Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alikuwa kichaa yuleYule fala alikuwa na roho mbaya hatari, nadhani mnakumbuka ile issue ya Membe..
Ndio maana kimekufa bila kutambulika popote..
Eti anamsagia kunguni JK wakati mwenzie ni kiongozi wa zaidi ya Taasisi 4 Duniani .
wewe ndio punguani wahedi.Dubwasha limekufa kibudu lipo motoni kwa kupora korosho za wakulima na kuua na kutesa wapinzani.
Asiyeamini huu ukweli kalifufue azikwe yeye.
Tanzania Tanzania haihitaji raisi kichaa na punguani kama John
Asante mungu kwa wema wako kuliondosha mapema
Kauli yenye busara, utu na uungwanaRais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akizungumza wakati akipokea tuzo ya Babacar Ndiaye kutokana na mafanikio kwenye ujenzi wa barabara na kusema anayepaswa kupewa sifa ya tuzo hiyo ni mtangulizi wake, Hayati John Magufuli.
"Kama tuzo hii [ya Babacar Ndiaye] ilipaswa kuwa ya mtu binafsi, mtu ambaye angeistahili kuliko wengine wote ni Dkt. John Pombe Magufuli. Ni bahati mbaya hayupo nasi aweze kushuhudia matunda ya jitihada zake."-
Tuzo ya umwagaji wa Damu na Zulma dhidi ya fedha za Wafanyabiashara Direct kutoka kwenye Akaunti zao.Wanaotoa hiyo tuzo wanafiki wakubwa! Mbona hawakumpa jpm?
Wangempa vipi, alikuwa hasafiri wala kuwajulia hali majirani zetu.Wanaotoa hiyo tuzo wanafiki wakubwa! Mbona hawakumpa jpm?
Mi nafikiri, hili neno SUKUMA GANG, linamaanisha 'TIMU JIWE' na wapambe wake, kama akina Paramagamba, Polepole, Bashiru, Sabaya, na wale wooote waliokuwa wanafaidika na ule UTAWALA!Hii kauli yenye ukabila achana nayo mkuu, makosa ya wachache hawez kuhukuma kabila zima
Hivi wewe ulevi wako unakupeleka wapi?Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akizungumza wakati akipokea tuzo ya Babacar Ndiaye kutokana na mafanikio kwenye ujenzi wa barabara na kusema anayepaswa kupewa sifa ya tuzo hiyo ni mtangulizi wake, Hayati John Magufuli.
"Kama tuzo hii [ya Babacar Ndiaye] ilipaswa kuwa ya mtu binafsi, mtu ambaye angeistahili kuliko wengine wote ni Dkt. John Pombe Magufuli. Ni bahati mbaya hayupo nasi aweze kushuhudia matunda ya jitihada zake."-
Lini chaguzi zetu hapa Tanzania chini ya serikali ya ccm zilikuwa hazina najisi?Dhalimu akaigeuza eneo la kutekea na kunajisi chaguzi za nchi.
Lini chaguzi zetu hapa Tanzania chini ya serikali ya ccm zilikuwa hazina najisi?
Najisi ni najisi tu kwahiyo mngesema Jiwe kwa kutumia ccm amezidisha najisi na sio kutaka ionekane kana kwamba Jiwe ndio kaja kutia najisi uchaguzi na hakukuwa na najisi huko nyuma.Sio kama kipindi cha dhalimu.
Najisi ni najisi tu kwahiyo mngesema Jiwe kwa kutumia ccm amezidisha najisi na sio kutaka ionekane kana kwamba Jiwe ndio kaja kutia najisi uchaguzi na hakukuwa na najisi huko nyuma.
So what? Kwani umeambiwa hakuna waTanzania wanaoweza kuongoza?
Sasa kama toka zamani inajulikana kwamba vyovyote iwavyo lazima ccm atangazwe mshindi na kuendelea kushika dola na huko kwengine ndio wana balance, kwahiyo uchaguzi wa namna hiyo kwako bado hakuona kuwa ni kupora uchaguzi?Mwanzo kulikuwa kunafanyika wizi, dhalimu yeye hata kuiba hakutaka bali akapora mchakato wa uchaguzi.
Sasa kama toka zamani inajulikana kwamba vyovyote iwavyo lazima ccm atangazwe mshindi na kuendelea kushika dola na huko kwengine ndio wana balance, kwahiyo uchaguzi wa namna hiyo kwako bado hakuona kuwa ni kupora uchaguzi?
Kwamba ndiyo lugha ya taifa sio?Nani anamjua Jiwe mzee wa kujifungia akiogopa kuongea kingereza