Rais Samia: Tuzo hii ya Babacar Ndiaye alistahili Hayati Dkt. Magufuli

Rais Samia: Tuzo hii ya Babacar Ndiaye alistahili Hayati Dkt. Magufuli

Magufuli alikuwa anasema ukweli bila kupaka mafuta wala kujikuza; niliwahi kusema kuwa Magufuli
Mzee wa tunajenga kwa pesa zetu za ndani, kesho sisi ni tunakopesheka hahahah [emoji28][emoji28][emoji28] Eti msema kweli ni mpenzi wa Mungu wakati jamaa lilikuwa omgo kweli kweli
 
Mzee wa tunajenga kwa pesa zetu za ndani, kesho sisi ni tunakopesheka hahahah [emoji28][emoji28][emoji28] Eti msema kweli ni mpenzi wa Mungu wakati jamaa lilikuwa omgo kweli kweli
Alisema tunanunua kwa hela yetu tena cash kuhusu manunuzi ya ndege.

Sasa wewe sema hela za manunuzi ya ndege zile zilikopwa wapi.
 
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akizungumza wakati akipokea tuzo ya Babacar Ndiaye kutokana na mafanikio kwenye ujenzi wa barabara na kusema anayepaswa kupewa sifa ya tuzo hiyo ni mtangulizi wake, Hayati John Magufuli.

"Kama tuzo hii [ya Babacar Ndiaye] ilipaswa kuwa ya mtu binafsi, mtu ambaye angeistahili kuliko wengine wote ni Dkt. John Pombe Magufuli. Ni bahati mbaya hayupo nasi aweze kushuhudia matunda ya jitihada zake."-

Mtanikumbuka tena mtanikumbuka kwa mambo mazuri!!

Na ataendelea kuishi. Kuna mijitu ipo serikalini ilikosoa sana hizi projects huku jumuia za kimataifa zikitoa tuzo kwa utekelezaji wake. Tuna Mi Tanzania inatusaliti sana.
 
Alisema tunanunua kwa hela yetu tena cash kuhusu manunuzi ya ndege. Sasa wewe sema hela za manunuzi ya ndege zile zilikopwa wapi.
Zilinunuliwa bei gani? Unajua kwanini alihamishia shirika la ndege chini ya ofisi ya ikulu? Jamaa alikuwa fisadi kweli kweli.
 
Zilinunuliwa bei gani? Unajua kwanini alihamishia shirika la ndege chini ya ofisi ya ikulu? Jamaa alikuwa fisadi kweli kweli.
Alihamishia Ikulu kusudi watu wasifanye wizi. Na ununzi ule haukuwa na wizi ndiyo maana aliweza kuleta madege mengi sana kwa muda mfupi.

Kuna wakati Mramba alituambia helio tule nyasi kusudi wapate ndege moja tu ya Gulfstream inayobeba abiria tisa tu ambayo leo hatuisikii tena; je wewe unajua hiyo Gulfstream moja tu ilinunuliwa kwa bei gani?

Jamaa kaleta maboeing, maairbus na mabombadia kwa muda mfupi bila watu kula nyasi. Usilete masikhara hapa.
 
Mama amekuwa mkweli. Angelikuwa yule angejitukiza yeye.

Nakumbuka jiwe alikuwa anamsagia kunguni Kikwete ili sifa zote zibaki kwake.
Yule fala alikuwa na roho mbaya hatari, nadhani mnakumbuka ile issue ya Membe..

Ndio maana kimekufa bila kutambulika popote..

Eti anamsagia kunguni JK wakati mwenzie ni kiongozi wa zaidi ya Taasisi 4 Duniani .
 
Alihamishia Ikulu kusudi watu wasifanye wizi. Na ununzi ule haukuwa na wizi ndiyo maana aliweza kuleta madege mengi sana kwa muda mfupi. Kuna wakati Mramba alituambia helio tule nyasi kusudi wapate ndege moja tu ya Gulfstream inayobeba abiria tisa tu ambayo leo hatuisikii tena; je wewe unajua hiyo Gulfstream moja tu ilinunuliwa kwa bei gani?. Jamaa kaleta maboeing, maairbus na mabombadia kwa muda mfupi bila watu kula nyasi. Usilete masikhara hapa.
Miaka 6 ni mda mfupi? Mandege mengi mangapi?
 
Mtu hajajenga barabara sasa tuzo wanampa za nini?
Unakaribia kufa kwa wivu na chuki 😆😆😆😆.Samia atabeba tuzo nyingi Sana hadi atakapomaliza Ngwe yake.

Hizi amejenga baba yako?👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220524-120244.png
    Screenshot_20220524-120244.png
    159.4 KB · Views: 4
  • Screenshot_20220524-202142.png
    Screenshot_20220524-202142.png
    166.4 KB · Views: 4
  • Screenshot_20220522-164714.png
    Screenshot_20220522-164714.png
    220.5 KB · Views: 4
  • Screenshot_20220402-230047.png
    Screenshot_20220402-230047.png
    160.1 KB · Views: 4
  • Screenshot_20220329-162800.png
    Screenshot_20220329-162800.png
    226.1 KB · Views: 4
  • Screenshot_20220329-160231.png
    Screenshot_20220329-160231.png
    239.1 KB · Views: 4
  • IMG_20220524_173524_646.jpg
    IMG_20220524_173524_646.jpg
    947.6 KB · Views: 4
  • IMG_20220524_173605_258.jpg
    IMG_20220524_173605_258.jpg
    707.2 KB · Views: 4
  • IMG_20220524_175106_500.jpg
    IMG_20220524_175106_500.jpg
    1.2 MB · Views: 4
  • IMG_20220524_174204_460.jpg
    IMG_20220524_174204_460.jpg
    769.5 KB · Views: 4
Magufuli alikuwa anasema ukweli bila kupaka mafuta wala kujikuza; niliwahi kusema kuwa Magufuli alitakiwa kufundishwa namna ya kubana baadhi ya maneno, kwani kuwa anasema ukweli wote ndiko kulikomfanya achukiwe na watu wa Kikwete. Makosa ya Kikwete alikuwa anayasema na mazuri pia alikuwa anayesema, kwa mfano aliposema kuwa Kikwete alipenda ile flyover ya Tanzara ijengwe ingawa haikujengwa, yeye ataijenga. Hapo kulikuwa na ukweli na ukweli. Ukweli wa kwanza ni kuwa wazo la flyover ya Tazara ni la kutokea serikali ya Kikwete, ukweli wa pili ni kuwa serikali ya Kikwete hakujenga, ila serikali yake itajenga. Ni vivyo hivyo pia kwenye ujenzi wa Terminal 3 ambayo miaka ya mwisho ya utawala wa Kikwete ujenzi ule ulikuwa hauendelei kwa vile wakandarasi walikuwa wanataka kujitoa kwa kukosa malipo.
Ukweli gani liongo kabisa like? Mnajenga kwa pesa zenu ndio ukweli huo?

Anaesema ukweli anaweza zuia ukosoaji na kuwinda wanaomkosoa awaue?

Samia na Magufuli nani mkweli?
 
Back
Top Bottom