#COVID19 Rais Samia: Tupo hatua za mwisho za kuagiza chanjo

#COVID19 Rais Samia: Tupo hatua za mwisho za kuagiza chanjo

Najiuliza hii chanjo kutolewa kwa hiari hakuwezi kuleta madhara huko mbele ya safari kwa wale watakaokuwa hawajachanjwa kuendeleza maambukizi?

Sikumbuki kama na huko kwingine duniani hiyo chanjo ilitolewa kwa hiari, mfano tunaona nchi kama Uganda, japo wapo waliochanjwa lakini bado Corona inawasumbua.

Hii Corona tusipoichukulia serious tutakuwa tunajaza maji kwenye ndoo iliyotoboka, kama chanjo wanaziamini hazina madhara, kwanini zisiwe lazima, wengine wataelewa umuhimu wakishachanjwa.

Mambo huenda pole pole mkuu.

Baadaye kama huna chanjo hakuna admission here and there.

Muhimu ni kuchanjwa kwanza. Wengine watajiju.
 
Ni ipi hasa inayoletwa Pfizer,Johnson&Johnson au Moderna?

Au ni Ile Abdala ya Cuba ama bado ni Siri.

Badala ya kuendelea na kauli kama,"Itakuwa hiari" ni vyema elimu itolewe kuhamasisha watu waone umuhimu wa hiyo chanjo.

Abdala inawafaa MATAGA. Sisi wanatuletea zile za mabeberu. Mwigulu kathibitisha hilo.
 
Corona ni shetani anayetafuna mamia ya watu, na haitakaa iishe hii, inawachukia zaidi wanaotoka hadharani kuikemea na kuonyesha mpango wake muovu dhidi ya dunia ya leo

Wasema ukweli wote watatafunwa na corona kwa njia yoyote Ile, lengo lake ni ili ipate nguvu kote duniani na kupunguza idadi ya watu ili kuendana na rasilimali za dunia ya leo, Sure, Biblia ni kitabu cha ajabu sana haijapata kuwako kitabu kingine chote chenye kufunua mambo ya kabla ya miaka elfu

Hii korona, haitakaa iishe, itakuwa kama ukimwi na malalia, kirusi chenye uwezo wa kujibadirisha mara nyingi zaidi, Ni hatari na changamoto kwa wabobevu wa sayansi ya tiba

Mungu Tulinde na uwape uwezo zaidi wanasayansi hasa wa Kiafrica ili tuondokane na mpango wa kibinadamu kwa nguvu za lusifa
Wapumbavu watakupinga:.
Korona sio kitu cha bahati nasibu ni mpango wa dunia.

Biblia imeyasema yote haya!
 
Is there a vaccine for COVID-19?
When will COVID-19 vaccines be ready for distribution?
Will COVID-19 vaccines provide long-term protection?

Because COVID vaccines have only been developed in the past months, it’s too early to know the duration of protection of COVID-19 vaccines. Research is ongoing to answer this question. However, it’s encouraging that available data suggest that most people who recover from COVID-19 develop an immune response that provides at least some period of protection against reinfection – although we’re still learning how strong this protection is, and how long it lasts.
 
Najiuliza hii chanjo kutolewa kwa hiari hakuwezi kuleta madhara huko mbele ya safari kwa wale watakaokuwa hawajachanjwa kuendeleza maambukizi?

Sikumbuki kama na huko kwingine duniani hiyo chanjo ilitolewa kwa hiari, mfano tunaona nchi kama Uganda, japo wapo waliochanjwa lakini bado Corona inawasumbua.

Hii Corona tusipoichukulia serious tutakuwa tunajaza maji kwenye ndoo iliyotoboka, kama chanjo wanaziamini hazina madhara, kwanini zisiwe lazima, wengine wataelewa umuhimu wakishachanjwa.

Serikali tu inakurupuka na kutaka kufurahisha wajinga, hizi chanjo kama watakao chanja ni chini ya kiwango fulani, zinakuwa hazina maana kwani wale virus wataendelea kuwa katika jamii na ku mutate into very serious types, kama hii ya Delta iliyotoka India. Kwa hiyo kuna muda tutalazimika kuhakikisha watu wengi zaidi wanachanjwa, sasa unaposema ni hiari na ulishatoa propaganda za kijinga kama tulizoshuhudia kipindi kilichopita unategemea nini?
 
Serikali tu inakurupuka na kutaka kufurahisha wajinga, hizi chanjo kama watakao chanja ni chini ya kiwango fulani, zinakuwa hazina maana kwani wale virus wataendelea kuwa katika jamii na ku mutate into very serious types, kama hii ya Delta iliyotoka India. Kwa hiyo kuna muda tutalazimika kuhakikisha watu wengi zaidi wanachanjwa, sasa unaposema ni hiari na ulishatoa propaganda za kijinga kama tulizoshuhudia kipindi kilichopita unategemea nini?
Wewe umenielewa, ila bado wengine wanashangaa tu nilichoandika.
 
Mkuu, hata US sio raia wote wanachanjwa. Kuna jamii ya watu wako against Chanjo siku zote, sio tuu z COVID-19,Bali hata Chanjo ya mafua mengine. So Chanjo inabaki kua lazima.
Kabisa! Hasa wale wanaomfuata Trump (aliyebuni lugha ya "shithole countries" kwa nchi za Afrika). Katika majimbo ambako wafuasi wa Trump ni wengi idadi ya waliochanjwa ni wachache na namba ya vifo iko juu zaidi kuliko wastani ya Marekani.
 
Hayo ni mambo yake binafsi kwani wewe unajua kila kitu kwa kila mtu unayemuamini?
Kuna watu hapa wanamuamini Mbowe ila masuala ya ulevi wake na yule kimada wake yanabaki kuwa ni mambo binafsi ya Mbowe.
hakuna mambo ya binafsi kwa kiongozi wa kidini au kisiasa. Ukishakuwa kwenye nafasi kama hiyo hutakiwi kuembea na vimada, iwe Mbowe au Gwajima. Bado nauliza: Kwa nini Gwajima anafanya uasherati wakati ni kiongozi wa dini? Tena anafikia hatua ya kurekodi clip kabisa.
 
Kuna ambazo zilikamilisha majaribio baada ya miaka 30......utatujazia fomu yetu ili ushiriki kwenye jaribio letu, thank you in advance...
Hujatengeneza chanjo hata moja utajuaje muda wa majaribio. Infact ufahamu wako kuhusu chanjo ni sifuri utafahamuje muda wa majaribio? Nyie watu ni ma-zumbukuku kweli kweli. Mwendazake aliwaokota kweli. Chanjo nyingine mnakimbilia ikija hii mnajifanya kuleta hoja za kuzuzu wakati watengenezaji ndiyo hao hao. Nani anuie kukudhuru wakati maisha yako ni ya kuokoteza kama koko?
 
hakuna mambo ya binafsi kwa kiongozi wa kidini au kisiasa. Ukishakuwa kwenye nafasi kama hiyo hutakiwi kuembea na vimada, iwe Mbowe au Gwajima. Bado nauliza: Kwa nini Gwajima anafanya uasherati wakati ni kiongozi wa dini? Tena anafikia hatua ya kurekodi clip kabisa.
Hiyo ni wewe ila watu huyatambua hayo kama mambo yao binafsi ndio maana pamoja yote hayo ila bado wanaheshimika.
 
Hiyo ni wewe ila watu huyatambua hayo kama mambo yao binafsi ndio maana pamoja yote hayo ila bado wanaheshimika.
Wanaheshimika na wajinga wasiojielewa. Mimi mtu kama Gwajima kwangu ni tapeli tu na anaingizia nchi hasara tu. Mwasherati mkubwa.
 
Wanaheshimika na wajinga wasiojielewa. Mimi mtu kama Gwajima kwangu ni tapeli tu na anaingizia nchi hasara tu. Mwasherati mkubwa.
Ndio maana nikakuuliza hao unaowaheshimu wewe unajua mambo yao yote? Sasa usherati wa Gwajima au Mbowe umeathiri vp katika shughuli zake?
 
Ndio maana nikakuuliza hao unaowaheshimu wewe unajua mambo yao yote? Sasa usherati wa Gwajima au Mbowe umeathiri vp katika shughuli zake?
Kama anafanya kwa kificho na mimi sijagundua hilo halina shida. Lakini mara arobaini yake ikifika kama ya Gwajima ilipofika basi nitamuona haifai kabisa kabisa. Usijitoe ufahamu ujifanye kama hujui Gwajima anajifanya ni kiongozi wa dini tena mlokole!
 
Mama, hizo hatua za mwisho zisije kukamilika wakati tumekwisha!
 
Hujatengeneza chanjo hata moja utajuaje muda wa majaribio. Infact ufahamu wako kuhusu chanjo ni sifuri utafahamuje muda wa majaribio? Nyie watu ni ma-zumbukuku kweli kweli. Mwendazake aliwaokota kweli. Chanjo nyingine mnakimbilia ikija hii mnajifanya kuleta hoja za kuzuzu wakati watengenezaji ndiyo hao hao. Nani anuie kukudhuru wakati maisha yako ni ya kuokoteza kama koko?
Sawa mbwa koko..
 
Ukishachanjwa unakuwa na kinga hivyo hautopata virusi vya Corona, sasa kuna haja gani kumlazimisha asiyetaka kuchanjwa?

I smell something fishy. 👹
 
Kama anafanya kwa kificho na mimi sijagundua hilo halina shida. Lakini mara arobaini yake ikifika kama ya Gwajima ilipofika basi nitamuona haifai kabisa kabisa. Usijitoe ufahamu ujifanye kama hujui Gwajima anajifanya ni kiongozi wa dini tena mlokole!
Mbona Mbowe humtaji? maana umemshikilia Gwajima tu.
 
Back
Top Bottom