Rais Samia: Tuzo hii ya Babacar Ndiaye alistahili Hayati Dkt. Magufuli

Rais Samia: Tuzo hii ya Babacar Ndiaye alistahili Hayati Dkt. Magufuli

Dubwasha limekufa kibudu lipo motoni kwa kupora korosho za wakulima na kuua na kutesa wapinzani.
Asiyeamini huu ukweli kalifufue azikwe yeye.
Tanzania Tanzania haihitaji raisi kichaa na punguani kama John
Asante mungu kwa wema wako kuliondosha mapema
wewe ndio punguani wahedi.
Tuzo imetolewa na mhe.Rais kakiri kuwa Jembe alistahili
 
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akizungumza wakati akipokea tuzo ya Babacar Ndiaye kutokana na mafanikio kwenye ujenzi wa barabara na kusema anayepaswa kupewa sifa ya tuzo hiyo ni mtangulizi wake, Hayati John Magufuli.

"Kama tuzo hii [ya Babacar Ndiaye] ilipaswa kuwa ya mtu binafsi, mtu ambaye angeistahili kuliko wengine wote ni Dkt. John Pombe Magufuli. Ni bahati mbaya hayupo nasi aweze kushuhudia matunda ya jitihada zake."-

Kauli yenye busara, utu na uungwana
 
Yaani asingempa mzee Baba JPM hakika ningeshangaa, maana hakuna uhalisia wowote kwake na mzee wa maamuzi magumu ya ujenzi wa mabarabara.
 
Hii kauli yenye ukabila achana nayo mkuu, makosa ya wachache hawez kuhukuma kabila zima
Mi nafikiri, hili neno SUKUMA GANG, linamaanisha 'TIMU JIWE' na wapambe wake, kama akina Paramagamba, Polepole, Bashiru, Sabaya, na wale wooote waliokuwa wanafaidika na ule UTAWALA!
Waliokuwa WANATAMBA, sio WASUKUMA tu!
 
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akizungumza wakati akipokea tuzo ya Babacar Ndiaye kutokana na mafanikio kwenye ujenzi wa barabara na kusema anayepaswa kupewa sifa ya tuzo hiyo ni mtangulizi wake, Hayati John Magufuli.

"Kama tuzo hii [ya Babacar Ndiaye] ilipaswa kuwa ya mtu binafsi, mtu ambaye angeistahili kuliko wengine wote ni Dkt. John Pombe Magufuli. Ni bahati mbaya hayupo nasi aweze kushuhudia matunda ya jitihada zake."-

Hivi wewe ulevi wako unakupeleka wapi?
 
Hiyo tuzo kiuhalisia alistahiki apewe Kikwete, miradi yote ya Magufuli alikuwa ni msimamzi tu, mambo yote aliyoyafanya magufuli yalitoka kwa Kikwete. Ambalo halijatoka kwa Kikwete ni eyapoti ya Chato na kuhamishia wanyama chato.
 
Sio kama kipindi cha dhalimu.
Najisi ni najisi tu kwahiyo mngesema Jiwe kwa kutumia ccm amezidisha najisi na sio kutaka ionekane kana kwamba Jiwe ndio kaja kutia najisi uchaguzi na hakukuwa na najisi huko nyuma.
 
Najisi ni najisi tu kwahiyo mngesema Jiwe kwa kutumia ccm amezidisha najisi na sio kutaka ionekane kana kwamba Jiwe ndio kaja kutia najisi uchaguzi na hakukuwa na najisi huko nyuma.

Mwanzo kulikuwa kunafanyika wizi, dhalimu yeye hata kuiba hakutaka bali akapora mchakato wa uchaguzi.
 
Mwanzo kulikuwa kunafanyika wizi, dhalimu yeye hata kuiba hakutaka bali akapora mchakato wa uchaguzi.
Sasa kama toka zamani inajulikana kwamba vyovyote iwavyo lazima ccm atangazwe mshindi na kuendelea kushika dola na huko kwengine ndio wana balance, kwahiyo uchaguzi wa namna hiyo kwako bado hakuona kuwa ni kupora uchaguzi?
 
Sasa kama toka zamani inajulikana kwamba vyovyote iwavyo lazima ccm atangazwe mshindi na kuendelea kushika dola na huko kwengine ndio wana balance, kwahiyo uchaguzi wa namna hiyo kwako bado hakuona kuwa ni kupora uchaguzi?

Kila uchaguzi ulivyokuwa unaendelea Ccm ilikuwa inazidi kupoteza nguvu. Dhalimu baada ya kuipotezea CCM mvuto, ikabidi apore uchaguzi ili asiingie lawamani toka kwa wanaccm wenzake kuwa ndio kaishusha ccm.
 
Back
Top Bottom