Rais Samia, ulitaka kutuhutubia au kuzungumza nasi?

Rais Samia, ulitaka kutuhutubia au kuzungumza nasi?

CCM hawajui lugha ya kiswahili vizuri.
Hebu msikilize mwenyekiti wa kamati ya kilimo,mifugo,uvuvi na maji,tarehe 14 pale Misungwi.
 
Mambo yaliharibika pale tulipoigawanya Tanzania kuwa ya vyama vya siasa na CCM kujimilikisha nchi hii.Ukisikia Rais anataka kuongea na wazee wa Dar,wanaenda wanaccm,ukisikia ataongea na kinamama wa Tanzania wanaenda UWT,vijana nao wakiitwa utawakuta UVCCM wamejazana nasi tunaridhika,ilhali huo ni ubaguzi wa wazi wazi na wakienda hushangilia na kuchezeshwa singeli badala ya kujenga hoja za kitaifa. Unakuta tunanadiwa Ilani ya Uchaguzi ya chama nasi tumeridhika.Shame on us!
Kila Mara sisi tunaodai agenda za kitaifa kama Katiba,Tume huru ya Uchaguzi, Mahakama huru na Bunge huru tunaambiwa ni wapinzani,mawakala wa mabeberu Ama wapiga dili nasi tunakubali/tunalazimishwa kukubaliana na CCM & Serikali yake.
Nchi hii bila Katiba ya sasa(ya CCM 1977) kubadilika na kujitengenezea Katiba yenye kutupatia dira,Sera na agenda za kitaifa basi tufahamu kuwa kusonga mbele ni ngumu sana.Watu wenye mawazo ya kibinafsi kama CCM hawawezi kututoa kwenye mkwamo huu walioutengeneza kwa miaka nenda rudi tokea Uhuru hadi sasa,tusitegemee maendeleo ya watu.Shame on us.
Eti Katiba siyo kipaumbele Chao?!
Excellent views.
 
Mambo yaliharibika pale tulipoigawanya Tanzania kuwa ya vyama vya siasa na CCM kujimilikisha nchi hii.Ukisikia Rais anataka kuongea na wazee wa Dar,wanaenda wanaccm,ukisikia ataongea na kinamama wa Tanzania wanaenda UWT,vijana nao wakiitwa utawakuta UVCCM wamejazana nasi tunaridhika,ilhali huo ni ubaguzi wa wazi wazi na wakienda hushangilia na kuchezeshwa singeli badala ya kujenga hoja za kitaifa. Unakuta tunanadiwa Ilani ya Uchaguzi ya chama nasi tumeridhika.Shame on us!
Kila Mara sisi tunaodai agenda za kitaifa kama Katiba,Tume huru ya Uchaguzi, Mahakama huru na Bunge huru tunaambiwa ni wapinzani,mawakala wa mabeberu Ama wapiga dili nasi tunakubali/tunalazimishwa kukubaliana na CCM & Serikali yake.
Nchi hii bila Katiba ya sasa(ya CCM 1977) kubadilika na kujitengenezea Katiba yenye kutupatia dira,Sera na agenda za kitaifa basi tufahamu kuwa kusonga mbele ni ngumu sana.Watu wenye mawazo ya kibinafsi kama CCM hawawezi kututoa kwenye mkwamo huu walioutengeneza kwa miaka nenda rudi tokea Uhuru hadi sasa,tusitegemee maendeleo ya watu.Shame on us.
Eti Katiba siyo kipaumbele Chao?!
Excellent views.
Hivi wewe unaakili kweli? Kama kila mtu aliyekuwepo pale amgetaka kuongea na Rais wangetumia siku ngapi kukamilisha ndio maana kukawekwa wawakilishi wetu. Kwa akili hizi ndio maana hatujielewi tunataka nini.
Huna akili wewe.
 
Saiv ni mwendo wa hotuba tu,zilizosheheni maneno matamu na vionjo vya kizanzibar hakuna jipya,msukuma wampelekea maneno tu xjui kama akuelewa
 
Haya mambo ya kiongozi mkuu kuongea na wananchi mara nyingi ni Public Relations na kupiga Kampeni. Mfumo mzuri na sustainable na wenye tija ni kero zote kupitia kwa wawakilishi ambao wapo kila ngazi, na sababu Rais ni Taasisi nina uhakika hata akitaka kujua kama bei ya nyanya imepanda pale barabara ya saba chini ya mwembe mkoani Tanga hashindwi.

Hivyo basi nguvu nyingi itumike kwenye kurekebisha kero (sio kujifanya tunasikiliza kero ambazo nina uhakika hata miaka 15 iliyopita zilikuwa ni hizi hizi tu)​
Naunga mkono hoja, ni kweli kabisa mara nyingi nimekuwa nikijiuliza kuna haja gani ya kiongozi wa juu( Rais) kabisa kufanya mikutano ya namna hiyo wakati kuna mfumo kutoka chini ambao unatakiwa kufikisha taarifa kwake. kiongozi wa juu kwenda kuongea na wananchi ambao wana wawakilishi wa kila namna, je ni ishara ya kuwa kiongozi huyo anakiri kuwa kuna mfumo uliopo ni wa ovyo ulioshindwa kufanya kazi!, je ikiwa kila jambo kiongozi huyo ataenda kuongea na wananchi kwa hali tuliyonayo ataenda mara ngapi!

Mimi naamini kiongozi mkuu anatakiwa kurekebisha mfumo unaomletea taarifa, ili apate taarifa sahihi na kwa wakati, haya mambo ya kuongea sijui na vijana na makundi mengine sioni kama kuna tija, wadau wengi humu wamedai kuwa vijana hawakupewa nafasi ya kuelezea changamoto zao, ila hakika nakuambia kama mfumo uliopo ni mbovu hata hao vijana ambao wangepewa nafasi ya kuuliza wangepangwa na viongozi wasio waaminifu. Pia wangepangiwa kitu cha kuuliza, hivyo kiongozi huyo wa juu asingepata taarifa sahihi.

Ushauri wangu ni kwamba mfumo wa kupeleka taarifa kwa kiongozi wa juu yaani Rais urekebishwe, viongozi ambao wanaomwakilisha ambao hawatimizi majukumu yao waondolewe, harafu Rais atenge siku maalum ya kulihutubia taifa, kwa kujibu hoja zilizoletwa mezani kwake pia kutoa majibu ya changamoto zote ambazo zililetwa kwake kwa kupitia vyanzo vyake mbalimbali.
Mwisho wa kuwasilisha.
 
Binafsi nilijiandaa sana kuja kuongea na Mh. Rais nimweleze changamoto na masuluhisho kadhaa kwa baadhi ya changamoto tulizo nazo vijana mitaani.

Achana na mawaziri hawajui changamoto zetu sababu hawajavaa viatu vyetu. Mimi sikuja na chama chochote. Nilikuja na hoja na naona ntaondoka nazo kama nilivyokuja nazo.

Niliamini tunakuja zungumza na Rais wetu. Kumbe tunakuja elezewa mambo kadhaa na watu kadhaa
Wanapenda sana kutumia hayo makundi ya wazee, wanawake, vijana nk kupaka rangi upepo.

Sent from my G80 using JamiiForums mobile app
 
Binafsi nilijiandaa sana kuja kuongea na Mh. Rais nimweleze changamoto na masuluhisho kadhaa kwa baadhi ya changamoto tulizo nazo vijana mitaani.

Achana na mawaziri hawajui changamoto zetu sababu hawajavaa viatu vyetu. Mimi sikuja na chama chochote. Nilikuja na hoja na naona ntaondoka nazo kama nilivyokuja nazo.

Niliamini tunakuja zungumza na Rais wetu. Kumbe tunakuja elezewa mambo kadhaa na watu kadhaa
Vipi ulipata T-shirt?
 
Back
Top Bottom