Rais Samia: Tuzo hii ya Babacar Ndiaye alistahili Hayati Dkt. Magufuli

Huyu huyu mshamba wa chato
 
Kila uchaguzi ulivyokuwa unaendelea Ccm ilikuwa inazidi kupoteza nguvu. Dhalimu baada ya kuipotezea CCM mvuto, ikabidi apore uchaguzi ili asiingie lawamani toka kwa wanaccm wenzake kuwa ndio kaishusha ccm.
Unaongelea habari za mvuto kwa ccm kupungua kipindi cha Jiwe wakati chaguzi zote ccm imekuwa ikitumia dola kulazimisha ushindi, sasa huo mvuto gani ambao Jiwe aliukuta na ndio akauharibu?
 
Unaongelea habari za mvuto kwa ccm kupungua kipindi cha Jiwe wakati chaguzi zote ccm imekuwa ikitumia dola kulazimisha ushindi, sasa huo mvuto gani ambao Jiwe aliukuta na ndio akauharibu?
Eti kulazimisha ushindi, hahahahaha ila watu mnamakasiriko sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…