Majok majok
JF-Expert Member
- Aug 3, 2023
- 783
- 2,057
Binti ni baba yakoUna gubu ww binti wa kitanga
Wivu upi sasa na mnaambiwa ukweli! Sio nyie mliomnanga Rais? Na post ziko nyingi hapa jukwaaniWivu mbaya sana
Wivu upi sasa na mnaambiwa ukweli! Sio nyie mliomnanga Rais? Na post ziko nyingi hapa jukwaa
Huyu atakuwa amejikaribisha Ili apate jukwaa la kujisemesha semesha.
Rais wa nchi tunakupongeza kwa akili kubwa kubalance mambo kwa kuhudhuria tamasha la Simbwa, Mwanzo walikubeza na kukutupia kila aina ya lawama baada ya kuwapa kongole kwa vitendo timu ya wananchi Yanga baada ya kufanya vizuri michuano ya kimataifa,
Sasa basi atutegemei kusikia tena kelele za wafuasi wa mhindi wa bombay kuwa anapendelea, mmemualika na amekuja kumaliza vidomodomo, kazi iliyobaki ni mpira uwanjani na sio mdomoni
Baada ya kutotegemea? Usiumie sana, kule Chamazi kuna mechi ya Yanga na AS Vita, anagalia huko, usiangalie yanayojiri kwa MkapaSasa basi atutegemei kusikia tena kelele
Yuko vizuri kwenye kitu Gani? Hivi huyu bila kudandia hili tamasha unadhani anaweza kupata wapi audience kubwa kama hii?mama yuko vizuri sanaa
Punguza makasiriko mkuuRais wa nchi tunakupongeza kwa akili kubwa kubalance mambo kwa kuhudhuria Tamasha la Simba, Mwanzo walikubeza na kukutupia kila aina ya lawama baada ya kuwapa kongole kwa vitendo timu ya wananchi Yanga baada ya kufanya vizuri michuano ya kimataifa.
Sasa basi atutegemei kusikia tena kelele za wafuasi wa mhindi wa bombay kuwa anapendelea, mmemualika na amekuja kumaliza vidomodomo, kazi iliyobaki ni mpira uwanjani na sio mdomoni.
Iyo mechi umeicheza wewe ya chamazi?Baada ya kutotegemea? Usiumie sana, kule Chamazi kuna mechi ya Yanga na AS Vita, anagalia huko, usiangalie yanayojiri kwa Mkapa
mama ni kipenzi cha watuYuko vizuri kwenye kitu Gani? Hivi huyu bila kudandia hili tamasha unadhani anaweza kupata wapi audience kubwa kama hii?
Kadandia au mmemualika nyie wenyewe? Malalamiko yalikuwa mengi akaona isiwe tabu amekuja kuwalainisha!Yuko vizuri kwenye kitu Gani? Hivi huyu bila kudandia hili tamasha unadhani anaweza kupata wapi audience kubwa kama hii?
SanaWivu mbaya sana
Upuuzi MtupuRais wa nchi tunakupongeza kwa akili kubwa kubalance mambo kwa kuhudhuria Tamasha la Simba, Mwanzo walikubeza na kukutupia kila aina ya lawama baada ya kuwapa kongole kwa vitendo timu ya wananchi Yanga baada ya kufanya vizuri michuano ya kimataifa.
Sasa basi atutegemei kusikia tena kelele za wafuasi wa mhindi wa bombay kuwa anapendelea, mmemualika na amekuja kumaliza vidomodomo, kazi iliyobaki ni mpira uwanjani na sio mdomoni.