Rais Samia umefanikiwa pakubwa kucheza na akili za mbumbumbu

Rais Samia umefanikiwa pakubwa kucheza na akili za mbumbumbu

Rais wa nchi tunakupongeza kwa akili kubwa kubalance mambo kwa kuhudhuria Tamasha la Simba, Mwanzo walikubeza na kukutupia kila aina ya lawama baada ya kuwapa kongole kwa vitendo timu ya wananchi Yanga baada ya kufanya vizuri michuano ya kimataifa.

Sasa basi atutegemei kusikia tena kelele za wafuasi wa mhindi wa bombay kuwa anapendelea, mmemualika na amekuja kumaliza vidomodomo, kazi iliyobaki ni mpira uwanjani na sio mdomoni.
Mbumbumbu ni wale wawili waliokaliana uchi wakatengeneza zwazwa kama wewe
 
Rais wa nchi tunakupongeza kwa akili kubwa kubalance mambo kwa kuhudhuria Tamasha la Simba, Mwanzo walikubeza na kukutupia kila aina ya lawama baada ya kuwapa kongole kwa vitendo timu ya wananchi Yanga baada ya kufanya vizuri michuano ya kimataifa.

Sasa basi atutegemei kusikia tena kelele za wafuasi wa mhindi wa bombay kuwa anapendelea, mmemualika na amekuja kumaliza vidomodomo, kazi iliyobaki ni mpira uwanjani na sio mdomoni.

Huwezi kuandika bila ubaguzi?
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Ameweze kunyanyuwa umaarufu wake ulio poromoka Kwa kasi Sana kwa sakat la badari alivyo husika kusign upumbafu ule
 
Back
Top Bottom