Rais Samia ulikosea sana kumtumbua Tito Mwinuka

Rais Samia ulikosea sana kumtumbua Tito Mwinuka

Boss la DP World

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2021
Posts
2,318
Reaction score
8,464
Kwanza ulidanganywa na kaka zako, pili ukadanganywa na para maji, ukaingia kingi kutuonesha umwamba wako.

Sasa yamefika shingoni, kwa taarifa yako makusanyo ya mwezi huu huko TRA yatashuka kwa zaidi ya 20% utaambiwa na wawekezaji kuwa gharama za uzalishaji kwa mwezi huu zilikuwa juu kutokana na ukosefu wa umeme.

Pole sana, tuliokupenda ukatuona tunawania kiti, haya kaa Sasa hapo, umeanza kuchokwa mpaka na wazee.

Mimi nipo palee nakuka mihogo na engineer Hersi.
 
Hii nchi sasa inaleta mkanganyiko! Yaani aliyetumbuliwa, anapigiwa debe kurudishwa!

Na shida kubwa hapa, ni ile ya kumpa mtu mmoja mamlaka makubwa ya kufanya maamuzi katika uteuzi! Badala ya kuweka mifumo imara ya kuwasimamia hao watumishi wa umma, kutimiza majukumu yao.
 
Nchi hii tunalia kwa tuliyostahili kucheka!

Na tunacheka kwa tuliyostahili kulia!

Aliyeturoga alikufa bila kuacha mrithi wa kutugangua.

Tulikua tunaenda vizuri tu, umeme ukikatika hauendi muda mrefu unakua umerudi.

Kalemani aliambiwa yuko against kutunza mazingira!
Tukadhania ni Mazingira ya Misitu,kumbe Mazingira ya Upigaji.
Hivyo mbadala wake ikawa kijana wa Lushoto,anayependa Mazingira.

Sasa tupo hapa...
Nchi linazunguka
"Out of control" ni kama vile nchi inaendeshwa kwa Remote!View attachment 2425401
 
Hii nchi sasa inaleta mkanganyiko! Yaani aliyetumbuliwa, anapigiwa debe kurudishwa!

Na shida kubwa hapa, ni ile ya kumpa mtu mmoja mamlaka makubwa ya kufanya maamuzi katika uteuzi! Badala ya kuweka mifumo imara ya kuwasimamia hao watumishi wa umma, kutimiza majukumu yao.
Wewe ni brahbrah tu unaongea ! Mfumo bila watu wa kuusimamia ni kujilisha upepo! Ni sawa na kuwa na katiba bila watu makini! Ulishawahi kujiuliza CHADEMA pamoja na kujidai wana demokrasia lakini Mwenyekiti wao anamika takribani 15 ni yule yule!
 
Wewe ni brahbrah tu unaongea ! Mfumo bila watu wa kuusimamia ni kujilisha upepo! Ni sawa na kuwa na katiba bila watu makini! Ulishawahi kujiuliza CHADEMA pamoja na kujidai wana demokrasia lakini Mwenyekiti wao anamika takribani 15 ni yule yule!
Kwa hiyo hao watu wa kuusimamia buo mfumo watashushwa kutoka Sayari ya Mars! Kwani shida iko wapi kujenga hiyo mifumo imara ya kiungozi?
 
Hii ni hatari sana.

Hii Nchi ka sasa kila mtu anajipia tu kama demu msela.
 
Kwanza ulidanganywa na kaka zako, pili ukadanganywa na para maji, ukaingia kingi kutuonesha umwamba wako.

Sasa yamefika shingoni, kwa taarifa yako makusanyo ya mwezi huu huko TRA yatashuka kwa zaidi ya 20% utaambiwa na wawekezaji kuwa gharama za uzalishaji kwa mwezi huu zilikuwa juu kutokana na ukosefu wa umeme.

Pole sana, tuliokupenda ukatuona tunawania kiti, haya kaa Sasa hapo, umeanza kuchokwa mpaka na wazee.

Mimi nipo palee nakuka mihogo na engineer Hersi.
Majangili yote yapo kazini
 
Hii nchi sasa inaleta mkanganyiko! Yaani aliyetumbuliwa, anapigiwa debe kurudishwa!

Na shida kubwa hapa, ni ile ya kumpa mtu mmoja mamlaka makubwa ya kufanya maamuzi katika uteuzi! Badala ya kuweka mifumo imara ya kuwasimamia hao watumishi wa umma, kutimiza majukumu yao.
Mifumo inara inahitai watu Imara pia
 
Back
Top Bottom