Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bagonza ndio wa kiroho sio?Mkuu Kama kusoma hujui ,atakuangalia picha unashindwa, ilo kongamano limeandaliwa kimkakati, na kiroho lipo kundi flani nyuma ya kongamano sema tu watu wanashindwa soma mchezo, huyo Konk wako anasema mwendazake katuacha wamoja, how, kusaka vyeo ,yeye kutokana na kauli zake vipi tukisema anatimika tu , so KWA watu wenye macho ya kiroho hawezi kuteka fikra zetu , atawateka watu wa aina yako
Bagonza ndio wa kiroho sioMkuu Kama kusoma hujui ,atakuangalia picha unashindwa, ilo kongamano limeandaliwa kimkakati, na kiroho lipo kundi flani nyuma ya kongamano sema tu watu wanashindwa soma mchezo, huyo Konk wako anasema mwendazake katuacha wamoja, how, kusaka vyeo ,yeye kutokana na kauli zake vipi tukisema anatimika tu , so KWA watu wenye macho ya kiroho hawezi kuteka fikra zetu , atawateka watu wa aina yako
Mkuu Mambo haya ni makubwa kuliko akili zetu ,tulia hivyo hivyoBagonza ndio wa kiroho sio
clip pleaseMama Samia akihutubia Taifa ktk kongamano la kidini jijini Dodoma, amesema ataendeleza mazuri tu yaliyofanywa awamu ya 5. Sijui wale wapiga mapambio mpo?
Akaenda mbali zaidi kwa kusema kuwa ataboresha haki, amani na demokrasia.
Wewe unayezuia mikutano ya kisiasa ya vyama vya upinzani ole wako.
Hata Polepole na Bashiru hawako sawa ila ni kitu kimoja, tutaelewana tu taratibu taratibu.wametoka wote CCM ila hawawezi kuwa kitu kimoja, Mwinyi hakuwa sawa na Nyerere, Magufuli hakuwa sawa na Kikwete, Mkapa hakuwa sawa na Mwinyi. na kaonyesha mtazamo tofauti kuhusu sera za mambo ya nje, kodi, uwekezaji na hata Coviid na pia katamka hataki kufananishwa na Magufuli
kwani hawa ni marais? hawa ni machawa wa jiwe, so wanakuwa kma jiwe anavyopenda wawe ila wakiwa free ndio utaona tofauti zaoHata Polepole na Bashiru hawako sawa ila ni kitu kimoja, tutaelewana tu taratibu taratibu.
Strictly yale mazuri tu. Mabaya na maovu tutayaacha na kuleta mema mapyaMama Samia akihutubia Taifa ktk kongamano la kidini jijini Dodoma, amesema ataendeleza mazuri tu yaliyofanywa awamu ya 5. Sijui wale wapiga mapambio mpo?
Akaenda mbali zaidi kwa kusema kuwa ataboresha haki, amani na demokrasia.
Wewe unayezuia mikutano ya kisiasa ya vyama vya upinzani ole wako.
Hawaamini kabisa. Unjua lile bunge 80% walibebwa na Magufuli. Yaani hawaoni future yao bila magufuli.Magufuli ni marehemu, naona bado hamuamini kama mungu wenu kafa,,
Kwani yule ni askofu?Umeamua kujipendekeza kwa mama upate teuzi by Askofu Konk
Unamaanisha?Mkuu Mambo haya ni makubwa kuliko akili zetu ,tulia hivyo hivyo
Bagonza sio?Kwani yule ni askofu?
Hata mimi sielewi. Nchi hii tuna watu wenye roho mbaya sana.Kuna watu hasa makada wa chama tawala sijui kwa nini hukwazwa sana na maneno "KUIMARISHWA KWA HAKI, USAWA & DEMOKRASIA". Bila shaka wamezoea vya kunyonga kwa hiyo basi vya kuchinja inakuwa ni mtihani mgumu sana kwao.
Huyo Konki sijui fisi wa wapi?Bagonza sio?
Mbona ujibu, kwani Bagonza kasemaje?Huyo Konki sijui fisi wa wapi?
Ndio mama kasema yeye na jiwe ni kitu kimoja ila wewe unampinga hadi yeye mwenyewe.kwani hawa ni marais? hawa ni machawa wa jiwe, so wanakuwa kma jiwe anavyopenda wawe ila wakiwa free ndio utaona tofauti zao
Mzimu wa Jiwe unawasumbua watu hatari, yani hapa kazi tu inaendelea.MZIMU WA JIWE BADO UPO NN?