Pagani Zonda
JF-Expert Member
- Aug 10, 2018
- 685
- 468
Ongoza sasa kama waona ni rahisiSo what? Kwani umeambiwa hakuna waTanzania wanaoweza kuongoza?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ongoza sasa kama waona ni rahisiSo what? Kwani umeambiwa hakuna waTanzania wanaoweza kuongoza?
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akizungumza wakati akipokea tuzo ya Babacar Ndiaye kutokana na mafanikio kwenye ujenzi wa barabara na kusema anayepaswa kupewa sifa ya tuzo hiyo ni mtangulizi wake, Hayati John Magufuli.
"Kama tuzo hii [ya Babacar Ndiaye] ilipaswa kuwa ya mtu binafsi, mtu ambaye angeistahili kuliko wengine wote ni Dkt. John Pombe Magufuli. Ni bahati mbaya hayupo nasi aweze kushuhudia matunda ya jitihada zake."-
Unaongelea habari za mvuto kwa ccm kupungua kipindi cha Jiwe wakati chaguzi zote ccm imekuwa ikitumia dola kulazimisha ushindi, sasa huo mvuto gani ambao Jiwe aliukuta na ndio akauharibu?Kila uchaguzi ulivyokuwa unaendelea Ccm ilikuwa inazidi kupoteza nguvu. Dhalimu baada ya kuipotezea CCM mvuto, ikabidi apore uchaguzi ili asiingie lawamani toka kwa wanaccm wenzake kuwa ndio kaishusha ccm.
Eti kulazimisha ushindi, hahahahaha ila watu mnamakasiriko sanaUnaongelea habari za mvuto kwa ccm kupungua kipindi cha Jiwe wakati chaguzi zote ccm imekuwa ikitumia dola kulazimisha ushindi, sasa huo mvuto gani ambao Jiwe aliukuta na ndio akauharibu?
🙏🏾 Thanks you receive th' message.So what? Kwani umeambiwa hakuna waTanzania wanaoweza kuongoza?