Kukurupuka na kukimbilia kusema hawatoki Mkoani Dar es Salaam na Kusingizia Mikoa mingine ambayo ina Wakuu wa Mikoa very Intelligent and Committed kuliko Yeye.

Rais Samia Binafsi kama MINOCYCLINE ukimuondoa huyu Amos Makalla kama Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam nitakushukuru mno kwani hakufai, hana uwezo, muongo muongo na hajui anachokifanya na sijui ni kwanini Mama (Mheshimiwa) na Wewe ulikosea na ukamteua tena kwa Mkoa wenye 'Changanyikeni Brain' kama huu wa Dar es Salaam.

Nyumba uliyozaliwa tu na Kuishi (Kukulia) uliyoachiwa na Marehemu Baba yako iliyoko Kawe Ukwamani (Nyuma ya Hotel ya Victoria) inayotizama na Ghorofa Jipya la Tajiri wa Kiha Muyama One hadi Leo (miaka nenda rudi) umeshindwa Kuiboresha Kiujenzi mpaka inatia Aibu na Kukuaibisha ndiyo utauweza Mkoa wa Dar es Salaam na Kuuendeleza Kimaendeleo?

Hovyo kabisa!
Nyie mnalala mnakoroma vifuani mwa wake zeni mnashindwa kuungana kuuwa hao watoto wa panyaroad?
 
Back
Top Bottom