Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Tuna ongozwa na watu wa hovyo snKama kuteua tu wanashindwa, wataweza kusoma mikataba ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuna ongozwa na watu wa hovyo snKama kuteua tu wanashindwa, wataweza kusoma mikataba ?
huenda unajichanganya, unachanganywa ama una changanya mambo...Maswali chechefu:
1. Je, kwanini Mhe Rais Samia jana aliisifu TPA na kuimwagia minyama kwa "Gawio kubwa ambalo halikuwepo huko nyuma" baada ya kupokea Gawio la Tshs 153.9 Billion toka kwa Mkurugenzi Mkuu, Bw. Mbossa na Mjumbe waBodi, Bw. Minja?
2. Je, Rais hajui kuwa kuna miaka TPA ilikuwa inatoa Gawio mara tatu zaidi ya Gawio hilo kiduchu la jana ?
3. Je, Rais Samia anajua kuwa Desemba 21, 2019, Mhe Isaak Kamwele, Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Masiliano, alimchimba mkwara Mkurugenzi Mkuu wa TPA, Deusdedit Kakoko, kuwa Gawio la Tshs 480 Billion la 2018/19 ni dogo mno, na kumtaka ahakikishe 2019/20 Gawio linafika Tshs Trillion moja vinginevyo atamfukuza kazi?
4. Je, nini kimetokea hadi nchi yetu tunafurahia kupata gawio la mchango ie Tshs 153.9 Bwakati tuliishawahi kujiwekea lengo laTshs Trillion moja?
NUKUU
Dar es Salaam. Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano nchini, Isack Kamwelwe ameitaka Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) kuongeza gawio kwa Serikali kutoka Sh480 bilioni la mwaka 2018/19 hadi Sh1 trilioni mwaka 2019/2020.
Amesema jambo hilo lisipotimia atamfukuza kazi mkurugenzi mkuu wa mamlaka hiyo, Deusdedit Kakoko, Ametoa kauli hiyo leo Jumamosi Desemba 21, 2019 katika uzinduzi wa bodi mpya ya mamlaka hiyo yenye wajumbe saba ikiongozwa na Profesa Ignas Rubaratuka aliyeteuliwa kwa mara ya pili.
CCM ndo ile ile ya kutumia mitutu na silaha za moto kuua na kutesa Ili kuiba kura so hakuna mabadiliko yoyote Yale utasha ngaa huyo mother anarudi tena 2025.Mungu bado hajamalizana na Wahuni wa taifa hili,2025 anatuletea Magufuli mwingine,watajua hawajui!!
Sio kitu cha ajabu… kukopa for capital investment Haina maana hukua na cha kurudisha kamaHiki siyo kipindi cha kuchakachua TAKWIMU. Enzi za Mwendazake hata TTCL walikuwa wanatoa Gawio la Tsh 2.0 Billion halafu next month wanaomba dhamana ya serekali kwenye mkopo wa Tsh 300 Bilioni ili waboreshe mitambo.
Ni bora upeleke gawio dogo lakini la ukweli kuliko USANII wa Waziri Kindamba na Magufuli mwaka 2019
huenda unajichanganya, unachanganywa ama una changanya mambo...
sikulaumu, kuchanganyikiwa kwa maendeleo anayoyaleta Mama, hilo ni jambo la kawaaida tu, na huu ni mwanzo tu, na bado mambo mengi sana mazuri yanakuja...
ni vizuri kwenda taratibu kwa uangalifu unapojadili mambo haya muhimu sana....
jitahidi uwe na msukumo wa kizalendo na sio uchochewe na mihemko ya kisiasa na mirengo kujadili mambo mazito na ya maana sana ya kitakwimu kama hili 🐒
hata hivyo,
kila zama na kitabu chake..
relax kua na subra mambo ni bam bam, chini ya kiongozi wetu makini, shupavu sana na madhubuti Rais comrade Dr Samia Suluhu Hassan 🐒
huenda unajichanganya, unachanganywa ama una changanya mambo...
sikulaumu, kuchanganyikiwa kwa maendeleo anayoyaleta Mama, hilo ni jambo la kawaaida tu, na huu ni mwanzo tu, na bado mambo mengi sana mazuri yanakuja...
ni vizuri kwenda taratibu kwa uangalifu unapojadili mambo haya muhimu sana....
jitahidi uwe na msukumo wa kizalendo na sio uchochewe na mihemko ya kisiasa na mirengo kujadili mambo mazito na ya maana sana ya kitakwimu kama hili [emoji205]
hata hivyo,
kila zama na kitabu chake..
relax kua na subra mambo ni bam bam, chini ya kiongozi wetu makini, shupavu sana na madhubuti Rais comrade Dr Samia Suluhu Hassan [emoji205]
kamwe siwezi kumlalamikia mpotoshaji mnyonge, ni aibu na ni kosa la kizalendo, kwa watu makini na wenye maono ya mbali 🐒Umeishia kulalamika tu, hujaleta ushahidi wowote. Ni kawaida ya nyumbu wengi
Kwa hiyo akili yako inaona kabisa kulikuwa na cha kurudisha kutoka TTCL? Unaifahamu TTCL au umeandika tu kama headless chicken?Sio kitu cha ajabu… kukopa for capital investment Haina maana hukua na cha kurudisha kama
Gawio
Kaahaambiwa mzigo ulichakachuliwa Enzi za gizaEndelea kusoma komenti kwanza.
kamwe siwezi kumlalamikia mpotoshaji mnyonge, ni aibu na ni kosa la kizalendo, kwa watu makini na wenye maono ya mbali [emoji205]
takwimu hazijadiliwi kwa dhana, kubuni, nadharia, hisia au mihemko kamanda[emoji205]
wacha Mh.Rais achape kazi kwa nafasi wananchi wafurahie matunda ya mipango madhubuti ya serikali sikivu ya CCM [emoji205]
CCM Ni WehuHiki siyo kipindi cha kuchakachua TAKWIMU. Enzi za Mwendazake hata TTCL walikuwa wanatoa Gawio la Tsh 2.0 Billion halafu next month wanaomba dhamana ya serekali kwenye mkopo wa Tsh 300 Bilioni ili waboreshe mitambo.
Ni bora upeleke gawio dogo lakini la ukweli kuliko USANII wa Waziri Kindamba na Magufuli mwaka 2019
Nimeandika Kama double headed chickenKwa hiyo akili yako inaona kabisa kulikuwa na cha kurudisha kutoka TTCL? Unaifahamu TTCL au umeandika tu kama headless chicken?
Nimeandika Kama double headed chicken
Kuhusu kurudisha…. Kama ndio surplus waliokua nayo or kwa mujibu wa sheria zilizopo za 5% ya gross margins irudi then sioni shida
As long as they could manage their balance sheet
Capital investment kwa nia ya kukua ni separate venture na Kama waliretain pia part of their revenue kuchangia growth yao basi Haina shida
Kuomba government guarantees kwa uwekezaji mkubwa faida yake kubwa ni kumpa financier comfort
Anyways…. Naona hasira isiyo na ukomo
kuchelewa kufahamu kwamba umefariki dunia sio dhambi, wala sio kosa...Hata kuteua marehemu ni kuchapakazi?
kuchelewa kufahamu kwamba umefariki dunia sio dhambi, wala sio kosa...
na watumishi wa umma Tanzania ni waaminifu na watiifu mno, hakuna haja kufuatiliana au kumfuatlia mtu kama kumbikumbi kwasabb ya uaminifu mkubwa walionao kwa mamlaka na wananchi [emoji205]
kama umeteuliwa na wewe ni mtumishi mwaminifu wa umma mwenye cheque number, anae kuteua anakusubiri tu siku atakayokuapisha tu...
na hata siku anayokuteua, hahitaji wewe mteule uwepo mahali anapotanngaza kukuteua na kwahivyo hana haja kufuatilia kwasabb mfumo umethibitisha wew ni mtumishi wa umma mwenye vigezo vyote unaestahili uteuzi..
usipotokea kwenye uapisho, ndipo sasa ataanza kufuatilia kujua kulikoni hujatokea, lakini si vinginevyo [emoji205]
Tusubiri.Maswali chechefu:
1. Je, kwanini Mhe Rais Samia jana aliisifu TPA na kuimwagia minyama kwa "Gawio kubwa ambalo halikuwepo huko nyuma" baada ya kupokea Gawio la Tshs 153.9 Billion toka kwa Mkurugenzi Mkuu, Bw. Mbossa na Mjumbe waBodi, Bw. Minja?
2. Je, Rais hajui kuwa kuna miaka TPA ilikuwa inatoa Gawio mara tatu zaidi ya Gawio hilo kiduchu la jana ?
3. Je, Rais Samia anajua kuwa Desemba 21, 2019, Mhe Isaak Kamwele, Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Masiliano, alimchimba mkwara Mkurugenzi Mkuu wa TPA, Deusdedit Kakoko, kuwa Gawio la Tshs 480 Billion la 2018/19 ni dogo mno, na kumtaka ahakikishe 2019/20 Gawio linafika Tshs Trillion moja vinginevyo atamfukuza kazi?
4. Je, nini kimetokea hadi nchi yetu tunafurahia kupata gawio la mchango ie Tshs 153.9 Bwakati tuliishawahi kujiwekea lengo laTshs Trillion moja?
NUKUU
Dar es Salaam. Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano nchini, Isack Kamwelwe ameitaka Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) kuongeza gawio kwa Serikali kutoka Sh480 bilioni la mwaka 2018/19 hadi Sh1 trilioni mwaka 2019/2020.
Amesema jambo hilo lisipotimia atamfukuza kazi mkurugenzi mkuu wa mamlaka hiyo, Deusdedit Kakoko, Ametoa kauli hiyo leo Jumamosi Desemba 21, 2019 katika uzinduzi wa bodi mpya ya mamlaka hiyo yenye wajumbe saba ikiongozwa na Profesa Ignas Rubaratuka aliyeteuliwa kwa mara ya pili.
mwanzoni kabisaa kwenye reply yangu nilisema huenda unajichanganya, unachanganywa au unachanganya mambo na naona hiyo changamoto nilio ibaini tangu kwenye hoja yako ya msingi unaidhihirisha rasmi 🐒Kuteua huwezi, utaweza kusoma mikataba?
mwanzoni kabisaa kwenye reply yangu nilisema huenda unajichanganya, unachanganywa au unachanganya mambo na naona hiyo changamoto nilio ibaini tangu kwenye hoja yako ya msingi unaidhihirisha rasmi [emoji205]
zingatia maelezo kwenye reply zangu, itakusaidia sana 🐒Huna uwezo wa kuonyesha nilipojichanganya?