Kwanini sio umojaMachadema yatanuna!
Magufuli alikuwa amejifungia chumbani Chato kama mwali, nani alimjua?Machadema yatanuna!
Magufuli alishakufaMachadema yatanuna!
mnaempenda wewe na nani?Very humble, SSH tunayempenda.
wakati wa tuzo haukufika bado, mngemsubilisha apokee kwanza ndipo atwaliwe.Wanaotoa hiyo tuzo wanafiki wakubwa! Mbona hawakumpa jpm?
Mengine ni maccm jombaMachadema yatanuna!
Kikwete kaharibu sana hii nchi baada ya kuigeuza Ikulu pango la walanguziMama amekuwa mkweli. Angelikuwa yule angejitukiza yeye.
Nakumbuka jiwe alikuwa anamsagia kunguni Kikwete ili sifa zote zibaki kwake.
Sasa si umeona madhara ya Kikwete anavyomgharimu huyu maza.?Mama amekuwa mkweli. Angelikuwa yule angejitukiza yeye.
Nakumbuka jiwe alikuwa anamsagia kunguni Kikwete ili sifa zote zibaki kwake.