Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daah..CCM ina laana,badala ya kuteua watu wenye weledi kama hawa, unateua Mapaka!🐒🐒🐒
View attachment 2298327
Wengi wamesikitikia huu uteuzi,na hata alipoendelea kuwa RPC wa sijui kanda maalum watu hawakuwa na amani.Vyovyote iwavyo,lakini huyu jamaa kesi ya Mbowe ilimwacha mtupu Sana.View attachment 2298251
Shikamoo Rais Samia
Huyu Kingai anaenda kutumaliza, visasi vingi na atahakikisha wabaye wake wanakipata cha mtemakuni.
Kingai haijui hata PGO, atakuwaje Mkurugenzi wa Upelelezi? Twafwa.
Kesi dhidi ya Mbowe ya Ugaidi, nilitegemea imfumbue macho Rais ili ajue waliomzunguka. Naamini rais kashauriwa Vibaya. Tusimlaumu sana sababu bado anayo nafasi ya kubadilisha.
Huu ndo Ushauri Lukuvi anampa rais wetu? Kingai? Huyu wa Kinondoni au yupo Kingai mwingine Jeshini?
Kama Afande Kingai angesoma PGO vizuri, angegundua kuwa SHTAKA linafunguliwa BAADA ya mtuhumiwa KUHOJIWA! Ikibainika "maelezo ya onyo" yanafichua KOSA, ndipo Jalada la Mashtaka HUANDALIWA. Kingai alipoulizwa na Wakili wa Serikali kwanini aliwatoa watuhumiwa Moshi kuwaleta DSM,
alijibu, "huko ndiko mashtaka yao yalipofunguliwa!" Sasa, ilikuwaje ukafungua mashtaka ya hawa Vijana wakati bado hawajakamatwa, na wala KUHOJIWA!
PGO isomwe jamani, tena isomwe vizuri! Mnadhalilisha hili Jeshi.
Kingai alimnyima dhamana mtu aliyehoji kutaka kujua kama Hayati Magufuli anaumwa. Eti hakupasa kuhoji akakamatwa akapigwa na kunyimwa dhamana.
Aloshiriki kumdanganya rais Samia ili amteue Kingai, achukuliwe hatua.
View attachment 2298249
View attachment 2298250
Nmempenda huyu mamaCCM ina laana,badala ya kuteua watu wenye weledi kama hawa, unateua Mapaka!🐒🐒🐒
View attachment 2298327
Rafiki wa kudumu mambo?Nmempenda huyu mama
Ndugu kwa hali hii siyo kwamba alikosea lugha,alikosea msamiati/sentensi sahihi kueleza hilo.Na kwakuwa ni kiongozi mkubwa hatuwezi kuichukulia kawaida.Lazima tumshushe vyeo!Polisi hawafungui mashtaka. Mashtaka yanafunguliwa na DPP.
Polisi wanapokea malalamiko na wakiona ni malalamiko ya jinai wanayaandika kwenye daftari la taarifa na kukupa namba ya taarifa (RB). Malalamiko yanazaa tuhuma. Tuhuma ndo zinakufanya ukamatwe na Polisi kwa ajili ya mahojiano.
Mahojiano yatafanyika kule ambako malalamiko yalipokelewa.
Kwa hiyo hapo inatakiwa ujiongeze uelewe kwamba hayo ambayo huyo afisa wa polisi aliyaita "mashtaka" alikuwa anaaminisha malalamiko. Kama kukosea ni amekosa lugha tu, ila sio utendaji. Kama malalamiko yalipokelewa Dar, na mlalamikiwa yuko Moshi atakamatwa na kupelekwa Dar akahojiwe.
Yaani kuteuliwa tu vijana wake aliowatrain akiwa RCO Arusha wamemchoma katibu wa Chadema kisu wakijua mtetezi wao yupo atawakingia kifua.
Poa rafiki yanguRafiki wa kudumu mambo?
Sio usalama wa taifa bali usalama wa ccm.Huwa siielewi idara ya usalama wa Taifa wa Tanzania.
Hacha maneno ya kujikweza, nchi nzima inapata cha moto.[emoji23][emoji23][emoji23]Nafurahi sana kwamba machadema mnateseka!
Kingai mi 5 tena!
By the way.. Mbaya wenu si alishakufa na sasa mnapumua?
Hapo ndio mtaamini kuwa wanganga wa jadi wapo, uyu samia kalogwa uyuDaah..
Kumbe kuna baadhi waadilifu bado wamo!
Yaani Kingai naye ni wa kuteuliwa kushika wadhifa nyeti[emoji849][emoji848]
Ukute alikuwa anatekeleza uovu kwa maelekezo toka juu!!!
Usicheze na makosa yako halafu matokeo ya makosa yako abebe mwingine..!!Polisi hawafungui mashtaka. Mashtaka yanafunguliwa na DPP.
Polisi wanapokea malalamiko na wakiona ni malalamiko ya jinai wanayaandika kwenye daftari la taarifa na kukupa namba ya taarifa (RB). Malalamiko yanazaa tuhuma. Tuhuma ndo zinakufanya ukamatwe na Polisi kwa ajili ya mahojiano.
Mahojiano yatafanyika kule ambako malalamiko yalipokelewa.
Kwa hiyo hapo inatakiwa ujiongeze uelewe kwamba hayo ambayo huyo afisa wa polisi aliyaita "mashtaka" alikuwa anaaminisha malalamiko. Kama kukosea ni amekosa lugha tu, ila sio utendaji.
Kama malalamiko yalipokelewa Dar, na mlalamikiwa yuko Moshi atakamatwa na kupelekwa Dar akahojiwe.
Kwa maelezo yako Ofisa wa polisi hajui malalamiko na mashtaka na ndo anakuwa DCI. Hii nchi ngumu SanaPolisi hawafungui mashtaka. Mashtaka yanafunguliwa na DPP.
Polisi wanapokea malalamiko na wakiona ni malalamiko ya jinai wanayaandika kwenye daftari la taarifa na kukupa namba ya taarifa (RB). Malalamiko yanazaa tuhuma. Tuhuma ndo zinakufanya ukamatwe na Polisi kwa ajili ya mahojiano.
Mahojiano yatafanyika kule ambako malalamiko yalipokelewa.
Kwa hiyo hapo inatakiwa ujiongeze uelewe kwamba hayo ambayo huyo afisa wa polisi aliyaita "mashtaka" alikuwa anaaminisha malalamiko. Kama kukosea ni amekosa lugha tu, ila sio utendaji.
Kama malalamiko yalipokelewa Dar, na mlalamikiwa yuko Moshi atakamatwa na kupelekwa Dar akahojiwe.
Ubabaisha haukosekani kote, kama ulivyo kwenye taasisi nyengine na jamii kwa ujumla.Huwa siielewi idara ya usalama wa Taifa wa Tanzania.