Rais Samia: Tutanunua sukari kutoka Uganda

Mtoto umleavyo ndio akuavyo. Nakumbuka Martin Shigela alimkoromea Uhuru Kenyatta akasifiwa na kichaa aliyekwenda zake. Huyu naye alifikiri kuwa angesifiwa!!
 
Matamshi yenyewe ya huyo asiyeona 'mantiki' yana mantiki ipi?

Ameeleza huyo waziri kwa nini alisema hivyo? Kuvimbishwa kichwa na nafasi ya uongozi siyo inayoleta mantiki kwa jambo lolote.

Kwa hiyo mawaziri waogope kufanya kazi na maamuzi kwa kuhofia boss atawaambia wasemayo hayana mantiki?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…