#COVID19 Rais Samia: Tupo hatua za mwisho za kuagiza chanjo

#COVID19 Rais Samia: Tupo hatua za mwisho za kuagiza chanjo

Hueleweki. Mjaribio yalishapita. Labda useme hukuwa na habari walipoanza majaribio. Yalianza mwezi May mwaka jana na phase ya mwisho ilikuwa mwezi November mwaka jana.
Hakuna chanjo inayokamilisha majaribio ndani ya mwaka mmoja......minimum angalau miaka 5.
 
Mkuu duniani karibu kila sehemu chanjo ni hiari. Ulaya, Marekani na Asia kote ni hiari. Uzuri ni kuwa nchi nyingi watu wana akili hivyo wamejitokeza kuchanja. Upinzani wa kijinga naona upo Bongo tu. Nadhani hata wanaopinga ni wajinga wachache tu. Utashangaa zikija watu watakavyozigombania.
Nakumbuka chanjo uya meningitis ,ilibidi polisi waletwe kuzuia vurugu za watu kugombea chanjo,maana manesi walikuwa wanapitisha ndugu zao tu.
 
Hakuna chanjo inayokamilisha majaribio ndani ya mwaka mmoja......minimum angalau miaka 5.
🤣Kwani chanjo zote ulizotengeneza zilichukuwa miaka angau mitano ewe mtaalam wa kiafrika? Hebu nitajia angalau moja! Kukaririshwa bila kutumia akili ni kitu kibaya sana. Hii unaonyesha najadiliana mtu asiye na abc za nini kumetokea tangu chanjo zianze hatua ya mwanzo kabisa. Kwa namna hii nitakusamahe unapokuwa unaandika maluweluwe unayoandika.
 
Nakumbuka chanjo uya meningitis ,ilibidi polisi waletwe kuzuia vurugu za watu kugombea chanjo,maana manesi walikuwa wanapitisha ndugu zao tu.
Hata hii ikija itapa watu wengi tu. Magufuli alidharau mwishowe yakampata. Mawaziri wake wengi walikuwa wametoroka kwenda kuchanja yeye akadhani wanamtii. Hata hivyo siwacheki. Ni mjinga tu angesikiliza ''utaalam'' wake fyongo.
 
🤣Kwani chanjo zote ulizotengeneza zilichukuwa miaka angau mitano ewe mtaalam wa kiafrika? Hebu nitajia angalau moja! Kukaririshwa bila kutumia akili ni kitu kibaya sana. Hii unaonyesha najadiliana mtu asiye na abc za nini kumetokea tangu chanjo zianze hatua ya mwanzo kabisa. Kwa namna hii nitakusamahe unapokuwa unaandika maluweluwe unayoandika.
Kuna ambazo zilikamilisha majaribio baada ya miaka 30......utatujazia fomu yetu ili ushiriki kwenye jaribio letu, thank you in advance...
 
Nakumbuka chanjo uya meningitis ,ilibidi polisi waletwe kuzuia vurugu za watu kugombea chanjo,maana manesi walikuwa wanapitisha ndugu zao tu.
Meningitis ni ugonjwa gani?
 
USA CHANJO NI 66.53% lakini majimbo masikini sana ndiyo wa mwisho hawa ndiyo wapenda vijimaneno vya uongo na wanakufa kwelikweli sasa

49. Arkansas
Number of people fully vaccinated: 1,055,646
Percentage of population fully vaccinated: 34.98%

50. Mississippi
Number of people fully vaccinated: 997,569
Percentage of population fully vaccinated: 33.52%

51. Alabama
Number of people fully vaccinated: 1,638,866
Percentage of population fully vaccinated: 33.42%
 
Nutaendelea kumkumbuka Magufuli NI mtu anbaye alisoma na kuelimika kuliko wengi wetu maana michango ya wadau elimu ni kukaririshwa sio kuelewa
 
Kwa nini Gwajima anatafuna kondoo wake, tena anajirekodi? Wewe unayedanganywa na tapeli kama yule na mimi ni nani mjinga?
Hayo ni mambo yake binafsi kwani wewe unajua kila kitu kwa kila mtu unayemuamini?
Kuna watu hapa wanamuamini Mbowe ila masuala ya ulevi wake na yule kimada wake yanabaki kuwa ni mambo binafsi ya Mbowe.
 
Rais Samia Suluhu Hassan amesema serikali ipo katika hatua za mwisho za kuagiza chanjo ya COVID19

Amesema ni muhimu iwepo ili anayetaka kuchoma aipate kiurahisi kwa kuwa matumizi ya chanjo hiyo itakuwa hiyari

Amesema hayo alipokuwa katika Kongamano la Kumbukumbu ya Rais wa Awamu ya tatu, Hayati Benjamin Mkapa

IMG-20210714-WA0009.jpg

Serikali kujitoa kwenye afya za watu wake ni hatari sana.......yaani ilete madhara useme huhusiki? Maana ya Serikali itakuwa haipo tena zaidi ya jina tu
 
Kama zimekamilisha hatua zote za majaribio na zikapata final approval, huhitaji ku sign consent form zinatakiwa tu ziambatane tu na information leaflets, sijui kama naeleweka...
Labda ungemuuliza pia kwa Nini chanjo za Surua,pepopunda nk hazina consent form? Kwanini ya corona ihitaji consent form?
 
Hakuna chanjo inayokamilisha majaribio ndani ya mwaka mmoja......minimum angalau miaka 5.
Kama wewe u mtaalamu vile, mbona hushauri nchi hizi zote ambazo zimetumia bilioni nyingi kuchanja watu wao? Je hawatakai kuelewa kwamba wanaua raia wao?
Au labda wameridhika majaribio yalitosha?
Unasemaje?
 
Hiki kinachozungumziwa hapa ni sawa na "side effects" na dawa nyingi kwa kawaida zina "side effects" kwa watumiaji, ila sio watumiaji wote hudhuriwa na hizo "side effects", sasa hapa ni jukumu la serikali kuwaelewesha wananchi wake wajue hili jambo ili wengi wasiogope kuchanjwa.
Dawa zote Zina side effects lakini mbona mfano zile za malaria tukinunua hatujazi fomu??

Hapa wapo kwenye majaribio.

Hii kitu Bado sio safe...

Ukitaka kapate mwenyewe na familia yako lakini usichume dhambi ya kudanganya wengine.
 
Back
Top Bottom