Rais Samia: Tuzo hii ya Babacar Ndiaye alistahili Hayati Dkt. Magufuli

Rais Samia: Tuzo hii ya Babacar Ndiaye alistahili Hayati Dkt. Magufuli

Asante kwa Kukiri kuwa hiyo Tuzo ya 'Abubacar Ndiaye' uliyopokea inayohusiana mno na Maendeleo ya Miundombinu si yako bali ni ya Hayati Rais Dkt. Magufuli na ungejisifia ( ungejipongeza ) ni yako kutokana na Juhudi zako ningekushangaa kuliko Maelezo ila nashukuru ulijishtukia Mwenyewe...
Huyo mwanae Bonge tumuite kwa jina lake basi. Anaitwa Joseph.
 
Asante kwa Kukiri kuwa hiyo Tuzo ya 'Abubacar Ndiaye' uliyopokea inayohusiana mno na Maendeleo ya Miundombinu si yako bali ni ya Hayati Rais Dkt. Magufuli na ungejisifia ( ungejipongeza ) ni yako kutokana na Juhudi zako ningekushangaa kuliko Maelezo ila nashukuru ulijishtukia Mwenyewe...
Ni tuzo ya kiserikali na sio ya familia yake
 
Asante kwa Kukiri kuwa hiyo Tuzo ya 'Abubacar Ndiaye' uliyopokea inayohusiana mno na Maendeleo ya Miundombinu si yako bali ni ya Hayati Rais Dkt. Magufuli na ungejisifia ( ungejipongeza ) ni yako kutokana na Juhudi zako ningekushangaa kuliko Maelezo ila nashukuru ulijishtukia Mwenyewe...
Mjane wa Magufuli ndo nani?
 
Asante kwa Kukiri kuwa hiyo Tuzo ya 'Abubacar Ndiaye' uliyopokea inayohusiana mno na Maendeleo ya Miundombinu si yako bali ni ya Hayati Rais Dkt. Magufuli na ungejisifia ( ungejipongeza ) ni yako kutokana na Juhudi zako ningekushangaa kuliko Maelezo ila nashukuru ulijishtukia Mwenyewe...
sio abubacar ndiaye ni babacar ndiaye
 
Asante kwa Kukiri kuwa hiyo Tuzo ya 'Abubacar Ndiaye' uliyopokea inayohusiana mno na Maendeleo ya Miundombinu si yako bali ni ya Hayati Rais Dkt. Magufuli na ungejisifia ( ungejipongeza ) ni yako kutokana na Juhudi zako ningekushangaa kuliko Maelezo ila nashukuru ulijishtukia Mwenyewe...
Unaleta hard feelings kwenye mambo ya serikali...Apewe mkewe kwani alikua wizara ya ujenzi? Kwani SSH amepingukiwa nn alivyosema vile alikua sahihi tu
 
Ndio hivyo tu, msimsingizie mama wa watu johnthebaptist
FB_IMG_1653551688604.jpg
 
Hakika Magufuli uliko pumzika kwa amani,umetuheshimisha barani afrika,

Wapo waliosema hawataki maendeleo ya vitu,lakini maendeleo ya vitu ndio yanaanza kwanza ,rais Samia kakubali wewe ni mwamba
Kakuheshimisha wew na familia yako. Usipende kutumia wingi, ongelea nafsi yako na familia yako ukienda mbali sana ongeza sukuma gang.
 
Back
Top Bottom