Rais Samia ukirudi kutoka ziarani Marekani na Cuba tuletee zawadi hii: Uwe umejifunza demokrasia ya vyama vingi na uchaguzi huru na wa haki

Rais Samia ukirudi kutoka ziarani Marekani na Cuba tuletee zawadi hii: Uwe umejifunza demokrasia ya vyama vingi na uchaguzi huru na wa haki

Sio bahati mbaya rais Samia amekwenda Marekani wakati huu taifa hilo lenye nguvu zaidi duniani likiwa katikati ya mtanange mkali wa uchaguzi. Na mara hii ni kati ya mhafidhina Donald Trump na mwanamama Kamala Harris.

Mtu hawezi kushindwa kufikiri kuwa kimya kimya rais Samia amekuwa kwenye kampeni za urais wa Marekani kwa kujua ama kwa kutojua. Hii ni mara ya pili rais Samia anakwenda Marekani ndani ya kipindi cha takriban mwaka mmoja hivi.

Wamarekani wakati huu wa uchaguzi wakimwona rais mwanamke tena kutoka nchi ya dunia ya tatu ambapo demokrasia ni majaaliwa tu basi wamarekani wanajisikia kuwa nyuma ki-demokrasia na jambo hili linaweza kuathiri maamuzi yao wakati wa upigaji kura.

Ama kweli siasa ni sayansi na ingekuwa tunafanya siasa zetu kisayansi tungekuwa mbali sana.

Swali ni je, rais Samia atarudi amejifunza nini kuhusu demokrasia na uchaguzi huru na wa haki? Je Samia ataguswa kujenga mazingira yanayoruhusu uchaguzi kufanyika chini ya tume huru ya uchaguzi? Je Samia atajifunza “fair play “ kwenye chaguzi zetu ambazo Tumeona wagombea wengi wakipitishwa bila kupingwa huku wapinzani wakienguliwa bila sababu za msingi?

Hiyo ndio zawadi tunayoisubiri kutoka kwa rais wetu mama Samia pindi arudipo kutoka ziarani Marekani na Cuba.
Unapoteza muda na energy yako : kama unafanya kazi, ni sawa na mtu akuombe uache kazi ili na yeye apate, wewe utakula wapi.?

Demokrasia haiombwi, it has to be demàded Even by bloodshed, in demanding…… there comes a respect

Nimekua nikisema snaa ; there is no way chama cha upinzani kitashinda bila katiba mpya. Kama unadhan wakuu wa wilaya, wa mikoa, wakurugenzi wa halmashauri wanachaguliwa na rais kwa bahati mbaya haya, hao ndio wapishi wa kuhakîkisha kura zinaenda chama tawala

A cut off ya hao watu kuwa presidential appointment ni lazima

DG wa NEC ni presidential appointements, still mtu ana expect démocracy kwenye ouchaguzi, that is absard.

NEC inatakiwa iwe independent entity na DG wake achaguliwe na wananchi

Rais hapaswi kuteua DED, wala mkuu wa wilaya wala mkoa , ni watumishi na hawapasw kuwa na affiliation na yeyote

Kama hayo hayafanyika, achaneni na story za demokrasi
Pigeni maokoto Kama kina mbowe life isonge
 
Ebu nielimishe kuhusu Demokrasia ya vyama vingi hapo Cuba? Hivi ujui mkuu mfumo wa uchaguzi wetu ni mzuri kuliko wa Marekani?
Nasubiri uniambie kama kuna mambo ya hovyo kwenye demokrasia ya Marekani kuzidi mambo haya: kupita bila kupingwa, wagombea zaidi ya nusu wa upinzania kuenguliwa bila kupingwa, vyama vya kisiasa kuzuia kufanya kampeni au mikutano, watu kuzuiwa kufanya maandamano ya amani, wakurugenzi wa serikali kusimamia uchaguzi na kuamua nani ashinde nani ashindwe, tume ya uchaguzi inayochaguliwa na rais aliyeko madarakan ambaye naye ni mgombea, rais aliye madarakani kutamka waziwazi kuwa ifikapo mwaka flani atakuwa amevifuta vyama vya upinzani, bunge kung'ang'ani wabunge ambao chama chao kimeshatoa barua kuwa sio wanachama wa chama chao tena, takwimu kuwa 100% ya watu wenye sifa ya kupiga kura wamejiandikisha kupiga kura!
 
Unapoteza muda na energy yako : kama unafanya kazi, ni sawa na mtu akuombe uache kazi ili na yeye apate, wewe utakula wapi.?

Demokrasia haiombwi, it has to be demàded Even by bloodshed, in demanding…… there comes a respect

Nimekua nikisema snaa ; there is no way chama cha upinzani kitashinda bila katiba mpya. Kama unadhan wakuu wa wilaya, wa mikoa, wakurugenzi wa halmashauri wanachaguliwa na rais kwa bahati mbaya haya, hao ndio wapishi wa kuhakîkisha kura zinaenda chama tawala

A cut off ya hao watu kuwa presidential appointment ni lazima

DG wa NEC ni presidential appointements, still mtu ana expect démocracy kwenye ouchaguzi, that is absard.

NEC inatakiwa iwe independent entity na DG wake achaguliwe na wananchi

Rais hapaswi kuteua DED, wala mkuu wa wilaya wala mkoa , ni watumishi na hawapasw kuwa na affiliation na yeyote

Kama hayo hayafanyika, achaneni na story za demokrasi
Pigeni maokoto Kama kina mbowe life isonge
Watu wanaojua kuwa kuna uozo mkubwa na nini kinapaswa kufanyika lakini wameamua kufanya maokoto tu na hata kuwakatisha tamaa wale wanaojaribu hata kupaaza sauti zao dhidi ya madhila hizi, hawa watu ndio wabaya zaidi na ndio ma-CCM yenyewe, nafikiri na wewe ni mmoja wao.
 
Nitakueimisha. Mbunge wa Ireland nchi ya Ulaya iliyo na Wakiristo wa Protestant na Roman Catholic ni nchi inayotetea haki sawa za binadamu wote. Mbuge huyu anamuombea Benjamin Netanyahu aingizwe motoni akifa tena ule moto uliowaka saana kwa sababu kauona ukatili wake wa kupindukiA.
Je wewe mgalatia ni nini ufahari wako wa kujihusisha na jina hilo?

Kama ni udini, huyo Hamtambui Yesu imani yao onawaambia Yesu ni mwana haramu, mama yake Yesu Maria malaya na alizaa haramu na ukiristo hawautambui ndio maana wanawatemea mapadri mate huko Jerusalem na Bethlehem na kupiga mabomu makanisa lebanoni.
UWT na biblia wapi wapi bhana? acha uongo
 
Sio bahati mbaya rais Samia amekwenda Marekani wakati huu taifa hilo lenye nguvu zaidi duniani likiwa katikati ya mtanange mkali wa uchaguzi. Na mara hii ni kati ya mhafidhina Donald Trump na mwanamama Kamala Harris.

Mtu hawezi kushindwa kufikiri kuwa kimya kimya rais Samia amekuwa kwenye kampeni za urais wa Marekani kwa kujua ama kwa kutojua. Hii ni mara ya pili rais Samia anakwenda Marekani ndani ya kipindi cha takriban mwaka mmoja hivi.

Wamarekani wakati huu wa uchaguzi wakimwona rais mwanamke tena kutoka nchi ya dunia ya tatu ambapo demokrasia ni majaaliwa tu basi wamarekani wanajisikia kuwa nyuma ki-demokrasia na jambo hili linaweza kuathiri maamuzi yao wakati wa upigaji kura.

Ama kweli siasa ni sayansi na ingekuwa tunafanya siasa zetu kisayansi tungekuwa mbali sana.

Swali ni je, rais Samia atarudi amejifunza nini kuhusu demokrasia na uchaguzi huru na wa haki? Je Samia ataguswa kujenga mazingira yanayoruhusu uchaguzi kufanyika chini ya tume huru ya uchaguzi? Je Samia atajifunza “fair play “ kwenye chaguzi zetu ambazo Tumeona wagombea wengi wakipitishwa bila kupingwa huku wapinzani wakienguliwa bila sababu za msingi?

Hiyo ndio zawadi tunayoisubiri kutoka kwa rais wetu mama Samia pindi arudipo kutoka ziarani Marekani na Cuba.
Kwanini asijifunze cuba
 
Nasubiri uniambie kama kuna mambo ya hovyo kwenye demokrasia ya Marekani kuzidi mambo haya: kupita bila kupingwa, wagombea zaidi ya nusu wa upinzania kuenguliwa bila kupingwa, vyama vya kisiasa kuzuia kufanya kampeni au mikutano, watu kuzuiwa kufanya maandamano ya amani, wakurugenzi wa serikali kusimamia uchaguzi na kuamua nani ashinde nani ashindwe, tume ya uchaguzi inayochaguliwa na rais aliyeko madarakan ambaye naye ni mgombea, rais aliye madarakani kutamka waziwazi kuwa ifikapo mwaka flani atakuwa amevifuta vyama vya upinzani, bunge kung'ang'ani wabunge ambao chama chao kimeshatoa barua kuwa sio wanachama wa chama chao tena, takwimu kuwa 100% ya watu wenye sifa ya kupiga kura wamejiandikisha kupiga kura!
Unaongelea mwaka gani labda? Mbona sisi CHADEMA tumefanya maandamano,mikutano,kugombea
 
Back
Top Bottom