Pre GE2025 Rais Samia ukitaka upite uchaguzi 2025 komaa na kundi la vijana, kama Hayati Magufuli alivyochagua kundi la wanyonge

Pre GE2025 Rais Samia ukitaka upite uchaguzi 2025 komaa na kundi la vijana, kama Hayati Magufuli alivyochagua kundi la wanyonge

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Yusufu R H Sabura

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2020
Posts
355
Reaction score
486
Dear President Samia,
Nakusalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania !.


Bila shaka umzima wa afya na waendelea vyema kulijenga taifa letu. Nakuombea kwa Mungu afya tele na uimara kwa vile usalama wako wa kiafya ndio msingi wa usalama wa taifa letu.

Kwa majina naitwa ndugu Yusufu Rajabu Hussein Sabura (25), ni raia wa asili na kuzaliwa wa jamhuri yetu ya muungano wa Tanzania. Ni mtaalamu ninaejitafuta wa sayansi ya siasa na utawala kutoka katika viunga vya Chuo Kikuu cha Dar Es Salaam sehemu ya mlimani.

Mheshimiwa Rais, nimefikiria sana kabla ya hapa ni namna gani nzuri ninayoweza kuitumia kukufikia lakini nakosa jibu, mpaka nilipokumbuka kuwa umewahi kusema kwamba wewe huwa unapita sana kwenye mitandao ya kijamii na unaona yanayosemwa ikiwamo mtandao wetu wa jamii forums.
Raisi, nikiwa miongoni mwa watanzania wengi wanaotamani uendelee kuliongoza taifa letu kabla na baada ya uchaguzi mkuu wa mwakani 2025, nikiwa na maana ya twende na Samia hadi 2030, kama itakupendeza PITA HAPA.

Mheshimiwa Raisi, ipo haja kubwa sana ukiwa kama Raisi na mgombea ajaye wa Uraisi kupitia chama cha mapinduzi kuchagua sehemu ya watu katika jamii ambao watu hawa piga ua hawatoambiwa kitu kuhusu wewe, kwa lugha ya mtaani tungewaita MAMA SAMIA KINDAKINDAKI, ninafahamu kuwa hili unalifahamu na sipo hapa kukufundisha kwa vile, upo kwenye siasa kwa miaka mingi mpaka kuupata umakamu wa Raisi na hata kuwa Raisi kamili. lakini pia ninafahamu ushirikiano wako kikazi na Profesa Mukandala kutoka idara ya siasa pale mlimani, kwahio sina shaka na wewe hata kidogo.

Mheshimiwa Rais, Mtangulizi wako hayati PhD, John Pombe Joseph Magufuli aliyekuwa Raisi wa awamu ya tano wa taifa letu, aliamua kuchagua kulitetea kundi kubwa la watu wenye kipato cha chini (MASIKINI) kwa gharama yeyote ile, ndio kusema kwamba, hudhaniwa alifariki kwa sababu ya kulitetea kundi hilo linalochukua asilimia kubwa ya idadi ya watanzania wakiwemo wakina mama wanaojishughulisha na shughuli ndogondogo kuendesha familia. Na kweli haina ubishi jitihada zake katika kuwatetea bado zinasikika katika masikio na nyoyo zao hata wangelala vipi.

Mheshimiwa Rais, kama ningepata nafasi ya kuwa mshauri wako !, ningekuomba uweke mgandamizo mkubwa sana katika kundi la vijana kwa vile, vijana ndio wamebeba hatma ya taifa. Sio hapa Tanzania tu, bali taifa lolote lile duniani. Katika andiko hili Naomba nieleze ni kwa namna gani utaweza kujipatia kura nyingi sana za vijana katika mkoa wa Pwani.

Mheshimiwa Raisi, ninayasema haya nikiwa na experience ya hustling tangu nilipomaliza masomo yangu pale mlimani mwaka 2022. Nilikuja mkoani Pwani angalau kuficha aibu ya kukaa nyumbani na hapa ndipo nilipogundua huku mama kuna kura zako za kuokota nyingi sana.

Mheshimiwa Raisi, Pwani ni mkoa wa viwanda, kwa vile hustling zangu zipo viwandani wacha nikueleze ni changamoto gani tunapitia kama vijana ili changamoto hizo ziwe fursa kwa chama cha mapinduzi kuelekea 2025.

Changamoto ya msingi kabisa ni katika malipo (posho)
Mheshimiwa Rais, maslahi yanayotolewa na viwanda vingi kiukweli kabisa hayaendani na maisha yanavyokwenda, mtu anafanya kazi asubuhi mpaka jioni lakini anaambulia kulipwa shilingi 5,000/=, za kitanzania, na hapo chakula na nauli ni kujigharamia, mtu huyohuyo unakuta aidha ni mama au baba wa familia ! hebu fikiria ni lini mtu huyu atainuka kiuchumi na kuacha kuinanga serikali?

wapo watu wanafanya kazi kwenye matanuri ya moto huko viwandani, ni kazi ya kuhatarisha maisha kabisa lakini mtu huyu ataambulia kulipwa shilingi 9,000/= na shilingi 1,000/= ya maziwa jumla shilingi 10,000/=. Mama kiwango hicho nakuomba kama itakupendeza kaa na washauri wako mjadiliane ni kwa vipi muwashinikize hawa matajiri waongeze kiwango ili mtu wa kawaida aondoke na shilingi 10,000/= kwa siku, na wale wa kwenye matanuri ya kupikia uji wa vyuma waondoke na shilingi 20,000/= kwa siku. Nakuhakikishia inawezekana kutendeka hili kwa vile faida wanayoingiza ni kubwa sana ukilinganisha na vile wafanyakazi wanavyolipwa. wanahujumu taifa tukiona lakini tunaogopa tukisema tutafanya kazi kwa nani? . Kama hili litawezekana nakuhakikishia hapa Pwani hakuna mtu atakayekuchomolea.

Changamoto ya pili ni katika upatikanaji wa ajira ya kudumu
Mheshimiwa Rais, himahima zungumza na wasaidizi wako mjue ni kwa namna gani na kwa vitendo mtawashinikiza hawa wawekezaji kutoa ajira za mikataba kwa wafanyakazi wao ambao ndio wapiga kura wako. Vijana wengi wanashindwa kuinuka kiuchumi licha ya kupata hivyo vibarua kwa vile hakuna uhakika wa kazi, walazimisheni kuajiri ili ikitokea siku kazi haipo kwa uzembe wa boss basi awalipe nusu malipo badala ya mtu huyo kurudi nyumbani bure, hili ni tatizo sugu.

Ni kwa sababu hakuna mikataba ya kazi ndio maana watu wanafanya kazi katika mazingira hatarishi, mchina au mhindi hawezi kumpa safety boots mtu ambae hana uhakika kama kesho atarudi, lakini mwajiri huyohuyo hatotoa msaada wa uhakika wa kimatibabu kwa mfanyakazi huyohuyo wa siku iwapo mtu huyo ataumia akiwa katika mazingira ya kazi. Ninakuhakikishia kama utatimiza hili ndani ya dakika hizi za majeruhi, Pwani yote utaondoka na kura za ndio.

Changamoto ya kutokumudu huduma za kiafya
Mheshimiwa Rais, kulingana na malipo duni ya posho kama nilivyotaja hapo awali , naweza kusema kwa kujiamini kwamba vibarua wote, na hata mimi graduate wako, hatuwezi kumudu huduma za kiafya pale tunapopata changamoto za kiafya hususan za ghafla. kumbuka unaumwa ! na usipoenda kazini hela hupati, kwahio binafsi napendekeza kwamba, kuwepo na bima ya afya ya lazima kwa kila mfanya kazi, ya angalau shilingi 50,400/= kama ilivyo vyuoni halafu kiwanda kikate hata mia tano mia tano kila siku ya kazi hadi deni litakapoisha.

kigezo cha bima ya Afya kiwe kigezo cha msingi na lazima kwa kiwanda chochote kile kinachotaka kuendesha shughuli zake nchini kwetu, kama ipo hivyo katika sheria zetu basi nakuhakikishia mambo ni tofauti huku. ukilitimiza hili utakuwa umeokoa nguvu kazi ya taifa na hakuna mwana Pwani yeyote anaweza kuchomoa kampeni zako hapo mwakani.

Kutokuwepo kwa hospitali au vituo vya afya vya dharura
Mheshimiwa Rais, ninakwambia hili from my very own experience ! inatokea mtu ameumia watu wanabaki wanamshangaa hawajui nini wafanye kuanzia usafiri wa dharura hata hospitali ya kwenda, kutokana na changamoto hii, ninakushauri ipitishwe sheria (najua hata spika Tulia atasoma hii na ikibidi akalisemee bungeni kabla wewe hujalizungumzia), ya kwamba katika kila wilaya ya kiviwanda iwepo hospitali aidha ya kiwanda kimoja kimoja au ya umoja wa viwanda wa eneo hilo, ambapo hospitali hiyo itafanya kazi ya kuhudumia wagonjwa wote wa dharura kutoka viwandani na kwa ujumla hata wananchi wa kawaida.

Ili ubora uwepo katika huduma, hospitali hizo ziendeshwe na viwanda hivyohivyo !, kama hawataweza basi wauze tenda kwa watu binafsi kwa masharti ya kwamba bima za wafanyakazi wa kiwanda x zifanye kazi katika hospitali x tu, iliyopo eneo hilohilo la viwandani. hii itapunguza kwa kiasi kikubwa sana umasikini unaowang'ang'ania vijana wanaopigika viwandani kwani, hela aliyoipata mtu wakati akifanya kazi badala ikafanye maendeleo ya nyumbani inapelekwa hospitali tena ikiwa hata haikidhi huduma. Kama hili litafanikiwa, mama nakuahidi mkoa wa Pwani kura zote za ndio utazipata.

Ni lazima serikali iwe na mikakati HAI, lakini liwepo dodoso maalumu la kiserikali litakalokuwa na kazi moja kubwa ya kurudisha imani ya vijana kwa serikali, ili dodoso hilo litumike kuwasilisha hali wanazozipitia huko kama vijana. Manyanyaso ni mengi kuanzia malipo, jinsia na hata rangi.Viwanda vitakavyoonekana kuwa kero badala ya faraja kwa watanzania vikaripiwe na vikiwa sugu basi wawapishe wawekezaji wengine.

Aidha kama nyongeza , idara za hatari kama kwenye matanuri zishikiliwe na watu ambao wanataaluma na idara husika, Mheshimiwa nikwambie tu kuna watu huko kwanza ni std seven halafu kakabidhiwa machine inatumia lugha ya kichina, na ni mwiko kubadili lugha yaani unaweza kulia ukiona.

Mheshimiwa Rais, ya kwangu yalikuwa hayo, nisamehewe kama kuna mahala sijatumia lugha nzuri kwani sina uzoefu wa kuzungumza na raisi yeyote yule, wewe ndiye wa kwanza. Nakuomba zingatia kundi la vijana ili twende kwa ulaini huko 2030, kumbuka kundi hili halikupiga kura kwa wingi uchaguzi uliopita.

Lakini pia kama hutojali nipo tayari kuongozana na wewe hapo mwakani kwenye kampeni za uchaguzi mkuu, jukwaa kwa jukwaa, jimbo kwa jimbo na hata mkoa kwa mkoa ili na mimi niwe miongoni mwa watakaojipiga na kutembea kifua mbele kukunadi katika utawala wako wa kusikia na kutenda.

Soma Pia: Barua ya Wazi kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan

Asante.

YUSUFU R H SABURA

0750883466/0717934194
 
Dear President Samia,
Nakusalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania !.


Bila shaka umzima wa afya na waendelea vyema kulijenga taifa letu. Nakuombea kwa Mungu afya tele na uimara kwa vile usalama wako wa kiafya ndio msingi wa usalama wa taifa letu.

kwa majina naitwa ndugu Yusufu Rajabu Hussein Sabura (25), ni raia wa asili na kuzaliwa wa jamhuri yetu ya muungano wa Tanzania. Ni mtaalamu ninaejitafuta wa sayansi ya siasa na utawala kutoka katika viunga vya Chuo Kikuu cha Dar Es Salaam sehemu ya mlimani.

Mheshimiwa Rais, nimefikiria sana kabla ya hapa ni namna gani nzuri ninayoweza kuitumia kukufikia lakini nakosa jibu, mpaka nilipokumbuka kuwa umewahi kusema kwamba wewe huwa unapita sana kwenye mitandao ya kijamii na unaona yanayosemwa ikiwamo mtandao wetu wa jamii forums.

Mheshimiwa Raisi, nikiwa miongoni mwa watanzania wengi wanaotamani uendelee kuliongoza taifa letu kabla na baada ya uchaguzi mkuu wa mwakani 2025, nikiwa na maana ya twende na Samia hadi 2030, kama itakupendeza PITA HAPA.

Mheshimiwa Raisi, ipo haja kubwa sana ukiwa kama Raisi na mgombea ajaye wa Uraisi kupitia chama cha mapinduzi kuchagua sehemu ya watu katika jamii ambao watu hawa piga ua hawatoambiwa kitu kuhusu wewe, kwa lugha ya mtaani tungewaita MAMA SAMIA KINDAKINDAKI, ninafahamu kuwa hili unalifahamu na sipo hapa kukufundisha kwa vile, upo kwenye siasa kwa miaka mingi mpaka kuupata umakamu wa Raisi na hata kuwa Raisi kamili. lakini pia ninafahamu ushirikiano wako kikazi na Profesa Mukandala kutoka idara ya siasa pale mlimani, kwahio sina shaka na wewe hata kidogo.

Mheshimiwa Raisi, Mtangulizi wako hayati PhD, John Pombe Joseph Magufuli aliyekuwa Raisi wa awamu ya tano wa taifa letu, aliamua kuchagua kulitetea kundi kubwa la watu wenye kipato cha chini (MASIKINI) kwa gharama yeyote ile, ndio kusema kwamba, hudhaniwa alifariki kwa sababu ya kulitetea kundi hilo linalochukua asilimia kubwa ya idadi ya watanzania wakiwemo wakina mama wanaojishughulisha na shughuli ndogondogo kuendesha familia. Na kweli haina ubishi jitihada zake katika kuwatetea bado zinasikika katika masikio na nyoyo zao hata wangelala vipi.

Mheshimiwa Raisi, kama ningepata nafasi ya kuwa mshauri wako !, ningekuomba uweke mgandamizo mkubwa sana katika kundi la vijana kwa vile, vijana ndio wamebeba hatma ya taifa. Sio hapa Tanzania tu, bali taifa lolote lile duniani. Katika andiko hili Naomba nieleze ni kwa namna gani utaweza kujipatia kura nyingi sana za vijana katika mkoa wa Pwani.

Mheshimiwa Raisi, ninayasema haya nikiwa na experience ya hustling tangu nilipomaliza masomo yangu pale mlimani mwaka 2022. Nilikuja mkoani Pwani angalau kuficha aibu ya kukaa nyumbani na hapa ndipo nilipogundua huku mama kuna kura zako za kuokota nyingi sana.

Mheshimiwa Raisi, Pwani ni mkoa wa viwanda, kwa vile hustling zangu zipo viwandani wacha nikueleze ni changamoto gani tunapitia kama vijana ili changamoto hizo ziwe fursa kwa chama cha mapinduzi kuelekea 2025.

Changamoto ya msingi kabisa ni katika malipo (posho)
Mheshimiwa Raisi, maslahi yanayotolewa na viwanda vingi kiukweli kabisa hayaendani na maisha yanavyokwenda, mtu anafanya kazi asubuhi mpaka jioni lakini anaambulia kulipwa shilingi 5,000/=, za kitanzania, na hapo chakula na nauli ni kujigharamia, mtu huyohuyo unakuta aidha ni mama au baba wa familia ! hebu fikiria ni lini mtu huyu atainuka kiuchumi na kuacha kuinanga serikali?

wapo watu wanafanya kazi kwenye matanuri ya moto huko viwandani, ni kazi ya kuhatarisha maisha kabisa lakini mtu huyu ataambulia kulipwa shilingi 9,000/= na shilingi 1,000/= ya maziwa jumla shilingi 10,000/=. Mama kiwango hicho nakuomba kama itakupendeza kaa na washauri wako mjadiliane ni kwa vipi muwashinikize hawa matajiri waongeze kiwango ili mtu wa kawaida aondoke na shilingi 10,000/= kwa siku, na wale wa kwenye matanuri ya kupikia uji wa vyuma waondoke na shilingi 20,000/= kwa siku. Nakuhakikishia inawezekana kutendeka hili kwa vile faida wanayoingiza ni kubwa sana ukilinganisha na vile wafanyakazi wanavyolipwa. wanahujumu taifa tukiona lakini tunaogopa tukisema tutafanya kazi kwa nani? . Kama hili litawezekana nakuhakikishia hapa Pwani hakuna mtu atakayekuchomolea.

Changamoto ya pili ni katika upatikanaji wa ajira ya kudumu
Mheshimiwa Rais, himahima zungumza na wasaidizi wako mjue ni kwa namna gani na kwa vitendo mtawashinikiza hawa wawekezaji kutoa ajira za mikataba kwa wafanyakazi wao ambao ndio wapiga kura wako. Vijana wengi wanashindwa kuinuka kiuchumi licha ya kupata hivyo vibarua kwa vile hakuna uhakika wa kazi, walazimisheni kuajiri ili ikitokea siku kazi haipo kwa uzembe wa boss basi awalipe nusu malipo badala ya mtu huyo kurudi nyumbani bure, hili ni tatizo sugu.

Ni kwa sababu hakuna mikataba ya kazi ndio maana watu wanafanya kazi katika mazingira hatarishi, mchina au mhindi hawezi kumpa safety boots mtu ambae hana uhakika kama kesho atarudi, lakini mwajiri huyohuyo hatotoa msaada wa uhakika wa kimatibabu kwa mfanyakazi huyohuyo wa siku iwapo mtu huyo ataumia akiwa katika mazingira ya kazi. Ninakuhakikishia kama utatimiza hili ndani ya dakika hizi za majeruhi, Pwani yote utaondoka na kura za ndio.

Changamoto ya kutokumudu huduma za kiafya
Mheshimiwa Rais, kulingana na malipo duni ya posho kama nilivyotaja hapo awali , naweza kusema kwa kujiamini kwamba vibarua wote, na hata mimi graduate wako, hatuwezi kumudu huduma za kiafya pale tunapopata changamoto za kiafya hususan za ghafla. kumbuka unaumwa ! na usipoenda kazini hela hupati, kwahio binafsi napendekeza kwamba, kuwepo na bima ya afya ya lazima kwa kila mfanya kazi, ya angalau shilingi 50,400/= kama ilivyo vyuoni halafu kiwanda kikate hata mia tano mia tano kila siku ya kazi hadi deni litakapoisha.

kigezo cha bima ya Afya kiwe kigezo cha msingi na lazima kwa kiwanda chochote kile kinachotaka kuendesha shughuli zake nchini kwetu, kama ipo hivyo katika sheria zetu basi nakuhakikishia mambo ni tofauti huku. ukilitimiza hili utakuwa umeokoa nguvu kazi ya taifa na hakuna mwana Pwani yeyote anaweza kuchomoa kampeni zako hapo mwakani.

Kutokuwepo kwa hospitali au vituo vya afya vya dharura
Mheshimiwa Rais, ninakwambia hili from my very own experience ! inatokea mtu ameumia watu wanabaki wanamshangaa hawajui nini wafanye kuanzia usafiri wa dharura hata hospitali ya kwenda, kutokana na changamoto hii, ninakushauri ipitishwe sheria (najua hata spika Tulia atasoma hii na ikibidi akalisemee bungeni kabla wewe hujalizungumzia), ya kwamba katika kila wilaya ya kiviwanda iwepo hospitali aidha ya kiwanda kimoja kimoja au ya umoja wa viwanda wa eneo hilo, ambapo hospitali hiyo itafanya kazi ya kuhudumia wagonjwa wote wa dharura kutoka viwandani na kwa ujumla hata wananchi wa kawaida.

Ili ubora uwepo katika huduma, hospitali hizo ziendeshwe na viwanda hivyohivyo !, kama hawataweza basi wauze tenda kwa watu binafsi kwa masharti ya kwamba bima za wafanyakazi wa kiwanda x zifanye kazi katika hospitali x tu, iliyopo eneo hilohilo la viwandani. hii itapunguza kwa kiasi kikubwa sana umasikini unaowang'ang'ania vijana wanaopigika viwandani kwani, hela aliyoipata mtu wakati akifanya kazi badala ikafanye maendeleo ya nyumbani inapelekwa hospitali tena ikiwa hata haikidhi huduma. Kama hili litafanikiwa, mama nakuahidi mkoa wa Pwani kura zote za ndio utazipata.

Ni lazima serikali iwe na mikakati HAI, lakini liwepo dodoso maalumu la kiserikali litakalokuwa na kazi moja kubwa ya kurudisha imani ya vijana kwa serikali, ili dodoso hilo litumike kuwasilisha hali wanazozipitia huko kama vijana. Manyanyaso ni mengi kuanzia malipo, jinsia na hata rangi.Viwanda vitakavyoonekana kuwa kero badala ya faraja kwa watanzania vikaripiwe na vikiwa sugu basi wawapishe wawekezaji wengine.

Aidha kama nyongeza , idara za hatari kama kwenye matanuri zishikiliwe na watu ambao wanataaluma na idara husika, Mheshimiwa nikwambie tu kuna watu huko kwanza ni std seven halafu kakabidhiwa machine inatumia lugha ya kichina, na ni mwiko kubadili lugha yaani unaweza kulia ukiona.

Mheshimiwa Rais, ya kwangu yalikuwa hayo, nisamehewe kama kuna mahala sijatumia lugha nzuri kwani sina uzoefu wa kuzungumza na raisi yeyote yule, wewe ndiye wa kwanza. Nakuomba zingatia kundi la vijana ili twende kwa ulaini huko 2030, kumbuka kundi hili halikupiga kura kwa wingi uchaguzi uliopita.

Lakini pia kama hutojali nipo tayari kuongozana na wewe hapo mwakani kwenye kampeni za uchaguzi mkuu, jukwaa kwa jukwaa, jimbo kwa jimbo na hata mkoa kwa mkoa ili na mimi niwe miongoni mwa watakaojipiga na kutembea kifua mbele kukunadi katika utawala wako wa kusikia na kutenda.

Asante.

YUSUFU R H SABURA

0750883466/0717934194
[emoji7]
 
Dear President Samia,
Nakusalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania !.


Bila shaka umzima wa afya na waendelea vyema kulijenga taifa letu. Nakuombea kwa Mungu afya tele na uimara kwa vile usalama wako wa kiafya ndio msingi wa usalama wa taifa letu.

Kwa majina naitwa ndugu Yusufu Rajabu Hussein Sabura (25), ni raia wa asili na kuzaliwa wa jamhuri yetu ya muungano wa Tanzania. Ni mtaalamu ninaejitafuta wa sayansi ya siasa na utawala kutoka katika viunga vya Chuo Kikuu cha Dar Es Salaam sehemu ya mlimani.

Mheshimiwa Rais, nimefikiria sana kabla ya hapa ni namna gani nzuri ninayoweza kuitumia kukufikia lakini nakosa jibu, mpaka nilipokumbuka kuwa umewahi kusema kwamba wewe huwa unapita sana kwenye mitandao ya kijamii na unaona yanayosemwa ikiwamo mtandao wetu wa jamii forums.
Raisi, nikiwa miongoni mwa watanzania wengi wanaotamani uendelee kuliongoza taifa letu kabla na baada ya uchaguzi mkuu wa mwakani 2025, nikiwa na maana ya twende na Samia hadi 2030, kama itakupendeza PITA HAPA.

Mheshimiwa Raisi, ipo haja kubwa sana ukiwa kama Raisi na mgombea ajaye wa Uraisi kupitia chama cha mapinduzi kuchagua sehemu ya watu katika jamii ambao watu hawa piga ua hawatoambiwa kitu kuhusu wewe, kwa lugha ya mtaani tungewaita MAMA SAMIA KINDAKINDAKI, ninafahamu kuwa hili unalifahamu na sipo hapa kukufundisha kwa vile, upo kwenye siasa kwa miaka mingi mpaka kuupata umakamu wa Raisi na hata kuwa Raisi kamili. lakini pia ninafahamu ushirikiano wako kikazi na Profesa Mukandala kutoka idara ya siasa pale mlimani, kwahio sina shaka na wewe hata kidogo.

Mheshimiwa Rais, Mtangulizi wako hayati PhD, John Pombe Joseph Magufuli aliyekuwa Raisi wa awamu ya tano wa taifa letu, aliamua kuchagua kulitetea kundi kubwa la watu wenye kipato cha chini (MASIKINI) kwa gharama yeyote ile, ndio kusema kwamba, hudhaniwa alifariki kwa sababu ya kulitetea kundi hilo linalochukua asilimia kubwa ya idadi ya watanzania wakiwemo wakina mama wanaojishughulisha na shughuli ndogondogo kuendesha familia. Na kweli haina ubishi jitihada zake katika kuwatetea bado zinasikika katika masikio na nyoyo zao hata wangelala vipi.

Mheshimiwa Rais, kama ningepata nafasi ya kuwa mshauri wako !, ningekuomba uweke mgandamizo mkubwa sana katika kundi la vijana kwa vile, vijana ndio wamebeba hatma ya taifa. Sio hapa Tanzania tu, bali taifa lolote lile duniani. Katika andiko hili Naomba nieleze ni kwa namna gani utaweza kujipatia kura nyingi sana za vijana katika mkoa wa Pwani.

Mheshimiwa Raisi, ninayasema haya nikiwa na experience ya hustling tangu nilipomaliza masomo yangu pale mlimani mwaka 2022. Nilikuja mkoani Pwani angalau kuficha aibu ya kukaa nyumbani na hapa ndipo nilipogundua huku mama kuna kura zako za kuokota nyingi sana.

Mheshimiwa Raisi, Pwani ni mkoa wa viwanda, kwa vile hustling zangu zipo viwandani wacha nikueleze ni changamoto gani tunapitia kama vijana ili changamoto hizo ziwe fursa kwa chama cha mapinduzi kuelekea 2025.

Changamoto ya msingi kabisa ni katika malipo (posho)
Mheshimiwa Rais, maslahi yanayotolewa na viwanda vingi kiukweli kabisa hayaendani na maisha yanavyokwenda, mtu anafanya kazi asubuhi mpaka jioni lakini anaambulia kulipwa shilingi 5,000/=, za kitanzania, na hapo chakula na nauli ni kujigharamia, mtu huyohuyo unakuta aidha ni mama au baba wa familia ! hebu fikiria ni lini mtu huyu atainuka kiuchumi na kuacha kuinanga serikali?

wapo watu wanafanya kazi kwenye matanuri ya moto huko viwandani, ni kazi ya kuhatarisha maisha kabisa lakini mtu huyu ataambulia kulipwa shilingi 9,000/= na shilingi 1,000/= ya maziwa jumla shilingi 10,000/=. Mama kiwango hicho nakuomba kama itakupendeza kaa na washauri wako mjadiliane ni kwa vipi muwashinikize hawa matajiri waongeze kiwango ili mtu wa kawaida aondoke na shilingi 10,000/= kwa siku, na wale wa kwenye matanuri ya kupikia uji wa vyuma waondoke na shilingi 20,000/= kwa siku. Nakuhakikishia inawezekana kutendeka hili kwa vile faida wanayoingiza ni kubwa sana ukilinganisha na vile wafanyakazi wanavyolipwa. wanahujumu taifa tukiona lakini tunaogopa tukisema tutafanya kazi kwa nani? . Kama hili litawezekana nakuhakikishia hapa Pwani hakuna mtu atakayekuchomolea.

Changamoto ya pili ni katika upatikanaji wa ajira ya kudumu
Mheshimiwa Rais, himahima zungumza na wasaidizi wako mjue ni kwa namna gani na kwa vitendo mtawashinikiza hawa wawekezaji kutoa ajira za mikataba kwa wafanyakazi wao ambao ndio wapiga kura wako. Vijana wengi wanashindwa kuinuka kiuchumi licha ya kupata hivyo vibarua kwa vile hakuna uhakika wa kazi, walazimisheni kuajiri ili ikitokea siku kazi haipo kwa uzembe wa boss basi awalipe nusu malipo badala ya mtu huyo kurudi nyumbani bure, hili ni tatizo sugu.

Ni kwa sababu hakuna mikataba ya kazi ndio maana watu wanafanya kazi katika mazingira hatarishi, mchina au mhindi hawezi kumpa safety boots mtu ambae hana uhakika kama kesho atarudi, lakini mwajiri huyohuyo hatotoa msaada wa uhakika wa kimatibabu kwa mfanyakazi huyohuyo wa siku iwapo mtu huyo ataumia akiwa katika mazingira ya kazi. Ninakuhakikishia kama utatimiza hili ndani ya dakika hizi za majeruhi, Pwani yote utaondoka na kura za ndio.

Changamoto ya kutokumudu huduma za kiafya
Mheshimiwa Rais, kulingana na malipo duni ya posho kama nilivyotaja hapo awali , naweza kusema kwa kujiamini kwamba vibarua wote, na hata mimi graduate wako, hatuwezi kumudu huduma za kiafya pale tunapopata changamoto za kiafya hususan za ghafla. kumbuka unaumwa ! na usipoenda kazini hela hupati, kwahio binafsi napendekeza kwamba, kuwepo na bima ya afya ya lazima kwa kila mfanya kazi, ya angalau shilingi 50,400/= kama ilivyo vyuoni halafu kiwanda kikate hata mia tano mia tano kila siku ya kazi hadi deni litakapoisha.

kigezo cha bima ya Afya kiwe kigezo cha msingi na lazima kwa kiwanda chochote kile kinachotaka kuendesha shughuli zake nchini kwetu, kama ipo hivyo katika sheria zetu basi nakuhakikishia mambo ni tofauti huku. ukilitimiza hili utakuwa umeokoa nguvu kazi ya taifa na hakuna mwana Pwani yeyote anaweza kuchomoa kampeni zako hapo mwakani.

Kutokuwepo kwa hospitali au vituo vya afya vya dharura
Mheshimiwa Rais, ninakwambia hili from my very own experience ! inatokea mtu ameumia watu wanabaki wanamshangaa hawajui nini wafanye kuanzia usafiri wa dharura hata hospitali ya kwenda, kutokana na changamoto hii, ninakushauri ipitishwe sheria (najua hata spika Tulia atasoma hii na ikibidi akalisemee bungeni kabla wewe hujalizungumzia), ya kwamba katika kila wilaya ya kiviwanda iwepo hospitali aidha ya kiwanda kimoja kimoja au ya umoja wa viwanda wa eneo hilo, ambapo hospitali hiyo itafanya kazi ya kuhudumia wagonjwa wote wa dharura kutoka viwandani na kwa ujumla hata wananchi wa kawaida.

Ili ubora uwepo katika huduma, hospitali hizo ziendeshwe na viwanda hivyohivyo !, kama hawataweza basi wauze tenda kwa watu binafsi kwa masharti ya kwamba bima za wafanyakazi wa kiwanda x zifanye kazi katika hospitali x tu, iliyopo eneo hilohilo la viwandani. hii itapunguza kwa kiasi kikubwa sana umasikini unaowang'ang'ania vijana wanaopigika viwandani kwani, hela aliyoipata mtu wakati akifanya kazi badala ikafanye maendeleo ya nyumbani inapelekwa hospitali tena ikiwa hata haikidhi huduma. Kama hili litafanikiwa, mama nakuahidi mkoa wa Pwani kura zote za ndio utazipata.

Ni lazima serikali iwe na mikakati HAI, lakini liwepo dodoso maalumu la kiserikali litakalokuwa na kazi moja kubwa ya kurudisha imani ya vijana kwa serikali, ili dodoso hilo litumike kuwasilisha hali wanazozipitia huko kama vijana. Manyanyaso ni mengi kuanzia malipo, jinsia na hata rangi.Viwanda vitakavyoonekana kuwa kero badala ya faraja kwa watanzania vikaripiwe na vikiwa sugu basi wawapishe wawekezaji wengine.

Aidha kama nyongeza , idara za hatari kama kwenye matanuri zishikiliwe na watu ambao wanataaluma na idara husika, Mheshimiwa nikwambie tu kuna watu huko kwanza ni std seven halafu kakabidhiwa machine inatumia lugha ya kichina, na ni mwiko kubadili lugha yaani unaweza kulia ukiona.

Mheshimiwa Rais, ya kwangu yalikuwa hayo, nisamehewe kama kuna mahala sijatumia lugha nzuri kwani sina uzoefu wa kuzungumza na raisi yeyote yule, wewe ndiye wa kwanza. Nakuomba zingatia kundi la vijana ili twende kwa ulaini huko 2030, kumbuka kundi hili halikupiga kura kwa wingi uchaguzi uliopita.

Lakini pia kama hutojali nipo tayari kuongozana na wewe hapo mwakani kwenye kampeni za uchaguzi mkuu, jukwaa kwa jukwaa, jimbo kwa jimbo na hata mkoa kwa mkoa ili na mimi niwe miongoni mwa watakaojipiga na kutembea kifua mbele kukunadi katika utawala wako wa kusikia na kutenda.

Soma Pia: Barua ya Wazi kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan

Asante.

YUSUFU R H SABURA

0750883466/0717934194
Juzi nilikuwepo Kizimkazi na CHAWA wangu. Leo nipo China!!

Endelea kupiga kazi Ili ujikomboe
 
Dear President Samia,

Raisi, nikiwa miongoni mwa watanzania wengi wanaotamani uendelee kuliongoza taifa letu kabla na baada ya uchaguzi mkuu wa mwakani 2025, nikiwa na maana ya twende na Samia hadi 2030, kama itakupendeza PITA HAPA.

Mheshimiwa Rais, kama ningepata nafasi ya kuwa mshauri wako !, ningekuomba uweke mgandamizo mkubwa sana katika kundi la vijana kwa vile, vijana ndio wamebeba hatma ya taifa. Sio hapa Tanzania tu, bali taifa lolote lile duniani. Katika andiko hili Naomba nieleze ni kwa namna gani utaweza kujipatia kura nyingi sana za vijana katika mkoa wa Pwani.

Asante.

YUSUFU R H SABURA

0750883466/0717934194


Yusuf hongera sana kwa bandiko zuri la kisomi, nimefarijika wasomi wa vyou vikuu mkileta mabandiko ya kisomi jf.

Nimefarijika kuzijua changamoto za vijana wa Pwani kama ulivyoziainisha na kwa vile umeweka namba yako, utatafutwa ujumuishwe kwenye team ya mitano tena.

Naomba nikujulishe mambo mawili ambayo utakuwa huyajui.

Vijana wa Pwani ni wavivu na sio wapiga kura!, hiyo working class ya viwandani ni watu wakuja, vijana wa Pwani hawataki kupiga kazi za mauling hivyo kuwategemea kupata kura za ushindi ni kufukuza upepo.

Hata hivyo mabingwa wa sayansi ya siasa, wanajua kura za wapi ndio determinant, eneo hilo tayari liko secured, hivyo hizo kura za vijana wa Pwani labda ziwe za kujazia jazia tuu!.

Nilitamani nyie wasomi wa sayansi ya siasa kuwaelimisha watu kwanini mitano tena bola kuweka uchawa ili hiyo 2025 Watanzania wafanye informed decision.
Hongera tena kwa bandiko zuri.
P
 
Yusuf hongera sana kwa bandiko zuri la kisomi, nimefarijika wasomi wa vyou vikuu mkileta mabandiko ya kisomi jf.

Nimefarijika kuzijua changamoto za vijana wa Pwani kama ulivyoziainisha na kwa vile umeweka namba yako, utatafutwa ujumuishwe kwenye team ya mitano tena.

Naomba nikujulishe mambo mawili ambayo utakuwa huyajui.

Vijana wa Pwani ni wavivu na sio wapiga kura!, hiyo working class ya viwandani ni watu wakuja, vijana wa Pwani hawataki kupiga kazi za mauling hivyo kuwategemea kupata kura za ushindi ni kufukuza upepo.

Hata hivyo mabingwa wa sayansi ya siasa, wanajua kura za wapi ndio determinant, eneo hilo tayari liko secured, hivyo hizo kura za vijana wa Pwani labda ziwe za kujazia jazia tuu!.

Nilitamani nyie wasomi wa sayansi ya siasa kuwaelimisha watu kwanini mitano tena bola kuweka uchawa ili hiyo 2025 Watanzania wafanye informed decision.
Hongera tena kwa bandiko zuri.
P
Asante sana kwa uchangiaji wako ndugu Mayalla, Ninaamini umelipa thamani andiko hili.
 
Umeweka no ajili ya uteuzi? maza kakomaa na majangili ya fedha za umma ndiyo marafiki zake
 
Dear President Samia,
Nakusalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania !.


Bila shaka umzima wa afya na waendelea vyema kulijenga taifa letu. Nakuombea kwa Mungu afya tele na uimara kwa vile usalama wako wa kiafya ndio msingi wa usalama wa taifa letu.

Kwa majina naitwa ndugu Yusufu Rajabu Hussein Sabura (25), ni raia wa asili na kuzaliwa wa jamhuri yetu ya muungano wa Tanzania. Ni mtaalamu ninaejitafuta wa sayansi ya siasa na utawala kutoka katika viunga vya Chuo Kikuu cha Dar Es Salaam sehemu ya mlimani.

Mheshimiwa Rais, nimefikiria sana kabla ya hapa ni namna gani nzuri ninayoweza kuitumia kukufikia lakini nakosa jibu, mpaka nilipokumbuka kuwa umewahi kusema kwamba wewe huwa unapita sana kwenye mitandao ya kijamii na unaona yanayosemwa ikiwamo mtandao wetu wa jamii forums.
Raisi, nikiwa miongoni mwa watanzania wengi wanaotamani uendelee kuliongoza taifa letu kabla na baada ya uchaguzi mkuu wa mwakani 2025, nikiwa na maana ya twende na Samia hadi 2030, kama itakupendeza PITA HAPA.

Mheshimiwa Raisi, ipo haja kubwa sana ukiwa kama Raisi na mgombea ajaye wa Uraisi kupitia chama cha mapinduzi kuchagua sehemu ya watu katika jamii ambao watu hawa piga ua hawatoambiwa kitu kuhusu wewe, kwa lugha ya mtaani tungewaita MAMA SAMIA KINDAKINDAKI, ninafahamu kuwa hili unalifahamu na sipo hapa kukufundisha kwa vile, upo kwenye siasa kwa miaka mingi mpaka kuupata umakamu wa Raisi na hata kuwa Raisi kamili. lakini pia ninafahamu ushirikiano wako kikazi na Profesa Mukandala kutoka idara ya siasa pale mlimani, kwahio sina shaka na wewe hata kidogo.

Mheshimiwa Rais, Mtangulizi wako hayati PhD, John Pombe Joseph Magufuli aliyekuwa Raisi wa awamu ya tano wa taifa letu, aliamua kuchagua kulitetea kundi kubwa la watu wenye kipato cha chini (MASIKINI) kwa gharama yeyote ile, ndio kusema kwamba, hudhaniwa alifariki kwa sababu ya kulitetea kundi hilo linalochukua asilimia kubwa ya idadi ya watanzania wakiwemo wakina mama wanaojishughulisha na shughuli ndogondogo kuendesha familia. Na kweli haina ubishi jitihada zake katika kuwatetea bado zinasikika katika masikio na nyoyo zao hata wangelala vipi.

Mheshimiwa Rais, kama ningepata nafasi ya kuwa mshauri wako !, ningekuomba uweke mgandamizo mkubwa sana katika kundi la vijana kwa vile, vijana ndio wamebeba hatma ya taifa. Sio hapa Tanzania tu, bali taifa lolote lile duniani. Katika andiko hili Naomba nieleze ni kwa namna gani utaweza kujipatia kura nyingi sana za vijana katika mkoa wa Pwani.

Mheshimiwa Raisi, ninayasema haya nikiwa na experience ya hustling tangu nilipomaliza masomo yangu pale mlimani mwaka 2022. Nilikuja mkoani Pwani angalau kuficha aibu ya kukaa nyumbani na hapa ndipo nilipogundua huku mama kuna kura zako za kuokota nyingi sana.

Mheshimiwa Raisi, Pwani ni mkoa wa viwanda, kwa vile hustling zangu zipo viwandani wacha nikueleze ni changamoto gani tunapitia kama vijana ili changamoto hizo ziwe fursa kwa chama cha mapinduzi kuelekea 2025.

Changamoto ya msingi kabisa ni katika malipo (posho)
Mheshimiwa Rais, maslahi yanayotolewa na viwanda vingi kiukweli kabisa hayaendani na maisha yanavyokwenda, mtu anafanya kazi asubuhi mpaka jioni lakini anaambulia kulipwa shilingi 5,000/=, za kitanzania, na hapo chakula na nauli ni kujigharamia, mtu huyohuyo unakuta aidha ni mama au baba wa familia ! hebu fikiria ni lini mtu huyu atainuka kiuchumi na kuacha kuinanga serikali?

wapo watu wanafanya kazi kwenye matanuri ya moto huko viwandani, ni kazi ya kuhatarisha maisha kabisa lakini mtu huyu ataambulia kulipwa shilingi 9,000/= na shilingi 1,000/= ya maziwa jumla shilingi 10,000/=. Mama kiwango hicho nakuomba kama itakupendeza kaa na washauri wako mjadiliane ni kwa vipi muwashinikize hawa matajiri waongeze kiwango ili mtu wa kawaida aondoke na shilingi 10,000/= kwa siku, na wale wa kwenye matanuri ya kupikia uji wa vyuma waondoke na shilingi 20,000/= kwa siku. Nakuhakikishia inawezekana kutendeka hili kwa vile faida wanayoingiza ni kubwa sana ukilinganisha na vile wafanyakazi wanavyolipwa. wanahujumu taifa tukiona lakini tunaogopa tukisema tutafanya kazi kwa nani? . Kama hili litawezekana nakuhakikishia hapa Pwani hakuna mtu atakayekuchomolea.

Changamoto ya pili ni katika upatikanaji wa ajira ya kudumu
Mheshimiwa Rais, himahima zungumza na wasaidizi wako mjue ni kwa namna gani na kwa vitendo mtawashinikiza hawa wawekezaji kutoa ajira za mikataba kwa wafanyakazi wao ambao ndio wapiga kura wako. Vijana wengi wanashindwa kuinuka kiuchumi licha ya kupata hivyo vibarua kwa vile hakuna uhakika wa kazi, walazimisheni kuajiri ili ikitokea siku kazi haipo kwa uzembe wa boss basi awalipe nusu malipo badala ya mtu huyo kurudi nyumbani bure, hili ni tatizo sugu.

Ni kwa sababu hakuna mikataba ya kazi ndio maana watu wanafanya kazi katika mazingira hatarishi, mchina au mhindi hawezi kumpa safety boots mtu ambae hana uhakika kama kesho atarudi, lakini mwajiri huyohuyo hatotoa msaada wa uhakika wa kimatibabu kwa mfanyakazi huyohuyo wa siku iwapo mtu huyo ataumia akiwa katika mazingira ya kazi. Ninakuhakikishia kama utatimiza hili ndani ya dakika hizi za majeruhi, Pwani yote utaondoka na kura za ndio.

Changamoto ya kutokumudu huduma za kiafya
Mheshimiwa Rais, kulingana na malipo duni ya posho kama nilivyotaja hapo awali , naweza kusema kwa kujiamini kwamba vibarua wote, na hata mimi graduate wako, hatuwezi kumudu huduma za kiafya pale tunapopata changamoto za kiafya hususan za ghafla. kumbuka unaumwa ! na usipoenda kazini hela hupati, kwahio binafsi napendekeza kwamba, kuwepo na bima ya afya ya lazima kwa kila mfanya kazi, ya angalau shilingi 50,400/= kama ilivyo vyuoni halafu kiwanda kikate hata mia tano mia tano kila siku ya kazi hadi deni litakapoisha.

kigezo cha bima ya Afya kiwe kigezo cha msingi na lazima kwa kiwanda chochote kile kinachotaka kuendesha shughuli zake nchini kwetu, kama ipo hivyo katika sheria zetu basi nakuhakikishia mambo ni tofauti huku. ukilitimiza hili utakuwa umeokoa nguvu kazi ya taifa na hakuna mwana Pwani yeyote anaweza kuchomoa kampeni zako hapo mwakani.

Kutokuwepo kwa hospitali au vituo vya afya vya dharura
Mheshimiwa Rais, ninakwambia hili from my very own experience ! inatokea mtu ameumia watu wanabaki wanamshangaa hawajui nini wafanye kuanzia usafiri wa dharura hata hospitali ya kwenda, kutokana na changamoto hii, ninakushauri ipitishwe sheria (najua hata spika Tulia atasoma hii na ikibidi akalisemee bungeni kabla wewe hujalizungumzia), ya kwamba katika kila wilaya ya kiviwanda iwepo hospitali aidha ya kiwanda kimoja kimoja au ya umoja wa viwanda wa eneo hilo, ambapo hospitali hiyo itafanya kazi ya kuhudumia wagonjwa wote wa dharura kutoka viwandani na kwa ujumla hata wananchi wa kawaida.

Ili ubora uwepo katika huduma, hospitali hizo ziendeshwe na viwanda hivyohivyo !, kama hawataweza basi wauze tenda kwa watu binafsi kwa masharti ya kwamba bima za wafanyakazi wa kiwanda x zifanye kazi katika hospitali x tu, iliyopo eneo hilohilo la viwandani. hii itapunguza kwa kiasi kikubwa sana umasikini unaowang'ang'ania vijana wanaopigika viwandani kwani, hela aliyoipata mtu wakati akifanya kazi badala ikafanye maendeleo ya nyumbani inapelekwa hospitali tena ikiwa hata haikidhi huduma. Kama hili litafanikiwa, mama nakuahidi mkoa wa Pwani kura zote za ndio utazipata.

Ni lazima serikali iwe na mikakati HAI, lakini liwepo dodoso maalumu la kiserikali litakalokuwa na kazi moja kubwa ya kurudisha imani ya vijana kwa serikali, ili dodoso hilo litumike kuwasilisha hali wanazozipitia huko kama vijana. Manyanyaso ni mengi kuanzia malipo, jinsia na hata rangi.Viwanda vitakavyoonekana kuwa kero badala ya faraja kwa watanzania vikaripiwe na vikiwa sugu basi wawapishe wawekezaji wengine.

Aidha kama nyongeza , idara za hatari kama kwenye matanuri zishikiliwe na watu ambao wanataaluma na idara husika, Mheshimiwa nikwambie tu kuna watu huko kwanza ni std seven halafu kakabidhiwa machine inatumia lugha ya kichina, na ni mwiko kubadili lugha yaani unaweza kulia ukiona.

Mheshimiwa Rais, ya kwangu yalikuwa hayo, nisamehewe kama kuna mahala sijatumia lugha nzuri kwani sina uzoefu wa kuzungumza na raisi yeyote yule, wewe ndiye wa kwanza. Nakuomba zingatia kundi la vijana ili twende kwa ulaini huko 2030, kumbuka kundi hili halikupiga kura kwa wingi uchaguzi uliopita.

Lakini pia kama hutojali nipo tayari kuongozana na wewe hapo mwakani kwenye kampeni za uchaguzi mkuu, jukwaa kwa jukwaa, jimbo kwa jimbo na hata mkoa kwa mkoa ili na mimi niwe miongoni mwa watakaojipiga na kutembea kifua mbele kukunadi katika utawala wako wa kusikia na kutenda.

Soma Pia: Barua ya Wazi kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan

Asante.

YUSUFU R H SABURA

0750883466/0717934194
Aisee
 
Yusuf hongera sana kwa bandiko zuri la kisomi, nimefarijika wasomi wa vyou vikuu mkileta mabandiko ya kisomi jf.

Nimefarijika kuzijua changamoto za vijana wa Pwani kama ulivyoziainisha na kwa vile umeweka namba yako, utatafutwa ujumuishwe kwenye team ya mitano tena.

Naomba nikujulishe mambo mawili ambayo utakuwa huyajui.

Vijana wa Pwani ni wavivu na sio wapiga kura!, hiyo working class ya viwandani ni watu wakuja, vijana wa Pwani hawataki kupiga kazi za mauling hivyo kuwategemea kupata kura za ushindi ni kufukuza upepo.

Hata hivyo mabingwa wa sayansi ya siasa, wanajua kura za wapi ndio determinant, eneo hilo tayari liko secured, hivyo hizo kura za vijana wa Pwani labda ziwe za kujazia jazia tuu!.

Nilitamani nyie wasomi wa sayansi ya siasa kuwaelimisha watu kwanini mitano tena bola kuweka uchawa ili hiyo 2025 Watanzania wafanye informed decision.
Hongera tena kwa bandiko zuri.
P
Paschal wewe ni mwandishi wa siku nyingi epuka makosa madogo madogo
 
Dear President Samia,
Nakusalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania !.


Bila shaka umzima wa afya na waendelea vyema kulijenga taifa letu. Nakuombea kwa Mungu afya tele na uimara kwa vile usalama wako wa kiafya ndio msingi wa usalama wa taifa letu.

Kwa majina naitwa ndugu Yusufu Rajabu Hussein Sabura (25), ni raia wa asili na kuzaliwa wa jamhuri yetu ya muungano wa Tanzania. Ni mtaalamu ninaejitafuta wa sayansi ya siasa na utawala kutoka katika viunga vya Chuo Kikuu cha Dar Es Salaam sehemu ya mlimani.

Mheshimiwa Rais, nimefikiria sana kabla ya hapa ni namna gani nzuri ninayoweza kuitumia kukufikia lakini nakosa jibu, mpaka nilipokumbuka kuwa umewahi kusema kwamba wewe huwa unapita sana kwenye mitandao ya kijamii na unaona yanayosemwa ikiwamo mtandao wetu wa jamii forums.
Raisi, nikiwa miongoni mwa watanzania wengi wanaotamani uendelee kuliongoza taifa letu kabla na baada ya uchaguzi mkuu wa mwakani 2025, nikiwa na maana ya twende na Samia hadi 2030, kama itakupendeza PITA HAPA.

Mheshimiwa Raisi, ipo haja kubwa sana ukiwa kama Raisi na mgombea ajaye wa Uraisi kupitia chama cha mapinduzi kuchagua sehemu ya watu katika jamii ambao watu hawa piga ua hawatoambiwa kitu kuhusu wewe, kwa lugha ya mtaani tungewaita MAMA SAMIA KINDAKINDAKI, ninafahamu kuwa hili unalifahamu na sipo hapa kukufundisha kwa vile, upo kwenye siasa kwa miaka mingi mpaka kuupata umakamu wa Raisi na hata kuwa Raisi kamili. lakini pia ninafahamu ushirikiano wako kikazi na Profesa Mukandala kutoka idara ya siasa pale mlimani, kwahio sina shaka na wewe hata kidogo.

Mheshimiwa Rais, Mtangulizi wako hayati PhD, John Pombe Joseph Magufuli aliyekuwa Raisi wa awamu ya tano wa taifa letu, aliamua kuchagua kulitetea kundi kubwa la watu wenye kipato cha chini (MASIKINI) kwa gharama yeyote ile, ndio kusema kwamba, hudhaniwa alifariki kwa sababu ya kulitetea kundi hilo linalochukua asilimia kubwa ya idadi ya watanzania wakiwemo wakina mama wanaojishughulisha na shughuli ndogondogo kuendesha familia. Na kweli haina ubishi jitihada zake katika kuwatetea bado zinasikika katika masikio na nyoyo zao hata wangelala vipi.

Mheshimiwa Rais, kama ningepata nafasi ya kuwa mshauri wako !, ningekuomba uweke mgandamizo mkubwa sana katika kundi la vijana kwa vile, vijana ndio wamebeba hatma ya taifa. Sio hapa Tanzania tu, bali taifa lolote lile duniani. Katika andiko hili Naomba nieleze ni kwa namna gani utaweza kujipatia kura nyingi sana za vijana katika mkoa wa Pwani.

Mheshimiwa Raisi, ninayasema haya nikiwa na experience ya hustling tangu nilipomaliza masomo yangu pale mlimani mwaka 2022. Nilikuja mkoani Pwani angalau kuficha aibu ya kukaa nyumbani na hapa ndipo nilipogundua huku mama kuna kura zako za kuokota nyingi sana.

Mheshimiwa Raisi, Pwani ni mkoa wa viwanda, kwa vile hustling zangu zipo viwandani wacha nikueleze ni changamoto gani tunapitia kama vijana ili changamoto hizo ziwe fursa kwa chama cha mapinduzi kuelekea 2025.

Changamoto ya msingi kabisa ni katika malipo (posho)
Mheshimiwa Rais, maslahi yanayotolewa na viwanda vingi kiukweli kabisa hayaendani na maisha yanavyokwenda, mtu anafanya kazi asubuhi mpaka jioni lakini anaambulia kulipwa shilingi 5,000/=, za kitanzania, na hapo chakula na nauli ni kujigharamia, mtu huyohuyo unakuta aidha ni mama au baba wa familia ! hebu fikiria ni lini mtu huyu atainuka kiuchumi na kuacha kuinanga serikali?

wapo watu wanafanya kazi kwenye matanuri ya moto huko viwandani, ni kazi ya kuhatarisha maisha kabisa lakini mtu huyu ataambulia kulipwa shilingi 9,000/= na shilingi 1,000/= ya maziwa jumla shilingi 10,000/=. Mama kiwango hicho nakuomba kama itakupendeza kaa na washauri wako mjadiliane ni kwa vipi muwashinikize hawa matajiri waongeze kiwango ili mtu wa kawaida aondoke na shilingi 10,000/= kwa siku, na wale wa kwenye matanuri ya kupikia uji wa vyuma waondoke na shilingi 20,000/= kwa siku. Nakuhakikishia inawezekana kutendeka hili kwa vile faida wanayoingiza ni kubwa sana ukilinganisha na vile wafanyakazi wanavyolipwa. wanahujumu taifa tukiona lakini tunaogopa tukisema tutafanya kazi kwa nani? . Kama hili litawezekana nakuhakikishia hapa Pwani hakuna mtu atakayekuchomolea.

Changamoto ya pili ni katika upatikanaji wa ajira ya kudumu
Mheshimiwa Rais, himahima zungumza na wasaidizi wako mjue ni kwa namna gani na kwa vitendo mtawashinikiza hawa wawekezaji kutoa ajira za mikataba kwa wafanyakazi wao ambao ndio wapiga kura wako. Vijana wengi wanashindwa kuinuka kiuchumi licha ya kupata hivyo vibarua kwa vile hakuna uhakika wa kazi, walazimisheni kuajiri ili ikitokea siku kazi haipo kwa uzembe wa boss basi awalipe nusu malipo badala ya mtu huyo kurudi nyumbani bure, hili ni tatizo sugu.

Ni kwa sababu hakuna mikataba ya kazi ndio maana watu wanafanya kazi katika mazingira hatarishi, mchina au mhindi hawezi kumpa safety boots mtu ambae hana uhakika kama kesho atarudi, lakini mwajiri huyohuyo hatotoa msaada wa uhakika wa kimatibabu kwa mfanyakazi huyohuyo wa siku iwapo mtu huyo ataumia akiwa katika mazingira ya kazi. Ninakuhakikishia kama utatimiza hili ndani ya dakika hizi za majeruhi, Pwani yote utaondoka na kura za ndio.

Changamoto ya kutokumudu huduma za kiafya
Mheshimiwa Rais, kulingana na malipo duni ya posho kama nilivyotaja hapo awali , naweza kusema kwa kujiamini kwamba vibarua wote, na hata mimi graduate wako, hatuwezi kumudu huduma za kiafya pale tunapopata changamoto za kiafya hususan za ghafla. kumbuka unaumwa ! na usipoenda kazini hela hupati, kwahio binafsi napendekeza kwamba, kuwepo na bima ya afya ya lazima kwa kila mfanya kazi, ya angalau shilingi 50,400/= kama ilivyo vyuoni halafu kiwanda kikate hata mia tano mia tano kila siku ya kazi hadi deni litakapoisha.

kigezo cha bima ya Afya kiwe kigezo cha msingi na lazima kwa kiwanda chochote kile kinachotaka kuendesha shughuli zake nchini kwetu, kama ipo hivyo katika sheria zetu basi nakuhakikishia mambo ni tofauti huku. ukilitimiza hili utakuwa umeokoa nguvu kazi ya taifa na hakuna mwana Pwani yeyote anaweza kuchomoa kampeni zako hapo mwakani.

Kutokuwepo kwa hospitali au vituo vya afya vya dharura
Mheshimiwa Rais, ninakwambia hili from my very own experience ! inatokea mtu ameumia watu wanabaki wanamshangaa hawajui nini wafanye kuanzia usafiri wa dharura hata hospitali ya kwenda, kutokana na changamoto hii, ninakushauri ipitishwe sheria (najua hata spika Tulia atasoma hii na ikibidi akalisemee bungeni kabla wewe hujalizungumzia), ya kwamba katika kila wilaya ya kiviwanda iwepo hospitali aidha ya kiwanda kimoja kimoja au ya umoja wa viwanda wa eneo hilo, ambapo hospitali hiyo itafanya kazi ya kuhudumia wagonjwa wote wa dharura kutoka viwandani na kwa ujumla hata wananchi wa kawaida.

Ili ubora uwepo katika huduma, hospitali hizo ziendeshwe na viwanda hivyohivyo !, kama hawataweza basi wauze tenda kwa watu binafsi kwa masharti ya kwamba bima za wafanyakazi wa kiwanda x zifanye kazi katika hospitali x tu, iliyopo eneo hilohilo la viwandani. hii itapunguza kwa kiasi kikubwa sana umasikini unaowang'ang'ania vijana wanaopigika viwandani kwani, hela aliyoipata mtu wakati akifanya kazi badala ikafanye maendeleo ya nyumbani inapelekwa hospitali tena ikiwa hata haikidhi huduma. Kama hili litafanikiwa, mama nakuahidi mkoa wa Pwani kura zote za ndio utazipata.

Ni lazima serikali iwe na mikakati HAI, lakini liwepo dodoso maalumu la kiserikali litakalokuwa na kazi moja kubwa ya kurudisha imani ya vijana kwa serikali, ili dodoso hilo litumike kuwasilisha hali wanazozipitia huko kama vijana. Manyanyaso ni mengi kuanzia malipo, jinsia na hata rangi.Viwanda vitakavyoonekana kuwa kero badala ya faraja kwa watanzania vikaripiwe na vikiwa sugu basi wawapishe wawekezaji wengine.

Aidha kama nyongeza , idara za hatari kama kwenye matanuri zishikiliwe na watu ambao wanataaluma na idara husika, Mheshimiwa nikwambie tu kuna watu huko kwanza ni std seven halafu kakabidhiwa machine inatumia lugha ya kichina, na ni mwiko kubadili lugha yaani unaweza kulia ukiona.

Mheshimiwa Rais, ya kwangu yalikuwa hayo, nisamehewe kama kuna mahala sijatumia lugha nzuri kwani sina uzoefu wa kuzungumza na raisi yeyote yule, wewe ndiye wa kwanza. Nakuomba zingatia kundi la vijana ili twende kwa ulaini huko 2030, kumbuka kundi hili halikupiga kura kwa wingi uchaguzi uliopita.

Lakini pia kama hutojali nipo tayari kuongozana na wewe hapo mwakani kwenye kampeni za uchaguzi mkuu, jukwaa kwa jukwaa, jimbo kwa jimbo na hata mkoa kwa mkoa ili na mimi niwe miongoni mwa watakaojipiga na kutembea kifua mbele kukunadi katika utawala wako wa kusikia na kutenda.

Soma Pia: Barua ya Wazi kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan

Asante.

YUSUFU R H SABURA

0750883466/0717934194
Bora unapata posho ya bk 5 kwa siku wengine hawapati posho kabisa wanasubiri mwisho wa mwezi
 
Yusuf hongera sana kwa bandiko zuri la kisomi, nimefarijika wasomi wa vyou vikuu mkileta mabandiko ya kisomi jf.

Nimefarijika kuzijua changamoto za vijana wa Pwani kama ulivyoziainisha na kwa vile umeweka namba yako, utatafutwa ujumuishwe kwenye team ya mitano tena.

Naomba nikujulishe mambo mawili ambayo utakuwa huyajui.

Vijana wa Pwani ni wavivu na sio wapiga kura!, hiyo working class ya viwandani ni watu wakuja, vijana wa Pwani hawataki kupiga kazi za mauling hivyo kuwategemea kupata kura za ushindi ni kufukuza upepo.

Hata hivyo mabingwa wa sayansi ya siasa, wanajua kura za wapi ndio determinant, eneo hilo tayari liko secured, hivyo hizo kura za vijana wa Pwani labda ziwe za kujazia jazia tuu!.

Nilitamani nyie wasomi wa sayansi ya siasa kuwaelimisha watu kwanini mitano tena bola kuweka uchawa ili hiyo 2025 Watanzania wafanye informed decision.
Hongera tena kwa bandiko zuri.
P
With due respect! Kwanini umeandika 'bola' badala ya bora?
 
Dear President Samia,
Nakusalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania !.


Bila shaka umzima wa afya na waendelea vyema kulijenga taifa letu. Nakuombea kwa Mungu afya tele na uimara kwa vile usalama wako wa kiafya ndio msingi wa usalama wa taifa letu.

Kwa majina naitwa ndugu Yusufu Rajabu Hussein Sabura (25), ni raia wa asili na kuzaliwa wa jamhuri yetu ya muungano wa Tanzania. Ni mtaalamu ninaejitafuta wa sayansi ya siasa na utawala kutoka katika viunga vya Chuo Kikuu cha Dar Es Salaam sehemu ya mlimani.

Mheshimiwa Rais, nimefikiria sana kabla ya hapa ni namna gani nzuri ninayoweza kuitumia kukufikia lakini nakosa jibu, mpaka nilipokumbuka kuwa umewahi kusema kwamba wewe huwa unapita sana kwenye mitandao ya kijamii na unaona yanayosemwa ikiwamo mtandao wetu wa jamii forums.
Raisi, nikiwa miongoni mwa watanzania wengi wanaotamani uendelee kuliongoza taifa letu kabla na baada ya uchaguzi mkuu wa mwakani 2025, nikiwa na maana ya twende na Samia hadi 2030, kama itakupendeza PITA HAPA.

Mheshimiwa Raisi, ipo haja kubwa sana ukiwa kama Raisi na mgombea ajaye wa Uraisi kupitia chama cha mapinduzi kuchagua sehemu ya watu katika jamii ambao watu hawa piga ua hawatoambiwa kitu kuhusu wewe, kwa lugha ya mtaani tungewaita MAMA SAMIA KINDAKINDAKI, ninafahamu kuwa hili unalifahamu na sipo hapa kukufundisha kwa vile, upo kwenye siasa kwa miaka mingi mpaka kuupata umakamu wa Raisi na hata kuwa Raisi kamili. lakini pia ninafahamu ushirikiano wako kikazi na Profesa Mukandala kutoka idara ya siasa pale mlimani, kwahio sina shaka na wewe hata kidogo.

Mheshimiwa Rais, Mtangulizi wako hayati PhD, John Pombe Joseph Magufuli aliyekuwa Raisi wa awamu ya tano wa taifa letu, aliamua kuchagua kulitetea kundi kubwa la watu wenye kipato cha chini (MASIKINI) kwa gharama yeyote ile, ndio kusema kwamba, hudhaniwa alifariki kwa sababu ya kulitetea kundi hilo linalochukua asilimia kubwa ya idadi ya watanzania wakiwemo wakina mama wanaojishughulisha na shughuli ndogondogo kuendesha familia. Na kweli haina ubishi jitihada zake katika kuwatetea bado zinasikika katika masikio na nyoyo zao hata wangelala vipi.

Mheshimiwa Rais, kama ningepata nafasi ya kuwa mshauri wako !, ningekuomba uweke mgandamizo mkubwa sana katika kundi la vijana kwa vile, vijana ndio wamebeba hatma ya taifa. Sio hapa Tanzania tu, bali taifa lolote lile duniani. Katika andiko hili Naomba nieleze ni kwa namna gani utaweza kujipatia kura nyingi sana za vijana katika mkoa wa Pwani.

Mheshimiwa Raisi, ninayasema haya nikiwa na experience ya hustling tangu nilipomaliza masomo yangu pale mlimani mwaka 2022. Nilikuja mkoani Pwani angalau kuficha aibu ya kukaa nyumbani na hapa ndipo nilipogundua huku mama kuna kura zako za kuokota nyingi sana.

Mheshimiwa Raisi, Pwani ni mkoa wa viwanda, kwa vile hustling zangu zipo viwandani wacha nikueleze ni changamoto gani tunapitia kama vijana ili changamoto hizo ziwe fursa kwa chama cha mapinduzi kuelekea 2025.

Changamoto ya msingi kabisa ni katika malipo (posho)
Mheshimiwa Rais, maslahi yanayotolewa na viwanda vingi kiukweli kabisa hayaendani na maisha yanavyokwenda, mtu anafanya kazi asubuhi mpaka jioni lakini anaambulia kulipwa shilingi 5,000/=, za kitanzania, na hapo chakula na nauli ni kujigharamia, mtu huyohuyo unakuta aidha ni mama au baba wa familia ! hebu fikiria ni lini mtu huyu atainuka kiuchumi na kuacha kuinanga serikali?

wapo watu wanafanya kazi kwenye matanuri ya moto huko viwandani, ni kazi ya kuhatarisha maisha kabisa lakini mtu huyu ataambulia kulipwa shilingi 9,000/= na shilingi 1,000/= ya maziwa jumla shilingi 10,000/=. Mama kiwango hicho nakuomba kama itakupendeza kaa na washauri wako mjadiliane ni kwa vipi muwashinikize hawa matajiri waongeze kiwango ili mtu wa kawaida aondoke na shilingi 10,000/= kwa siku, na wale wa kwenye matanuri ya kupikia uji wa vyuma waondoke na shilingi 20,000/= kwa siku. Nakuhakikishia inawezekana kutendeka hili kwa vile faida wanayoingiza ni kubwa sana ukilinganisha na vile wafanyakazi wanavyolipwa. wanahujumu taifa tukiona lakini tunaogopa tukisema tutafanya kazi kwa nani? . Kama hili litawezekana nakuhakikishia hapa Pwani hakuna mtu atakayekuchomolea.

Changamoto ya pili ni katika upatikanaji wa ajira ya kudumu
Mheshimiwa Rais, himahima zungumza na wasaidizi wako mjue ni kwa namna gani na kwa vitendo mtawashinikiza hawa wawekezaji kutoa ajira za mikataba kwa wafanyakazi wao ambao ndio wapiga kura wako. Vijana wengi wanashindwa kuinuka kiuchumi licha ya kupata hivyo vibarua kwa vile hakuna uhakika wa kazi, walazimisheni kuajiri ili ikitokea siku kazi haipo kwa uzembe wa boss basi awalipe nusu malipo badala ya mtu huyo kurudi nyumbani bure, hili ni tatizo sugu.

Ni kwa sababu hakuna mikataba ya kazi ndio maana watu wanafanya kazi katika mazingira hatarishi, mchina au mhindi hawezi kumpa safety boots mtu ambae hana uhakika kama kesho atarudi, lakini mwajiri huyohuyo hatotoa msaada wa uhakika wa kimatibabu kwa mfanyakazi huyohuyo wa siku iwapo mtu huyo ataumia akiwa katika mazingira ya kazi. Ninakuhakikishia kama utatimiza hili ndani ya dakika hizi za majeruhi, Pwani yote utaondoka na kura za ndio.

Changamoto ya kutokumudu huduma za kiafya
Mheshimiwa Rais, kulingana na malipo duni ya posho kama nilivyotaja hapo awali , naweza kusema kwa kujiamini kwamba vibarua wote, na hata mimi graduate wako, hatuwezi kumudu huduma za kiafya pale tunapopata changamoto za kiafya hususan za ghafla. kumbuka unaumwa ! na usipoenda kazini hela hupati, kwahio binafsi napendekeza kwamba, kuwepo na bima ya afya ya lazima kwa kila mfanya kazi, ya angalau shilingi 50,400/= kama ilivyo vyuoni halafu kiwanda kikate hata mia tano mia tano kila siku ya kazi hadi deni litakapoisha.

kigezo cha bima ya Afya kiwe kigezo cha msingi na lazima kwa kiwanda chochote kile kinachotaka kuendesha shughuli zake nchini kwetu, kama ipo hivyo katika sheria zetu basi nakuhakikishia mambo ni tofauti huku. ukilitimiza hili utakuwa umeokoa nguvu kazi ya taifa na hakuna mwana Pwani yeyote anaweza kuchomoa kampeni zako hapo mwakani.

Kutokuwepo kwa hospitali au vituo vya afya vya dharura
Mheshimiwa Rais, ninakwambia hili from my very own experience ! inatokea mtu ameumia watu wanabaki wanamshangaa hawajui nini wafanye kuanzia usafiri wa dharura hata hospitali ya kwenda, kutokana na changamoto hii, ninakushauri ipitishwe sheria (najua hata spika Tulia atasoma hii na ikibidi akalisemee bungeni kabla wewe hujalizungumzia), ya kwamba katika kila wilaya ya kiviwanda iwepo hospitali aidha ya kiwanda kimoja kimoja au ya umoja wa viwanda wa eneo hilo, ambapo hospitali hiyo itafanya kazi ya kuhudumia wagonjwa wote wa dharura kutoka viwandani na kwa ujumla hata wananchi wa kawaida.

Ili ubora uwepo katika huduma, hospitali hizo ziendeshwe na viwanda hivyohivyo !, kama hawataweza basi wauze tenda kwa watu binafsi kwa masharti ya kwamba bima za wafanyakazi wa kiwanda x zifanye kazi katika hospitali x tu, iliyopo eneo hilohilo la viwandani. hii itapunguza kwa kiasi kikubwa sana umasikini unaowang'ang'ania vijana wanaopigika viwandani kwani, hela aliyoipata mtu wakati akifanya kazi badala ikafanye maendeleo ya nyumbani inapelekwa hospitali tena ikiwa hata haikidhi huduma. Kama hili litafanikiwa, mama nakuahidi mkoa wa Pwani kura zote za ndio utazipata.

Ni lazima serikali iwe na mikakati HAI, lakini liwepo dodoso maalumu la kiserikali litakalokuwa na kazi moja kubwa ya kurudisha imani ya vijana kwa serikali, ili dodoso hilo litumike kuwasilisha hali wanazozipitia huko kama vijana. Manyanyaso ni mengi kuanzia malipo, jinsia na hata rangi.Viwanda vitakavyoonekana kuwa kero badala ya faraja kwa watanzania vikaripiwe na vikiwa sugu basi wawapishe wawekezaji wengine.

Aidha kama nyongeza , idara za hatari kama kwenye matanuri zishikiliwe na watu ambao wanataaluma na idara husika, Mheshimiwa nikwambie tu kuna watu huko kwanza ni std seven halafu kakabidhiwa machine inatumia lugha ya kichina, na ni mwiko kubadili lugha yaani unaweza kulia ukiona.

Mheshimiwa Rais, ya kwangu yalikuwa hayo, nisamehewe kama kuna mahala sijatumia lugha nzuri kwani sina uzoefu wa kuzungumza na raisi yeyote yule, wewe ndiye wa kwanza. Nakuomba zingatia kundi la vijana ili twende kwa ulaini huko 2030, kumbuka kundi hili halikupiga kura kwa wingi uchaguzi uliopita.

Lakini pia kama hutojali nipo tayari kuongozana na wewe hapo mwakani kwenye kampeni za uchaguzi mkuu, jukwaa kwa jukwaa, jimbo kwa jimbo na hata mkoa kwa mkoa ili na mimi niwe miongoni mwa watakaojipiga na kutembea kifua mbele kukunadi katika utawala wako wa kusikia na kutenda.

Soma Pia: Barua ya Wazi kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan

Asante.

YUSUFU R H SABURA

0750883466/0717934194
SAMIA Hata asipolijali kundi la vijana kwani litamfanya nini,kwani hawezi kuwa Raisi sababu ya vijana wa hovyo wasiojitambua,ww mleta mada unazungumzia vijana gani? Kama ni hawa wa hapa Tanzania hicho unachosema hakina maana yoyote ni upuuzi tena mkubwa kabisa,Hv wewe mleta mada unawafahamu vijana wa Tanzania wenzako walishaamua kutumika kama toilet paper na wamejaa ubinafsi tu kila kijana anajua kwamba mambo yahusuyo nchi na maendeleo yake hayamuhusu,sasa huyo ni kijana wa kuwa na hofu nae.vijana wako Kenya hapo ndio wanaweza kulinda nchi yao kwa maslahi yao ya baadae na sio vijana wa kitanzania hivyo usimtie hofu Rais SAMIA sababu ya vijana wasiojielewa.
 
Dear President Samia,
Nakusalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania !.


Bila shaka umzima wa afya na waendelea vyema kulijenga taifa letu. Nakuombea kwa Mungu afya tele na uimara kwa vile usalama wako wa kiafya ndio msingi wa usalama wa taifa letu.

Kwa majina naitwa ndugu Yusufu Rajabu Hussein Sabura (25), ni raia wa asili na kuzaliwa wa jamhuri yetu ya muungano wa Tanzania. Ni mtaalamu ninaejitafuta wa sayansi ya siasa na utawala kutoka katika viunga vya Chuo Kikuu cha Dar Es Salaam sehemu ya mlimani.

Mheshimiwa Rais, nimefikiria sana kabla ya hapa ni namna gani nzuri ninayoweza kuitumia kukufikia lakini nakosa jibu, mpaka nilipokumbuka kuwa umewahi kusema kwamba wewe huwa unapita sana kwenye mitandao ya kijamii na unaona yanayosemwa ikiwamo mtandao wetu wa jamii forums.
Raisi, nikiwa miongoni mwa watanzania wengi wanaotamani uendelee kuliongoza taifa letu kabla na baada ya uchaguzi mkuu wa mwakani 2025, nikiwa na maana ya twende na Samia hadi 2030, kama itakupendeza PITA HAPA.

Mheshimiwa Raisi, ipo haja kubwa sana ukiwa kama Raisi na mgombea ajaye wa Uraisi kupitia chama cha mapinduzi kuchagua sehemu ya watu katika jamii ambao watu hawa piga ua hawatoambiwa kitu kuhusu wewe, kwa lugha ya mtaani tungewaita MAMA SAMIA KINDAKINDAKI, ninafahamu kuwa hili unalifahamu na sipo hapa kukufundisha kwa vile, upo kwenye siasa kwa miaka mingi mpaka kuupata umakamu wa Raisi na hata kuwa Raisi kamili. lakini pia ninafahamu ushirikiano wako kikazi na Profesa Mukandala kutoka idara ya siasa pale mlimani, kwahio sina shaka na wewe hata kidogo.

Mheshimiwa Rais, Mtangulizi wako hayati PhD, John Pombe Joseph Magufuli aliyekuwa Raisi wa awamu ya tano wa taifa letu, aliamua kuchagua kulitetea kundi kubwa la watu wenye kipato cha chini (MASIKINI) kwa gharama yeyote ile, ndio kusema kwamba, hudhaniwa alifariki kwa sababu ya kulitetea kundi hilo linalochukua asilimia kubwa ya idadi ya watanzania wakiwemo wakina mama wanaojishughulisha na shughuli ndogondogo kuendesha familia. Na kweli haina ubishi jitihada zake katika kuwatetea bado zinasikika katika masikio na nyoyo zao hata wangelala vipi.

Mheshimiwa Rais, kama ningepata nafasi ya kuwa mshauri wako !, ningekuomba uweke mgandamizo mkubwa sana katika kundi la vijana kwa vile, vijana ndio wamebeba hatma ya taifa. Sio hapa Tanzania tu, bali taifa lolote lile duniani. Katika andiko hili Naomba nieleze ni kwa namna gani utaweza kujipatia kura nyingi sana za vijana katika mkoa wa Pwani.

Mheshimiwa Raisi, ninayasema haya nikiwa na experience ya hustling tangu nilipomaliza masomo yangu pale mlimani mwaka 2022. Nilikuja mkoani Pwani angalau kuficha aibu ya kukaa nyumbani na hapa ndipo nilipogundua huku mama kuna kura zako za kuokota nyingi sana.

Mheshimiwa Raisi, Pwani ni mkoa wa viwanda, kwa vile hustling zangu zipo viwandani wacha nikueleze ni changamoto gani tunapitia kama vijana ili changamoto hizo ziwe fursa kwa chama cha mapinduzi kuelekea 2025.

Changamoto ya msingi kabisa ni katika malipo (posho)
Mheshimiwa Rais, maslahi yanayotolewa na viwanda vingi kiukweli kabisa hayaendani na maisha yanavyokwenda, mtu anafanya kazi asubuhi mpaka jioni lakini anaambulia kulipwa shilingi 5,000/=, za kitanzania, na hapo chakula na nauli ni kujigharamia, mtu huyohuyo unakuta aidha ni mama au baba wa familia ! hebu fikiria ni lini mtu huyu atainuka kiuchumi na kuacha kuinanga serikali?

wapo watu wanafanya kazi kwenye matanuri ya moto huko viwandani, ni kazi ya kuhatarisha maisha kabisa lakini mtu huyu ataambulia kulipwa shilingi 9,000/= na shilingi 1,000/= ya maziwa jumla shilingi 10,000/=. Mama kiwango hicho nakuomba kama itakupendeza kaa na washauri wako mjadiliane ni kwa vipi muwashinikize hawa matajiri waongeze kiwango ili mtu wa kawaida aondoke na shilingi 10,000/= kwa siku, na wale wa kwenye matanuri ya kupikia uji wa vyuma waondoke na shilingi 20,000/= kwa siku. Nakuhakikishia inawezekana kutendeka hili kwa vile faida wanayoingiza ni kubwa sana ukilinganisha na vile wafanyakazi wanavyolipwa. wanahujumu taifa tukiona lakini tunaogopa tukisema tutafanya kazi kwa nani? . Kama hili litawezekana nakuhakikishia hapa Pwani hakuna mtu atakayekuchomolea.

Changamoto ya pili ni katika upatikanaji wa ajira ya kudumu
Mheshimiwa Rais, himahima zungumza na wasaidizi wako mjue ni kwa namna gani na kwa vitendo mtawashinikiza hawa wawekezaji kutoa ajira za mikataba kwa wafanyakazi wao ambao ndio wapiga kura wako. Vijana wengi wanashindwa kuinuka kiuchumi licha ya kupata hivyo vibarua kwa vile hakuna uhakika wa kazi, walazimisheni kuajiri ili ikitokea siku kazi haipo kwa uzembe wa boss basi awalipe nusu malipo badala ya mtu huyo kurudi nyumbani bure, hili ni tatizo sugu.

Ni kwa sababu hakuna mikataba ya kazi ndio maana watu wanafanya kazi katika mazingira hatarishi, mchina au mhindi hawezi kumpa safety boots mtu ambae hana uhakika kama kesho atarudi, lakini mwajiri huyohuyo hatotoa msaada wa uhakika wa kimatibabu kwa mfanyakazi huyohuyo wa siku iwapo mtu huyo ataumia akiwa katika mazingira ya kazi. Ninakuhakikishia kama utatimiza hili ndani ya dakika hizi za majeruhi, Pwani yote utaondoka na kura za ndio.

Changamoto ya kutokumudu huduma za kiafya
Mheshimiwa Rais, kulingana na malipo duni ya posho kama nilivyotaja hapo awali , naweza kusema kwa kujiamini kwamba vibarua wote, na hata mimi graduate wako, hatuwezi kumudu huduma za kiafya pale tunapopata changamoto za kiafya hususan za ghafla. kumbuka unaumwa ! na usipoenda kazini hela hupati, kwahio binafsi napendekeza kwamba, kuwepo na bima ya afya ya lazima kwa kila mfanya kazi, ya angalau shilingi 50,400/= kama ilivyo vyuoni halafu kiwanda kikate hata mia tano mia tano kila siku ya kazi hadi deni litakapoisha.

kigezo cha bima ya Afya kiwe kigezo cha msingi na lazima kwa kiwanda chochote kile kinachotaka kuendesha shughuli zake nchini kwetu, kama ipo hivyo katika sheria zetu basi nakuhakikishia mambo ni tofauti huku. ukilitimiza hili utakuwa umeokoa nguvu kazi ya taifa na hakuna mwana Pwani yeyote anaweza kuchomoa kampeni zako hapo mwakani.

Kutokuwepo kwa hospitali au vituo vya afya vya dharura
Mheshimiwa Rais, ninakwambia hili from my very own experience ! inatokea mtu ameumia watu wanabaki wanamshangaa hawajui nini wafanye kuanzia usafiri wa dharura hata hospitali ya kwenda, kutokana na changamoto hii, ninakushauri ipitishwe sheria (najua hata spika Tulia atasoma hii na ikibidi akalisemee bungeni kabla wewe hujalizungumzia), ya kwamba katika kila wilaya ya kiviwanda iwepo hospitali aidha ya kiwanda kimoja kimoja au ya umoja wa viwanda wa eneo hilo, ambapo hospitali hiyo itafanya kazi ya kuhudumia wagonjwa wote wa dharura kutoka viwandani na kwa ujumla hata wananchi wa kawaida.

Ili ubora uwepo katika huduma, hospitali hizo ziendeshwe na viwanda hivyohivyo !, kama hawataweza basi wauze tenda kwa watu binafsi kwa masharti ya kwamba bima za wafanyakazi wa kiwanda x zifanye kazi katika hospitali x tu, iliyopo eneo hilohilo la viwandani. hii itapunguza kwa kiasi kikubwa sana umasikini unaowang'ang'ania vijana wanaopigika viwandani kwani, hela aliyoipata mtu wakati akifanya kazi badala ikafanye maendeleo ya nyumbani inapelekwa hospitali tena ikiwa hata haikidhi huduma. Kama hili litafanikiwa, mama nakuahidi mkoa wa Pwani kura zote za ndio utazipata.

Ni lazima serikali iwe na mikakati HAI, lakini liwepo dodoso maalumu la kiserikali litakalokuwa na kazi moja kubwa ya kurudisha imani ya vijana kwa serikali, ili dodoso hilo litumike kuwasilisha hali wanazozipitia huko kama vijana. Manyanyaso ni mengi kuanzia malipo, jinsia na hata rangi.Viwanda vitakavyoonekana kuwa kero badala ya faraja kwa watanzania vikaripiwe na vikiwa sugu basi wawapishe wawekezaji wengine.

Aidha kama nyongeza , idara za hatari kama kwenye matanuri zishikiliwe na watu ambao wanataaluma na idara husika, Mheshimiwa nikwambie tu kuna watu huko kwanza ni std seven halafu kakabidhiwa machine inatumia lugha ya kichina, na ni mwiko kubadili lugha yaani unaweza kulia ukiona.

Mheshimiwa Rais, ya kwangu yalikuwa hayo, nisamehewe kama kuna mahala sijatumia lugha nzuri kwani sina uzoefu wa kuzungumza na raisi yeyote yule, wewe ndiye wa kwanza. Nakuomba zingatia kundi la vijana ili twende kwa ulaini huko 2030, kumbuka kundi hili halikupiga kura kwa wingi uchaguzi uliopita.

Lakini pia kama hutojali nipo tayari kuongozana na wewe hapo mwakani kwenye kampeni za uchaguzi mkuu, jukwaa kwa jukwaa, jimbo kwa jimbo na hata mkoa kwa mkoa ili na mimi niwe miongoni mwa watakaojipiga na kutembea kifua mbele kukunadi katika utawala wako wa kusikia na kutenda.

Soma Pia: Barua ya Wazi kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan

Asante.

YUSUFU R H SABURA

0750883466/0717934194
Uchaguzi wa rais hautegemei kura zako elewa hilo
 
Hata hivyo ushindi inategemea nani anatangaza matokeo na pia serikali inaweka mazingira vizuri kwa ushindi kwa mujibu wa Nape na Ng'umbi.
 
Yani unaandika kama vile sijui uko Marekani..
Yani nchi hii asipite ili apite Nani!??
 
  • Kicheko
Reactions: Tsh
Katika nafasi ya uraisi, Upinzani kwa mazingira ya sasa ya siasa ni sawa na mtu mwenye macho kwenye makalio. Ana option mbili tu, atembee uchi aone au ajisitiri awe kipofu.
 
Dear President Samia,
Nakusalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania !.


Bila shaka umzima wa afya na waendelea vyema kulijenga taifa letu. Nakuombea kwa Mungu afya tele na uimara kwa vile usalama wako wa kiafya ndio msingi wa usalama wa taifa letu.

Kwa majina naitwa ndugu Yusufu Rajabu Hussein Sabura (25), ni raia wa asili na kuzaliwa wa jamhuri yetu ya muungano wa Tanzania. Ni mtaalamu ninaejitafuta wa sayansi ya siasa na utawala kutoka katika viunga vya Chuo Kikuu cha Dar Es Salaam sehemu ya mlimani.

Mheshimiwa Rais, nimefikiria sana kabla ya hapa ni namna gani nzuri ninayoweza kuitumia kukufikia lakini nakosa jibu, mpaka nilipokumbuka kuwa umewahi kusema kwamba wewe huwa unapita sana kwenye mitandao ya kijamii na unaona yanayosemwa ikiwamo mtandao wetu wa jamii forums.
Raisi, nikiwa miongoni mwa watanzania wengi wanaotamani uendelee kuliongoza taifa letu kabla na baada ya uchaguzi mkuu wa mwakani 2025, nikiwa na maana ya twende na Samia hadi 2030, kama itakupendeza PITA HAPA.

Mheshimiwa Raisi, ipo haja kubwa sana ukiwa kama Raisi na mgombea ajaye wa Uraisi kupitia chama cha mapinduzi kuchagua sehemu ya watu katika jamii ambao watu hawa piga ua hawatoambiwa kitu kuhusu wewe, kwa lugha ya mtaani tungewaita MAMA SAMIA KINDAKINDAKI, ninafahamu kuwa hili unalifahamu na sipo hapa kukufundisha kwa vile, upo kwenye siasa kwa miaka mingi mpaka kuupata umakamu wa Raisi na hata kuwa Raisi kamili. lakini pia ninafahamu ushirikiano wako kikazi na Profesa Mukandala kutoka idara ya siasa pale mlimani, kwahio sina shaka na wewe hata kidogo.

Mheshimiwa Rais, Mtangulizi wako hayati PhD, John Pombe Joseph Magufuli aliyekuwa Raisi wa awamu ya tano wa taifa letu, aliamua kuchagua kulitetea kundi kubwa la watu wenye kipato cha chini (MASIKINI) kwa gharama yeyote ile, ndio kusema kwamba, hudhaniwa alifariki kwa sababu ya kulitetea kundi hilo linalochukua asilimia kubwa ya idadi ya watanzania wakiwemo wakina mama wanaojishughulisha na shughuli ndogondogo kuendesha familia. Na kweli haina ubishi jitihada zake katika kuwatetea bado zinasikika katika masikio na nyoyo zao hata wangelala vipi.

Mheshimiwa Rais, kama ningepata nafasi ya kuwa mshauri wako !, ningekuomba uweke mgandamizo mkubwa sana katika kundi la vijana kwa vile, vijana ndio wamebeba hatma ya taifa. Sio hapa Tanzania tu, bali taifa lolote lile duniani. Katika andiko hili Naomba nieleze ni kwa namna gani utaweza kujipatia kura nyingi sana za vijana katika mkoa wa Pwani.

Mheshimiwa Raisi, ninayasema haya nikiwa na experience ya hustling tangu nilipomaliza masomo yangu pale mlimani mwaka 2022. Nilikuja mkoani Pwani angalau kuficha aibu ya kukaa nyumbani na hapa ndipo nilipogundua huku mama kuna kura zako za kuokota nyingi sana.

Mheshimiwa Raisi, Pwani ni mkoa wa viwanda, kwa vile hustling zangu zipo viwandani wacha nikueleze ni changamoto gani tunapitia kama vijana ili changamoto hizo ziwe fursa kwa chama cha mapinduzi kuelekea 2025.

Changamoto ya msingi kabisa ni katika malipo (posho)
Mheshimiwa Rais, maslahi yanayotolewa na viwanda vingi kiukweli kabisa hayaendani na maisha yanavyokwenda, mtu anafanya kazi asubuhi mpaka jioni lakini anaambulia kulipwa shilingi 5,000/=, za kitanzania, na hapo chakula na nauli ni kujigharamia, mtu huyohuyo unakuta aidha ni mama au baba wa familia ! hebu fikiria ni lini mtu huyu atainuka kiuchumi na kuacha kuinanga serikali?

wapo watu wanafanya kazi kwenye matanuri ya moto huko viwandani, ni kazi ya kuhatarisha maisha kabisa lakini mtu huyu ataambulia kulipwa shilingi 9,000/= na shilingi 1,000/= ya maziwa jumla shilingi 10,000/=. Mama kiwango hicho nakuomba kama itakupendeza kaa na washauri wako mjadiliane ni kwa vipi muwashinikize hawa matajiri waongeze kiwango ili mtu wa kawaida aondoke na shilingi 10,000/= kwa siku, na wale wa kwenye matanuri ya kupikia uji wa vyuma waondoke na shilingi 20,000/= kwa siku. Nakuhakikishia inawezekana kutendeka hili kwa vile faida wanayoingiza ni kubwa sana ukilinganisha na vile wafanyakazi wanavyolipwa. wanahujumu taifa tukiona lakini tunaogopa tukisema tutafanya kazi kwa nani? . Kama hili litawezekana nakuhakikishia hapa Pwani hakuna mtu atakayekuchomolea.

Changamoto ya pili ni katika upatikanaji wa ajira ya kudumu
Mheshimiwa Rais, himahima zungumza na wasaidizi wako mjue ni kwa namna gani na kwa vitendo mtawashinikiza hawa wawekezaji kutoa ajira za mikataba kwa wafanyakazi wao ambao ndio wapiga kura wako. Vijana wengi wanashindwa kuinuka kiuchumi licha ya kupata hivyo vibarua kwa vile hakuna uhakika wa kazi, walazimisheni kuajiri ili ikitokea siku kazi haipo kwa uzembe wa boss basi awalipe nusu malipo badala ya mtu huyo kurudi nyumbani bure, hili ni tatizo sugu.

Ni kwa sababu hakuna mikataba ya kazi ndio maana watu wanafanya kazi katika mazingira hatarishi, mchina au mhindi hawezi kumpa safety boots mtu ambae hana uhakika kama kesho atarudi, lakini mwajiri huyohuyo hatotoa msaada wa uhakika wa kimatibabu kwa mfanyakazi huyohuyo wa siku iwapo mtu huyo ataumia akiwa katika mazingira ya kazi. Ninakuhakikishia kama utatimiza hili ndani ya dakika hizi za majeruhi, Pwani yote utaondoka na kura za ndio.

Changamoto ya kutokumudu huduma za kiafya
Mheshimiwa Rais, kulingana na malipo duni ya posho kama nilivyotaja hapo awali , naweza kusema kwa kujiamini kwamba vibarua wote, na hata mimi graduate wako, hatuwezi kumudu huduma za kiafya pale tunapopata changamoto za kiafya hususan za ghafla. kumbuka unaumwa ! na usipoenda kazini hela hupati, kwahio binafsi napendekeza kwamba, kuwepo na bima ya afya ya lazima kwa kila mfanya kazi, ya angalau shilingi 50,400/= kama ilivyo vyuoni halafu kiwanda kikate hata mia tano mia tano kila siku ya kazi hadi deni litakapoisha.

kigezo cha bima ya Afya kiwe kigezo cha msingi na lazima kwa kiwanda chochote kile kinachotaka kuendesha shughuli zake nchini kwetu, kama ipo hivyo katika sheria zetu basi nakuhakikishia mambo ni tofauti huku. ukilitimiza hili utakuwa umeokoa nguvu kazi ya taifa na hakuna mwana Pwani yeyote anaweza kuchomoa kampeni zako hapo mwakani.

Kutokuwepo kwa hospitali au vituo vya afya vya dharura
Mheshimiwa Rais, ninakwambia hili from my very own experience ! inatokea mtu ameumia watu wanabaki wanamshangaa hawajui nini wafanye kuanzia usafiri wa dharura hata hospitali ya kwenda, kutokana na changamoto hii, ninakushauri ipitishwe sheria (najua hata spika Tulia atasoma hii na ikibidi akalisemee bungeni kabla wewe hujalizungumzia), ya kwamba katika kila wilaya ya kiviwanda iwepo hospitali aidha ya kiwanda kimoja kimoja au ya umoja wa viwanda wa eneo hilo, ambapo hospitali hiyo itafanya kazi ya kuhudumia wagonjwa wote wa dharura kutoka viwandani na kwa ujumla hata wananchi wa kawaida.

Ili ubora uwepo katika huduma, hospitali hizo ziendeshwe na viwanda hivyohivyo !, kama hawataweza basi wauze tenda kwa watu binafsi kwa masharti ya kwamba bima za wafanyakazi wa kiwanda x zifanye kazi katika hospitali x tu, iliyopo eneo hilohilo la viwandani. hii itapunguza kwa kiasi kikubwa sana umasikini unaowang'ang'ania vijana wanaopigika viwandani kwani, hela aliyoipata mtu wakati akifanya kazi badala ikafanye maendeleo ya nyumbani inapelekwa hospitali tena ikiwa hata haikidhi huduma. Kama hili litafanikiwa, mama nakuahidi mkoa wa Pwani kura zote za ndio utazipata.

Ni lazima serikali iwe na mikakati HAI, lakini liwepo dodoso maalumu la kiserikali litakalokuwa na kazi moja kubwa ya kurudisha imani ya vijana kwa serikali, ili dodoso hilo litumike kuwasilisha hali wanazozipitia huko kama vijana. Manyanyaso ni mengi kuanzia malipo, jinsia na hata rangi.Viwanda vitakavyoonekana kuwa kero badala ya faraja kwa watanzania vikaripiwe na vikiwa sugu basi wawapishe wawekezaji wengine.

Aidha kama nyongeza , idara za hatari kama kwenye matanuri zishikiliwe na watu ambao wanataaluma na idara husika, Mheshimiwa nikwambie tu kuna watu huko kwanza ni std seven halafu kakabidhiwa machine inatumia lugha ya kichina, na ni mwiko kubadili lugha yaani unaweza kulia ukiona.

Mheshimiwa Rais, ya kwangu yalikuwa hayo, nisamehewe kama kuna mahala sijatumia lugha nzuri kwani sina uzoefu wa kuzungumza na raisi yeyote yule, wewe ndiye wa kwanza. Nakuomba zingatia kundi la vijana ili twende kwa ulaini huko 2030, kumbuka kundi hili halikupiga kura kwa wingi uchaguzi uliopita.

Lakini pia kama hutojali nipo tayari kuongozana na wewe hapo mwakani kwenye kampeni za uchaguzi mkuu, jukwaa kwa jukwaa, jimbo kwa jimbo na hata mkoa kwa mkoa ili na mimi niwe miongoni mwa watakaojipiga na kutembea kifua mbele kukunadi katika utawala wako wa kusikia na kutenda.

Soma Pia: Barua ya Wazi kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan

Asante.

YUSUFU R H SABURA

0750883466/0717934194
Hivi wanyonge ndio watu wa namna gani?
 
Back
Top Bottom