#COVID19 Rais Samia: Tupo hatua za mwisho za kuagiza chanjo

#COVID19 Rais Samia: Tupo hatua za mwisho za kuagiza chanjo

Right now the French People are protesting/rioting over the mandatory vaccinations instituted by President Macron...There is a lesson here
Itafikia hatua watu watachanja kwa mtutu wa bunduki, utawala wa mnyama unaanza kujifunua.....
 
Mwenye kuitaka basi na apewe . Kwasasa ni hiyari ya mtu mwenyewe
 
Kama chanjo ya corona ingekuwa ndo Kinga Ulaya na Marekani wangekuwa hawafi mpaka Sasa,maana ndo zinatengenezwa huko.

Kama virus wa Corona angekuwa habadiliki Basi ingekuwa na maana.

Kama waliochomwa wangekuwa hawaambukizwi na kufa baada ya kuchanjwa ingeleta maana.

Kama nchi jirani waliochomwa ndo wanaoongoza kwa vifo pamoja lockdown Basi chanjo itakuwa kuwafurahisha wazungu tu ili utawala huu uonekane was maana machoni pa wazungu.

Kama Kuna Jambo baya litakalokuja kumharibia mama yetu legacy yake Basi ni hili la Corona.
Muda utatoa wapotoshaji endeleeni kumpotosha mama
Hata kama hupewi consent forms hospitali, lakini bado hizo dawa unazopewa ukienda kuzitumia zinaweza kukudhuru.
Consent form za chanjo ya Corona zimetoka ajabu imeandikwa Serikali haitahusika na madhara yoyote yatakayotokea kwa aliyechanjwa.
Sasa Kama hazina madhara kwanini waseme hawako responsible na madhara yatakayotokea?

Na kwanini Sasa wakimbilie tu kuagiza huku wakijua Zina madhara?
 
Hata kama hupewi consent forms hospitali, lakini bado hizo dawa unazopewa ukienda kuzitumia zinaweza kukudhuru.
Ukisoma ile karatsi ya maelezo kwenye box la dawa, imeweka maelezo namna dawa inavyoingia na kufanya kazi na side effects zinazoweza kujitokeza na namna ya kuzithibiti, lakini hizo dawa tayari zilishapita hatua za majaribio na kupewa approval kiasi kwamba huhitaji consent form bali maelezo kwa mtumiaji.......hata kwa chanjo zenye final approval huhitaji consent form bali maelezo kama ilivyo kwa dawa. Consent form ni kitu tofauti kabisa, maana yake hizo chanjo bado ziko kwenye majaribio, ndo maana zinaitwa 'experimental vaccines'
 
Itafikia hatua watu watachanja kwa mtutu wa bunduki, utawala wa mnyama unaanza kujifunua.....
Na hapa ndipo watawala watakapoiweza Dunia nzima,they know we are in a dire situation ,they manufactured a virus, exported it to the entire world, concerted power while people gave up their freedoms and locked them up for an entire year,,rolled out a vaccine just in time to be welcomed as saviors because they know there are segments of the population who saw their relatives suffer and even die and will do anything to not suffer the same fate...but hold on!they say ,before we give you the jab there is a catch,it doesn't prevent re-infection but again also you have to take it annually,also later you need to have a third booster shot later in that year...wakaongeza tena while we do that to make sure you are following our orders ,we will control your movements and any freedom you have through qn immunization passport,,this was the big plan!but it is starting to fracture because not every leader was in on it and the various mutated to a less deadly variant earlier than expected.....vaccine and lockdown skeptics are shunned by tech companies et al. With so much power that it made me skeptical too
 
Ukisoma ile karatsi ya maelezo kwenye box la dawa, imeweka maelezo namna dawa inavyoingia na kufanya kazi na side effects zinazoweza kujitokeza na namna ya kuzithibiti, lakini hizo dawa tayari zilishapita hatua za majaribio na kupewa approval kiasi kwamba huhitaji consent form bali maelezo kwa mtumiaji.......hata kwa chanjo zenye final approval huhitaji consent form bali maelezo kama ilivyo kwa dawa. Consent form ni kitu tofauti kabisa, maana yake hizo chanjo bado ziko kwenye majaribio, ndo maana zinaitwa 'experimental vaccines'
Kwa maana hiyo consent form ya chanjo ya corona ni vile iko kwenye majaribio? Hatari.
 
Na hapa ndipo watawala watakapoiweza Dunia nzima,they know we are in a dire situation ,they manufactured a virus, exported it to the entire world, concerted power while people gave up their freedoms and locked them up for an entire year,,rolled out a vaccine just in time to be welcomed as saviors because they know there are segments of the population who saw their relatives suffer and even die and will do anything to not suffer the same fate...but hold on!they say ,before we give you the jab there is a catch,it doesn't prevent re-infection but again also you have to take it annually,also later you need to have a third booster shot later in that year...wakaongeza tena while we do that to make sure you are following our orders ,we will control your movements and any freedom you have through qn immunization passport,,this was the big plan!but it is starting to fracture because not every leader was in on it and the various mutated to a less deadly variant earlier than expected.....vaccine and lockdown skeptics are shunned by tech companies et al. With so much power that it made me skeptical too
I once had an eye on information taken from a leaked intelligence document outlining their plan, aiming to create a more infectious and deadly wave by 2021. Followed by mandatory lockdown throughout that will necessitate the institution of basic income policy, so they will end up controlling every individual on this planent, let's keep an eye on their moves but I encourage everyone who hopes for God's redemption to take courage and increase in prayers...
 
Hata kama hupewi consent forms hospitali, lakini bado hizo dawa unazopewa ukienda kuzitumia zinaweza kukudhuru.
Sasa kama majaribio yalishapita chanjo ikapata final approval, consent forms ni za nini sasa........mfano ukienda hospitali ukapewa dawa za kumeza, huwa unajaza consent form.
Halafu unajua Bongo watu wengi hawako informed hivyo ni rahisi kuwayumbisha. Hivi Nyumisi unajua kuwa nchi zilizoendelea sasa hivi ukisoma menu ya chakula unakuta na alama za kuonyesha kama chakula kina vitu kama Maziwa, Gluten etc? Hivi unajua hata maziwa tunayokunywa kila siku yana side effect kwa baadhi ya watu, tena wengi tu. Kuna mtu akinywa maziwa anaweza kupoteza maisha katika muda mfupi tu. Hakuna dawa isiyokuwa na side effect duniani. Chanjo ya corona wameorodhesha side effects zinazoweza kutokea japo ni kwa watu wachache sana.
 
Halafu unajua Bongo watu wengi hawako informed hivyo ni rahisi kuwayumbisha. Hivi Nyumisi unajua kuwa nchi zilizoendelea sasa hivi ukisoma menu ya chakula unakuta na alama za kuonyesha kama chakula kina vitu kama Maziwa, Gluten etc? Hivi unajua hata maziwa tunayokunywa kila siku yana side effect kwa baadhi ya watu, tena wengi tu. Kuna mtu akinywa maziwa anaweza kupoteza maisha katika muda mfupi tu. Hakuna dawa isiyokuwa na side effect duniani. Chanjo ya corona wameorodhesha side effects zinazoweza kutokea japo ni kwa watu wachache sana.
Hizi information wangeweza kuziweka kwenye leaflets kama ilivyo kwenye dawa tunazonunua pharmacy, unakuta kuna kikaratsi cha maelezo ndani.....sasa hizi chanjo badala ya kuainisha maelezo kwa mtumiaji ambayo pia yanakuwa na side effects wanawasainisha watu consent form, jambo ambalo linaonyesha hizo chanjo bado zipo kwenye hatua ya majaribio...
 
Hizi information wangeweza kuziweka kwenye leaflets kama ilivyo kwenye dawa tunazonunua pharmacy, unakuta kuna kikaratsi cha maelezo ndani.....sasa hizi chanjo badala ya kuainisha maelezo kwa mtumiaji ambayo pia yanakuwa na side effects wanawasainisha watu consent form, jambo ambalo linaonyesha hizo chanjo bado zipo kwenye hatua ya majaribio...
Sasa wewe unalazimisha ziko kwenye hatua ya majaribio wakati dunia nzima zinatumika na nusu ya dunia inakaribia kuchanjwa? Jambo jingine ambalo wafuasi wa mwendazake mnalikwepa ni kuwa mnakwepa kusema kuwa kuna chanjo nyingi za corona zinazotumika sasa hivi na nyingine ziko mbioni. Mnataka watu waamini kuwa chanjo ni za mataifa ya Magharibi tu wakati mchina, mhindi na mrusi nao wanazo.
 
I once had an eye on information taken from a leaked intelligence document outlining their plan, aiming to create a more infectious and deadly wave by 2021. Followed by mandatory lockdown throughout that will necessitate the institution of basic income policy, so they will end up controlling every individual on this planent, let's keep an eye on their moves but I encourage everyone who hopes for God's redemption to take courage and increase in prayers...
Yes,exactly! as the memers say"You'll own nothing and you'll be happy",i believe The Great Reset is the name ,it's truly a sad state of affairs, and mostly sad here at home(TZ) ,b'se vaccine skepticism/adherence has become a political stance,and the hubris among the adherents as the government ensues its plans for a rollout ,is truly a sight to behold.i mean people really pride themselves in knowing nothing .
 
Asante sana rais wetu samiah suluhu hassan kwa kwa kumkumbuka mzalendo wa kweli aliye jihusisha zaidi na utengenezaji wa sera na miundo mbinu mkakati ili wale wajao wapate unafuu katika kazi zao ombi langu ni ikiwezekana itupie jicho SINOVID ya china kwani katika ,matumizi yake haikuwahi kusababisha lolote baya kwa mtumiaji
 
Sasa wewe unalazimisha ziko kwenye hatua ya majaribio wakati dunia nzima zinatumika na nusu ya dunia inakaribia kuchanjwa? Jambo jingine ambalo wafuasi wa mwendazake mnalikwepa ni kuwa mnakwepa kusema kuwa kuna chanjo nyingi za corona zinazotumika sasa hivi na nyingine ziko mbioni. Mnataka watu waamini kuwa chanjo ni za mataifa ya Magharibi tu wakati mchina, mhindi na mrusi nao wanazo.
Kama zimekamilisha hatua zote za majaribio na zikapata final approval, huhitaji ku sign consent form zinatakiwa tu ziambatane tu na information leaflets, sijui kama naeleweka...
 
Raisi Samia Suluhu anajali Afya zetu Samia Hoyeee!!!

Wazee na wenye Afya mgogoro ilikuwa tuko karibu na Extinction huku tukiambiwa tujifukize vitunguu na mboga za majani.

Akifufuka leo tunapiga nyundo arudi alikotoka
 
Ukisoma ile karatsi ya maelezo kwenye box la dawa, imeweka maelezo namna dawa inavyoingia na kufanya kazi na side effects zinazoweza kujitokeza na namna ya kuzithibiti, lakini hizo dawa tayari zilishapita hatua za majaribio na kupewa approval kiasi kwamba huhitaji consent form bali maelezo kwa mtumiaji.......hata kwa chanjo zenye final approval huhitaji consent form bali maelezo kama ilivyo kwa dawa. Consent form ni kitu tofauti kabisa, maana yake hizo chanjo bado ziko kwenye majaribio, ndo maana zinaitwa 'experimental vaccines'
Hata kama dawa zilishapita kwenye majaribio, lakini side effects bado ziko palepale usikimbie huu ukweli.
 
Yes,exactly! as the memers say"You'll own nothing and you'll be happy",i believe The Great Reset is the name ,it's truly a sad state of affairs, and mostly sad here at home(TZ) ,b'se vaccine skepticism/adherence has become a political stance,and the hubris among the adherents as the government ensues its plans for a rollout ,is truly a sight to behold.i mean really pride themselves in knowing nothing .
Exactly, this is what you expect when you have a large segment who are ill informed or have limited access to reliable or whistleblower sources of information plus less ability to reason beyond imagination.....it's like a bunch of football fanatics trying to be impressive of their sides....
 
Kama zimekamilisha hatua zote za majaribio na zikapata final approval, huhitaji ku sign consent form zinatakiwa tu ziambatane tu na information leaflets, sijui kama naeleweka...
Hueleweki. Mjaribio yalishapita. Labda useme hukuwa na habari walipoanza majaribio. Yalianza mwezi May mwaka jana na phase ya mwisho ilikuwa mwezi November mwaka jana.
 
Najiuliza hii chanjo kutolewa kwa hiari hakuwezi kuleta madhara huko mbele ya safari kwa wale watakaokuwa hawajachanjwa kuendeleza maambukizi?

Sikumbuki kama na huko kwingine duniani hiyo chanjo ilitolewa kwa hiari, mfano tunaona nchi kama Uganda, japo wapo waliochanjwa lakini bado Corona inawasumbua.

Hii Corona tusipoichukulia serious tutakuwa tunajaza maji kwenye ndoo iliyotoboka, kama chanjo wanaziamini hazina madhara, kwanini zisiwe lazima, wengine wataelewa umuhimu wakishachanjwa.
Nadhani tunachoma % kubwa kupata COVID-19 passport ili tusipate usubufu ubeberuni. Maana inabidi uenende na wakati otherwise wakati utakuacha
 
Hata kama dawa zilishapita kwenye majaribio, lakini side effects bado ziko palepale usikimbie huu ukweli.
Ndiyo, huwa zinaandikwa kwenye information leaflets, lakini hatujazi consent form ili tumeze dawa...
 
Back
Top Bottom