Rais Samia unadanganywa, DP World hajaleta tija yoyote kwenye Bandari ya Dar es Salaam

Rais Samia unadanganywa, DP World hajaleta tija yoyote kwenye Bandari ya Dar es Salaam

Etwege

JF-Expert Member
Joined
Jul 4, 2018
Posts
7,207
Reaction score
17,674
Maswali chechefu:

1. Je, kwanini Mhe Rais Samia jana aliisifu TPA na kuimwagia minyama kwa "Gawio kubwa ambalo halikuwepo huko nyuma" baada ya kupokea Gawio la Tshs 153.9 Billion toka kwa Mkurugenzi Mkuu, Bw. Mbossa na Mjumbe waBodi, Bw. Minja?

2. Je, Rais hajui kuwa kuna miaka TPA ilikuwa inatoa Gawio mara tatu zaidi ya Gawio hilo kiduchu la jana ?

3. Je, Rais Samia anajua kuwa Desemba 21, 2019, Mhe Isaak Kamwele, Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Masiliano, alimchimba mkwara Mkurugenzi Mkuu wa TPA, Deusdedit Kakoko, kuwa Gawio la Tshs 480 Billion la 2018/19 ni dogo mno, na kumtaka ahakikishe 2019/20 Gawio linafika Tshs Trillion moja vinginevyo atamfukuza kazi?

4. Je, nini kimetokea hadi nchi yetu tunafurahia kupata gawio la mchango ie Tshs 153.9 Bwakati tuliishawahi kujiwekea lengo laTshs Trillion moja?

NUKUU
Dar es Salaam. Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano nchini, Isack Kamwelwe ameitaka Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) kuongeza gawio kwa Serikali kutoka Sh480 bilioni la mwaka 2018/19 hadi Sh1 trilioni mwaka 2019/2020.

Amesema jambo hilo lisipotimia atamfukuza kazi mkurugenzi mkuu wa mamlaka hiyo, Deusdedit Kakoko, Ametoa kauli hiyo leo Jumamosi Desemba 21, 2019 katika uzinduzi wa bodi mpya ya mamlaka hiyo yenye wajumbe saba ikiongozwa na Profesa Ignas Rubaratuka aliyeteuliwa kwa mara ya pili.
====

Pia soma: Rais Samia: Waliosema nimeuza Bandari na Bahari faida yake ndio hii
 
Maswali chechefu:

1. Je, kwanini Mhe Rais Samia jana aliisifu TPA na kuimwagia minyama kwa "Gawio kubwa ambalo halikuwepo huko nyuma" baada ya kupokea Gawio la Tshs 153.9 Billion toka kwa Mkurugenzi Mkuu, Bw. Mbossa na Mjumbe waBodi, Bw. Minja...
Hiki siyo kipindi cha kuchakachua TAKWIMU. Enzi za Mwendazake hata TTCL walikuwa wanatoa Gawio la Tsh 2.0 Billion halafu next month wanaomba dhamana ya serekali kwenye mkopo wa Tsh 300 Bilioni ili waboreshe mitambo.

Ni bora upeleke gawio dogo lakini la ukweli kuliko USANII wa Waziri Kindamba na Magufuli mwaka 2019
 
Unaumia toka wapi wewe msukule wa Magufuli? Hiki siyo kipindi cha kuchakachua TAKWIMU. Enzi za Mwendazake hata TTCL walikuwa wanatoa Gawio la Tsh 2.0 Billion halafu next month wanaomba dhamana ya serekali kwenye mkopo wa Tsh 300 Bilioni ili waboreshe mitambo.

Ni bora upeleke gawio dogo lakini la ukweli kuliko USANII wa Waziri Kindamba na Magufuli mwaka 2019

SGR, Ndege, bwawa la umeme nalo mwendazake alichakachua ndiyo maana havipo?
 
Unaumia toka wapi wewe msukule wa Magufuli? Hiki siyo kipindi cha kuchakachua TAKWIMU. Enzi za Mwendazake hata TTCL walikuwa wanatoa Gawio la Tsh 2.0 Billion halafu next month wanaomba dhamana ya serekali kwenye mkopo wa Tsh 300 Bilioni ili waboreshe mitambo.

Ni bora upeleke gawio dogo lakini la ukweli kuliko USANII wa Waziri Kindamba na Magufuli mwaka 2019

SGR, Ndege, bwawa la umeme nalo mwendazake alichakachua ndiyo maana havipo?
 
Unaumia toka wapi wewe msukule wa Magufuli? Hiki siyo kipindi cha kuchakachua TAKWIMU. Enzi za Mwendazake hata TTCL walikuwa wanatoa Gawio la Tsh 2.0 Billion halafu next month wanaomba dhamana ya serekali kwenye mkopo wa Tsh 300 Bilioni ili waboreshe mitambo.

Ni bora upeleke gawio dogo lakini la ukweli kuliko USANII wa Waziri Kindamba na Magufuli mwaka 2019
Flyover, SGR, Nyerere HEP, Mbezi stand, Masoko makubwa yaliyo jengwa katka awamu yake hiyo ilikua ni uchakachuaji? Siyo?
Katka Kipindi Cha miaka 60 ya uhuru Tanzania, deni la Taifa lilikua Trillion 60, na katka hiyo miaka tumekua na Marais Watano tu. Lakini Samia amechukua nchi kwa miaka mitatu tu amekopa trillion 30 na kulipandisha deni la Taifa mpaka kufikia zaidi ya trillion 90.
Je huo nao ni uchakachuaji?

Matendo ya mtu yanaongea yenyewe, Wala siyo kwa kupambwa kwa maneno na uchawa usiyo kuwa na maana.

Mwamba alikua na madhaifu yake, lakini kazi yake ilionekana.
May his soul continue rest in peace 🕊️
 
Flyover, SGR, Nyerere HEP, Mbezi stand, Masoko makubwa yaliyo jengwa katka awamu yake hiyo ilikua ni uchakachuaji? Siyo?
Katka Kipindi Cha miaka 60 ya uhuru Tanzania, deni la Taifa lilikua Trillion 60, na katka hiyo miaka tumekua na Marais Watano tu. Lakini Samia amechukua nchi kwa miaka mitatu tu amekopa trillion 30 na kulipandisha deni la Taifa mpaka kufikia zaidi ya trillion 90.
Je huo nao ni uchakachuaji?

Matendo ya mtu yanaongea yenyewe, Wala siyo kwa kupambwa kwa maneno na uchawa usiyo kuwa na maana.

Mwamba alikua na madhaifu yake, lakini kazi yake ilionekana.
May his soul continue rest in peace 🕊️
Licha ya kuteua Mareham pia.
 
SGR, Ndege, bwawa la umeme nalo mwendazake alichakachua ndiyo maana havipo?
Haya machawa huwa hayana uchungu Wala uzalendo juu ya Taifa hili, wao hufurahia Ufisadi, uhujumu uchumi, mmonyoko wa maadili kwa viongozi na Raia kuteswa na kuonewa bila kupewa haki zao, kwao hawa machawa ni nderemo na vifijo kwa sababu ya vipande vidogo vya pesa wanavyo pewa. Watu wa aina hii Nyerere aliwaita MASENALI, na hata Kipindi Cha kupambani uhuru wa nchi walikuwepo wengi tu waliitwa vibaraka (Puppets). Ila baada ya kupata uhuru ndo yakarudi kwaiyo hawakuishia pale mpaka Leo Bado yapo
 
Haya machawa huwa hayana uchungu Wala uzalendo juu ya Taifa hili, wao hufurahia Ufisadi, uhujumu uchumi, mmonyoko wa maadili kwa viongozi na Raia kuteswa na kuonewa bila kupewa haki zao, kwao hawa machawa ni nderemo na vifijo kwa sababu ya vipande vidogo vya pesa wanavyo pewa. Watu wa aina hii Nyerere aliwaita MASENALI, na hata Kipindi Cha kupambani uhuru wa nchi walikuwepo wengi tu waliitwa vibaraka (Puppets). Ila baada ya kupata uhuru ndo yakarudi kwaiyo hawakuishia pale mpaka Leo Bado yapo

Ni majinga sana na yanasikitisha sana
 
Flyover, SGR, Nyerere HEP, Mbezi stand, Masoko makubwa yaliyo jengwa katka awamu yake hiyo ilikua ni uchakachuaji? Siyo?
Katka Kipindi Cha miaka 60 ya uhuru Tanzania, deni la Taifa lilikua Trillion 60, na katka hiyo miaka tumekua na Marais Watano tu. Lakini Samia amechukua nchi kwa miaka mitatu tu amekopa trillion 30 na kulipandisha deni la Taifa mpaka kufikia zaidi ya trillion 90.
Je huo nao ni uchakachuaji?

Matendo ya mtu yanaongea yenyewe, Wala siyo kwa kupambwa kwa maneno na uchawa usiyo kuwa na maana.

Mwamba alikua na madhaifu yake, lakini kazi yake ilionekana.
May his soul continue rest in peace 🕊️
Mungu bado hajamalizana na Wahuni wa taifa hili,2025 anatuletea Magufuli mwingine,watajua hawajui!!
 
Maswali chechefu:

1. Je, kwanini Mhe Rais Samia jana aliisifu TPA na kuimwagia minyama kwa "Gawio kubwa ambalo halikuwepo huko nyuma" baada ya kupokea Gawio la Tshs 153.9 Billion toka kwa Mkurugenzi Mkuu, Bw. Mbossa na Mjumbe waBodi, Bw. Minja?

2. Je, Mhe Rais hajui kuwa kuna miaka TPA ilikuwa inatoa Gawio mara tatu zaidi ya Gawio hilo kiduchu la jana ?

3. Je, Mhe Rais Samia anajua kuwa Desemba 21, 2019, Mhe Isaak Kamwele, Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Masiliano, alimchimba mkwara Mkurugenzi Mkuu wa TPA, Deusdedit Kakoko, kuwa Gawio la Tshs 480 Billion la 2018/19 ni dogo mno, na kumtaka ahakikishe 2019/20 Gawio linafika Tshs Trillion moja vinginevyo atamfukuza kazi?

4. Je, nini kimetokea hadi nchi yetu tunafurahia kupata gawio la mchango ie Tshs 153.9 Bwakati tuliishawahi kujiwekea lengo laTshs Trillion moja?



NUKUU

Dar es Salaam. Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano nchini, Isack Kamwelwe ameitaka Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) kuongeza gawio kwa Serikali kutoka Sh480 bilioni la mwaka 2018/19 hadi Sh1 trilioni mwaka 2019/2020.
Amesema jambo hilo lisipotimia atamfukuza kazi mkurugenzi mkuu wa mamlaka hiyo, Deusdedit Kakoko,Ametoa kauli hiyo leo Jumamosi Desemba 21, 2019 katika uzinduzi wa bodi mpya ya mamlaka hiyo yenye wajumbe saba ikiongozwa na Profesa Ignas Rubaratuka aliyeteuliwa kwa mara ya pili.
Maza hajui hata nini kinaendelea
 
Back
Top Bottom