Gift mzalendo
JF-Expert Member
- Dec 13, 2019
- 1,856
- 2,417
Acha lugha za ukabila ,kila mtu ahukumiwe kwa makosa yake sio kabilaSukuma gang naona meno yote nje, mama anawateka kiujanja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha lugha za ukabila ,kila mtu ahukumiwe kwa makosa yake sio kabilaSukuma gang naona meno yote nje, mama anawateka kiujanja
Rubbish 🚮 🚮🚮🚮Asante kwa Kukiri kuwa hiyo Tuzo ya 'Abubacar Ndiaye' uliyopokea inayohusiana mno na Maendeleo ya Miundombinu si yako bali ni ya Hayati Rais Dkt. Magufuli na ungejisifia ( ungejipongeza ) ni yako kutokana na Juhudi zako ningekushangaa kuliko Maelezo ila nashukuru ulijishtukia Mwenyewe.
Hata hivyo nalaumu Watu wako wa Itifaki kwani kwakuwa walikuwa wakijua kuwa Baba ( Champion ) wa Miundombinu Tanzania alikuwa ni Hayati Rais Dkt. Magufuli basi ili kuleta maana zaidi na kuipa Heshima na maana ingependeza katika 'Ziara' yako hiyo ungesafiri na Mkewe ( Mjane ) Mama Janet Magufuli au hata Yule Mwanae mkubwa ( Bonge ) wa Kiume kama muwakilishi wa Familia.
Jiwe Kazi iliyomfaa ni kuwa Waziri wa Miundombinu sio Rais ..Kikwete kwa kweli alitukosea sana kumruhusu mtu kama Jiwe kuingia Ikulu.
You are right my dear. Yeye JPM alikuta kuna miradi ya barabara na ujenzi aliyowacha JK na kuiendeleza na yeye ameondoka wengine wataendeleza.Hii ni zawadi kwa nchi sio mtu! Raisi aliyepo anapokea kwa niaba ya nchi
Tuzo inazidiwa hadhi na tuzo ya singeli,bladifaken wahed weweRais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akizungumza wakati akipokea tuzo ya Babacar Ndiaye kutokana na mafanikio kwenye ujenzi wa barabara na kusema anayepaswa kupewa sifa ya tuzo hiyo ni mtangulizi wake, Hayati John Magufuli.
"Kama tuzo hii [ya Babacar Ndiaye] ilipaswa kuwa ya mtu binafsi, mtu ambaye angeistahili kuliko wengine wote ni Dkt. John Pombe Magufuli. Ni bahati mbaya hayupo nasi aweze kushuhudia matunda ya jitihada zake."-
Kila Rais kajenga vitu vyake na vinaoneka mfano Mkapa kajenga Uwanja wa mpira Dunia nzima inaujuaMama amekuwa mkweli. Angelikuwa yule angejitukiza yeye.
Nakumbuka jiwe alikuwa anamsagia kunguni Kikwete ili sifa zote zibaki kwake.
Sawa, nimekuuliza unajua zilinunuliwa bei gani? Wajua hakutaka hata CAG kukagua manunuzi hayo ndiyo maana akahamishia chini ya Ofisi ya Ikulu?Alihamishia Ikulu kusudi watu wasifanye wizi. Na ununzi ule haukuwa na wizi ndiyo maana aliweza kuleta madege mengi sana kwa muda mfupi. Kuna wakati Mramba alituambia helio tule nyasi kusudi wapate ndege moja tu ya Gulfstream inayobeba abiria tisa tu ambayo leo hatuisikii tena; je wewe unajua hiyo Gulfstream moja tu ilinunuliwa kwa bei gani?. Jamaa kaleta maboeing, maairbus na mabombadia kwa muda mfupi bila watu kula nyasi. Usilete masikhara hapa.
Wakati huo huo hajui bei iliyonunuliwa ndege hata mojaMiaka 6 ni mda mfupi? Mandege mengi mangapi?
Mkuu Sukuma gang siyo kabila, ni kikundi cha watu flani flani, ndiyo maana hata Ndungayai yumo humoHii kauli yenye ukabila achana nayo mkuu, makosa ya wachache hawez kuhukuma kabila zima
Samia, ndiyo maana Sukuma gang hawampendi, wao wamezoea kudanganywa tu.Ukweli gani liongo kabisa like? Mnajenga kwa pesa zenu ndio ukweli huo?
Anaesema ukweli anaweza zuia ukosoaji na kuwinda wanaomkosoa awaue?
Samia na Magufuli nani mkweli?
Achana na yule muovu. Sema nini Mungu fundi aiseeUkikuwa unajifungia nae?
Ndio maana mnalalamika sana kwamba aliwafanyia kitu mbaya?
Mkuu kwani na mimi ni mnyonge?Ameongelea watz, siyo wewe na ukoo wako masikini
Mimi sioni tatizo, sasa ulitaka akalambe shubiri?Mama ataungana na sukuma gang kuwaplekea moto machadema 2025 hadi mkome!
Bora mwamba kaamua aungane na mama kuramba asali
Stupid.Rubbish 🚮 🚮🚮🚮
Kalifufueni mzikwe nyie sukuma gaaaaangRais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akizungumza wakati akipokea tuzo ya Babacar Ndiaye kutokana na mafanikio kwenye ujenzi wa barabara na kusema anayepaswa kupewa sifa ya tuzo hiyo ni mtangulizi wake, Hayati John Magufuli.
"Kama tuzo hii [ya Babacar Ndiaye] ilipaswa kuwa ya mtu binafsi, mtu ambaye angeistahili kuliko wengine wote ni Dkt. John Pombe Magufuli. Ni bahati mbaya hayupo nasi aweze kushuhudia matunda ya jitihada zake."-
Dubwasha limekufa kibudu lipo motoni kwa kupora korosho za wakulima na kuua na kutesa wapinzani.Amina