Rais Samia Suluhu jana katika uwekaji sahihi katika mradi wa SGR Rais Samia Suluhu alisema kuwa Pale tunapohisi pana faida tutaendelea kukopa. Kwa wanaosema awamu hii imekopa sana, waseme pia ndio awamu imejenga sana na kweli sisi ni mashahidi tumeona awamu hii imekopa sana lakini maendeleo yanaonekana
Lakini pia Rais Samia Suluhu aliongeza kuwa "Ukiacha Reli kuna mambo mengine kadhaa yamefanywa ndani ya awamu hii na tusingeweza kufanya lazima tukope na tunakopa ili tujenge leo kwa maendeleo endelevu ya leo na baadae, kwa hiyo kila pale tunapohisi pana faida, tutaendelea kukopa"
Kwaiyo mikopo itaendelea kwaajili ya maendeleo ya Tanzania
Lakini pia Rais Samia Suluhu aliongeza kuwa "Ukiacha Reli kuna mambo mengine kadhaa yamefanywa ndani ya awamu hii na tusingeweza kufanya lazima tukope na tunakopa ili tujenge leo kwa maendeleo endelevu ya leo na baadae, kwa hiyo kila pale tunapohisi pana faida, tutaendelea kukopa"
Kwaiyo mikopo itaendelea kwaajili ya maendeleo ya Tanzania