Rais Samia, ulitaka wananchi tukataaje tozo za miamala ya simu?

Kama kungekuwa na vyama imara vya upinzani hili lilikuwa tundu la kutokea.
Uimara wa vyama hivyo utatoka wapi ikiwa hata kufanya mikutano kunadi sera wanazuiwa? Ikiwa mwananchi kujiunga na upinzani hayupo huru? Kama kugombea uongozi eg ngazi ya Mtaa, udiwani, au ubunge kupitia upinzani unaenguliwa?
 
Kodi ifundishe mashuleni Tena uzuri watu wapate kuelewa na kuipenda
 

Nyie mmefanya nini kupinga hizo tozo, au mmewakabidhi jukumu hilo waliomsifia? Kwa taarifa yako hizo tozo ilikuwa ni mpango wa dhalimu ndio maana alilazimisha watu wasajili line za simu kwa alama ya vidole. Na hizo tozo Ilikuwa ni lazima maana dhalimu alikopa fedha nyingi ni ili kusaka sifa za kisiasa, kwa sasa hawa waliongia wamekuta hazina hakuna kitu na huko nje hatukopesheki kutokana na deni kuwa kubwa.

Sisi wengine sasa hivi hatutumi tena hela kwa miamala ya simu, na tunatuma kwa njia hiyo ikibidi sana. Na tumefanya ushawishi kwa watu wengine waachane na hiyo biashara, madhara kwa sasa yapo dhahiri.
 
Kodi ifundishe mashuleni Tena uzuri watu wapate kuelewa na kuipenda

Watu wapende kulipa kodi ili wastaafu wa ccm wakajengewe mahekalu? Huku watawala majizi ya kura ya ccm wakitanua na maVXR?
 
Mko Lumumba pamoja na johnthebaptist ?
 
Mimi Namuombea Huyo Mzanzibari azidi kuwa katiri zaidi ya Mwendazake... na azidi kuwa zaidi ya Mfalme Juha... na alewe madaraka... Nimemchukia kusema ukweli... Pengine alikuwa ni msukule wa Mwendazake huyu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…