Ngongo
Platinum Member
- Sep 20, 2008
- 20,654
- 35,887
Sio kweli ,
Rais baada ya kuingia ikulu tu alibadilisha timu nzima ya wasaidizi wake pale ikulu , kateua ma DC, RC's bado mkeka wa DED na DAS ,
Sasa hao wasaidizi unaowazungumzia wewe mleta mada ni kina nani.
Maamuzi yakishafanyika sidhani kama Kuna namna ya kujiondoa katika kuwajibika.
MaDED sidhani kama wataguswa hawa walishiriki na kuratibu wizi wa kura sioni wakibadilishwa au kuondolewa.