Rais Samia umenifurahisha sana kwa maamuzi makubwa uliyofanya kwa maslahi mapana ya Taifa

Rais Samia umenifurahisha sana kwa maamuzi makubwa uliyofanya kwa maslahi mapana ya Taifa

Kwa hiyo Balozi Sokoine aliongozana na mama Samia sio alienda kivyakevyake?
Kwahiyo mama alimuona Lisu mara mbili ? Naomba ufafanuzi
Hapana Mama alimuona Lissu akiwa bado Nairobi Kenya. Sokoine alimuona Lissu akiwa Leuven University hospital mjini Brussels Ubelgiji
 
Back
Top Bottom