Tangawizi
JF-Expert Member
- Jun 25, 2009
- 6,696
- 6,734
Sisi wengine tunajichanja kwa nyungu... asante sana Mheshimiwa Rais; harakisheni hizo chanjo watanzania tunateketea! Asiyetaka akafie mbali; hutaki tiba tupishe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sisi wengine tunajichanja kwa nyungu... asante sana Mheshimiwa Rais; harakisheni hizo chanjo watanzania tunateketea! Asiyetaka akafie mbali; hutaki tiba tupishe.
Chanzo chako? Una namba gani??? kama huna heri ukielimishe kwanza.Hakuna mtu atakuwa responsible kwa madhara yatayotokana na hiyo chanjo.
Meaning Kuna possibility ya kuwepo madhara.
It is not safe.
Mamayooooooooooooòoooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooòooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo ndio hapanaaaaaaaaaaa\aa\aaaaaa\aaaaaaaaa\aaaaaaaaaaaaaaaaaa\aaa\aaaaaaaaaaaaaaaaaaa\aaaaaaaaaawawa tuache utoto wino wa simu hauishiChanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Chanjo hapana
Hawajanipa kazi ya kuwashauri...Kama wewe u mtaalamu vile, mbona hushauri nchi hizi zote ambazo zimetumia bilioni nyingi kuchanja watu wao? Je hawatakai kuelewa kwamba wanaua raia wao?
Au labda wameridhika majaribio yalitosha?
Unasemaje?
Mtu mmoja kutumia daaa fulani ikamdhuru haina maana na mimi nikitumia dawa hiyo itanidhuru, huko nchi walizochanjwa imeonesha wengi kati ya wanaopata chanjo hawadhuriki popote.Dawa zote Zina side effects lakini mbona mfano zile za malaria tukinunua hatujazi fomu??
Hapa wapo kwenye majaribio.
Hii kitu Bado sio safe...
Ukitaka kapate mwenyewe na familia yako lakini usichume dhambi ya kudanganya wengine.
Mkuu, hata US sio raia wote wanachanjwa. Kuna jamii ya watu wako against Chanjo siku zote, sio tuu z COVID-19,Bali hata Chanjo ya mafua mengine. So Chanjo inabaki kua lazima.Najiuliza hii chanjo kutolewa kwa hiari hakuwezi kuleta madhara huko mbele ya safari kwa wale watakaokuwa hawajachanjwa kuendeleza maambukizi?
Sikumbuki kama na huko kwingine duniani hiyo chanjo ilitolewa kwa hiari, mfano tunaona nchi kama Uganda, japo wapo waliochanjwa lakini bado Corona inawasumbua.
Hii Corona tusipoichukulia serious tutakuwa tunajaza maji kwenye ndoo iliyotoboka, kama chanjo wanaziamini hazina madhara, kwanini zisiwe lazima, wengine wataelewa umuhimu wakishachanjwa.
Wewe umeelimika? Kwa vitu unavyoandika hapa unaonekana ni jinga la mwisho kabisaTatizo kuna watu mnaichukulia chanjo kama dawa au tiba, kutoelimika ni mzigo mkubwa.......
Wewe ulivyoandika viko wapi mama...Wewe umeelimika? Kwa vitu unavyoandika hapa unaonekana ni jinga la mwisho kabisa
Hapo maana yake serikali inatumika kama wakala wa jaribio la chanjo ya mabeberu, makampuni ya chanjo ndo hasa yanayohusika na utafiti.......utaona kwamba yamejificha kwenye mgongo wa serikali yafanye majaribio yao bila kutoa fidia wala kuwajibika kwa madhara yoyote yatakayojitokeza.View attachment 1854063
Serikali kujitoa kwenye afya za watu wake ni hatari sana.......yaani ilete madhara useme huhusiki? Maana ya Serikali itakuwa haipo tena zaidi ya jina tu
Siwezi kuandika kama sina cha kuandika dada, bora kukaa kimya kuliko kuwaita wenzio hawajaelimika wakati wewe unaonekana stupid kabisaWewe ulivyoandika viko wapi mama...
Wewe ni mmoja wa panya wa majaribio?Siwezi kuandika kama sina cha kuandika dada, bora kukaa kimya kuliko kuwaita wenzio hawajaelimika wakati wewe unaonekana stupid kabisa
Ahaaa! panya la majaribio hili huku....Nyie endelezeni ubishi usio na maana, mimi binafsi nishachanja and nipo poa tu. Ila wengi wanaobishia chanjo inaonesha wanaishi Litapwasi huko, hawana hata ndoto ya kutoka nje ya wilaya ya Songea vijijini.
Kwa hiyo sisi wa Litapwasi unaona sio Binadamu sio.Nyie endelezeni ubishi usio na maana, mimi binafsi nishachanja and nipo poa tu. Ila wengi wanaobishia chanjo inaonesha wanaishi Litapwasi huko, hawana hata ndoto ya kutoka nje ya wilaya ya Songea vijijini.
Endelea na Ukinjeketile wakoKwa hiyo sisi wa Litapwasi unaona sio Binadamu sio.
Wewe ni mjanja wa Las Vegas sio.
Siku zako zinahesabika.
Wa Litapwasi utawaacha wanaishi.
Hebu soma kwenye hii website tena ya WHO ndio uanze kujadili - Coronavirus disease (COVID-19): VaccinesEti papai lina corona!! Hivi ukichukua sample ya mkojo ukaweka kwenye kipimio cha malaria unategemea majibu yatakuwaje? Kwanza kipimio chenyewe unakuwa umekichanganya kabisa! Jiwe sijui chemistry yake alisomea wapi.
Hebu soma kwenye hii website tena ya WHO ndio uanze kujadili - Coronavirus disease (COVID-19): VaccinesEti papai lina corona!! Hivi ukichukua sample ya mkojo ukaweka kwenye kipimio cha malaria unategemea majibu yatakuwaje? Kwanza kipimio chenyewe unakuwa umekichanganya kabisa! Jiwe sijui chemistry yake alisomea wapi.