Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
[emoji38][emoji38][emoji38]Huyo waziri nadhani kisha jilamba kalio kifuatacho atatusimulia mkewe
Ataendelea na uwaziri kama kawaida, hakuna tatizo kukosolewa na boss
sawaAtaendelea na uwaziri kama kawaida, hakuna tatizo kukosolewa na boss
waziri aliyetokana na jiweNi nani?
Hana jina au unamuogopa?waziri aliyetokana na jiwe
Tujue kwanza; ni kauli ipi iliyozingatia sheria za nchi kati ya hizo kauli! Usijekuta unaegemea kwa wahujumu taifa.Angalia kauli ya Mamlaka ya Uteuzi , halafu toa maoni yako
Alishatengana na mkeweHuyo waziri nadhani kisha jilamba kalio kifuatacho atatusimulia mkewe
Halafu ukute bosi mwenyewe hana mantiki wala hana analolifahamu πππKwa hiyo mawaziri waogope kufanya kazi na maamuzi kwa kuhofia boss atawaambia wasemayo hayana mantiki?
Hivi ndani ya ccm kuna vyama vingapi ?Halafu ukute bosi mwenyewe hana mantiki wala hana analolifahamu [emoji38][emoji38][emoji38]
[emoji38][emoji38][emoji38]