Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Rais Samia amesema kuwa Ujasiriamali litakuwa somo la lazima kwa wanafunzi wa sekondari kuanzia kidato cha kwanza hadi cha nne ili kuwaandaa kujitegemea. Akisisitiza kuwa mabadiliko haya ni sehemu ya mkakati wa serikali wa kuleta mageuzi katika sekta ya elimu ili iendane na mahitaji halisi ya soko la ajira na maendeleo ya taifa.
"Sera hii inajibu hitaji la muda mrefu la kuweka mfumo wa kutambua na kurasimisha ujuzi na stadi zinazopatikana nje ya mfumo rasmi wa elimu na mafunzo tulionao". amesema Rais Samia
Soma, Pia: Rais Samia atishwa na kasi ya ongezeko la Idadi ya Watu, lisilioendana na kasi ya ukuaji wa Uchumi wetu
Sambamba na hilo, Rais Samia ameongeza kuwa ujuzi, sera na mitaala hiyo pia imeleta somo la ujasiriamali ambalo litakuwa la lazima kwa kila mwanafunzi wa kidato cha kwanza hadi cha nne.
"Sera hii inajibu hitaji la muda mrefu la kuweka mfumo wa kutambua na kurasimisha ujuzi na stadi zinazopatikana nje ya mfumo rasmi wa elimu na mafunzo tulionao". amesema Rais Samia
Soma, Pia: Rais Samia atishwa na kasi ya ongezeko la Idadi ya Watu, lisilioendana na kasi ya ukuaji wa Uchumi wetu
Sambamba na hilo, Rais Samia ameongeza kuwa ujuzi, sera na mitaala hiyo pia imeleta somo la ujasiriamali ambalo litakuwa la lazima kwa kila mwanafunzi wa kidato cha kwanza hadi cha nne.