Rais Samia: Tutanunua sukari kutoka Uganda

Rais Samia: Tutanunua sukari kutoka Uganda

Angalia kauli ya Mamlaka ya Uteuzi , halafu toa maoni yako

IMG-20211128-WA0014.jpg
 
Mtoto umleavyo ndio akuavyo. Nakumbuka Martin Shigela alimkoromea Uhuru Kenyatta akasifiwa na kichaa aliyekwenda zake. Huyu naye alifikiri kuwa angesifiwa!!
 
Matamshi yenyewe ya huyo asiyeona 'mantiki' yana mantiki ipi?

Ameeleza huyo waziri kwa nini alisema hivyo? Kuvimbishwa kichwa na nafasi ya uongozi siyo inayoleta mantiki kwa jambo lolote.

Kwa hiyo mawaziri waogope kufanya kazi na maamuzi kwa kuhofia boss atawaambia wasemayo hayana mantiki?
 
Back
Top Bottom