Rais Samia umefanikiwa pakubwa kucheza na akili za mbumbumbu

Rais Samia umefanikiwa pakubwa kucheza na akili za mbumbumbu

Majok majok

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2023
Posts
783
Reaction score
2,057
Rais wa nchi tunakupongeza kwa akili kubwa kubalance mambo kwa kuhudhuria Tamasha la Simba, Mwanzo walikubeza na kukutupia kila aina ya lawama baada ya kuwapa kongole kwa vitendo timu ya wananchi Yanga baada ya kufanya vizuri michuano ya kimataifa.

Sasa basi atutegemei kusikia tena kelele za wafuasi wa mhindi wa bombay kuwa anapendelea, mmemualika na amekuja kumaliza vidomodomo, kazi iliyobaki ni mpira uwanjani na sio mdomoni.
 
Rais wa nchi tunakupongeza kwa akili kubwa kubalance mambo kwa kuhudhuria tamasha la Simbwa, Mwanzo walikubeza na kukutupia kila aina ya lawama baada ya kuwapa kongole kwa vitendo timu ya wananchi Yanga baada ya kufanya vizuri michuano ya kimataifa,
Sasa basi atutegemei kusikia tena kelele za wafuasi wa mhindi wa bombay kuwa anapendelea, mmemualika na amekuja kumaliza vidomodomo, kazi iliyobaki ni mpira uwanjani na sio mdomoni
IMG-20230806-WA0071.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rais wa nchi tunakupongeza kwa akili kubwa kubalance mambo kwa kuhudhuria Tamasha la Simba, Mwanzo walikubeza na kukutupia kila aina ya lawama baada ya kuwapa kongole kwa vitendo timu ya wananchi Yanga baada ya kufanya vizuri michuano ya kimataifa.

Sasa basi atutegemei kusikia tena kelele za wafuasi wa mhindi wa bombay kuwa anapendelea, mmemualika na amekuja kumaliza vidomodomo, kazi iliyobaki ni mpira uwanjani na sio mdomoni.
Punguza makasiriko mkuu
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Yuko vizuri kwenye kitu Gani? Hivi huyu bila kudandia hili tamasha unadhani anaweza kupata wapi audience kubwa kama hii?
Kadandia au mmemualika nyie wenyewe? Malalamiko yalikuwa mengi akaona isiwe tabu amekuja kuwalainisha!
 
Rais wa nchi tunakupongeza kwa akili kubwa kubalance mambo kwa kuhudhuria Tamasha la Simba, Mwanzo walikubeza na kukutupia kila aina ya lawama baada ya kuwapa kongole kwa vitendo timu ya wananchi Yanga baada ya kufanya vizuri michuano ya kimataifa.

Sasa basi atutegemei kusikia tena kelele za wafuasi wa mhindi wa bombay kuwa anapendelea, mmemualika na amekuja kumaliza vidomodomo, kazi iliyobaki ni mpira uwanjani na sio mdomoni.
Upuuzi Mtupu
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Back
Top Bottom