Rais Samia unadanganywa, DP World hajaleta tija yoyote kwenye Bandari ya Dar es Salaam

Rais Samia unadanganywa, DP World hajaleta tija yoyote kwenye Bandari ya Dar es Salaam

Unadhani DP wodi watakuwa na uchungu na Bandari yetu? Wao nao wapo kazini kupambania Familia zao kupitia kampuni yao. Hapo sisi tunakuwa watatu
Inaanza kampuni DPW
Familia za wana DPW


Watufikirie sie kwa kidogo wanachopata.
TRA nayo ibinafsishwe walau ushuru wa magari upungue. Apewe mjapani hii TRA
Kuliko wizi na uzembe ambao wafanyakazi wa TPA wamekuwa wakifanya, ni bora tu hao DP WORLD waje na wapewe malengo ya makusanyo.

Kwa taarifa yako hata TBL, TCC, NMB hadi mwaka 1993-7 yalikuwa mashirika ya Serikali na yaliajiri wafanyakazi wazembe. Hakuna cha maana Serikali ilikuwa inapata zaidi ya Serikali kuwapa ruzuku ya kujiendesha.

Angalia leo performance ya ubinafsishaji wa TCC, TBL na NMB, ni makampuni ya mfano
 
Hebu tumtendee haki Samia hata kama hatumpendi. Unasema huoni mikopo inafanya nini? Yaani miaka 3 Treni ya SGR na Bwawa la umeme vimekamilika ambavyo Magufuli Olivia aliviacha vikiwa chini ya 30%.

Watanzania kwa chuki ni hatari
"Kuwa chawa siyo tiketi ya Kuwa mpumbavu"
MMM'Voice
 
Kwanza hao DP World wangeturudishia gharama tulizoingia za kuboresha miundombinu ya kwenye hizo gates...Ni zile hela tulizokopa huko kwa Walawi
 
Flyover, SGR, Nyerere HEP, Mbezi stand, Masoko makubwa yaliyo jengwa katka awamu yake hiyo ilikua ni uchakachuaji? Siyo?
Katka Kipindi Cha miaka 60 ya uhuru Tanzania, deni la Taifa lilikua Trillion 60, na katka hiyo miaka tumekua na Marais Watano tu. Lakini Samia amechukua nchi kwa miaka mitatu tu amekopa trillion 30 na kulipandisha deni la Taifa mpaka kufikia zaidi ya trillion 90.
Je huo nao ni uchakachuaji?

Matendo ya mtu yanaongea yenyewe, Wala siyo kwa kupambwa kwa maneno na uchawa usiyo kuwa na maana.

Mwamba alikua na madhaifu yake, lakini kazi yake ilionekana.
May his soul continue rest in peace [emoji2731]
Marehemu Magufuli tunamlaumu kwa baadhi ya mambo ambayo angeweza kuyaepuka.

LAKINI

Kwa kweli kuna mambo mazuri ameyafanyia Taifa hili. Yaani ukikosa kukiri kuwa kuna mazuri marehemu Magufuli aliyafanya, utakuwa na tatizo.

Lisu, pamoja na kufanyiwa aliyofanyiwa, LAKINI alikiri pia kuwa marehemu katika masuala ya mali za asili kuwa eti mchakato wa kuzipora bandari ulianza wakati wake, alikataa kabisa, na kusema kuwa, tena marehemu alipenda sana kila kitu tufanye wenyewe.

Mimi naamini makosa ambayo Magufuli aliyafanya, siyo kwa sababu ya kukosa uzalendo, bali alikuwa too ambitious, na ingekuwa inawezekana, alitamani Tanzania iwe bora kuliko nchi yoyote Duniani. Na hivyo kwa yeyote aliyehisi kuwa labda anamfanya asizifikie ambitions zake, basi aliweza kumtendea uovu wowote. Kama ambitions zake angezifanyia integrations sahihi na masuala mengine muhimu kwenye uongozi, angefanikiwa sana, na kuwa wa mfano.
 
Bado mnashindwa tatizo ni uongozi, usimamizi, msimamiaji.

Mtu mweusi hakuna anachoweza, labda pombe na ngono!
Mama yako samia ndio amekuja kuthibitisha kwa vitendo kabisa hii kauli... kwamba mtu mweusi hakuna anachoweza kufanya kwa ufanisi hapa dunianj zaidi ya anasa na wizi... na ndio maana kaamua kuwakabidhi rasilimali za nchi binadamu wenzake kutoka mataifa mengine wenye milango ya fahamu sawa na yeye wamuendeshee rasilimali hizo huku yeye wakimgawia kidogo ya kile kitakachopatikana na huku nyie machawa wake mkimpamba na kumsifia kwa kila jambo analofanya hata akijampa.

Hakuna level ya juu zaidi ya kumfanya mtu adharaulike zaidi ya hiki alichokifanya na anachoendelea kukifanya samia.
 
Marehemu Magufuli tunamlaumu kwa baadhi ya mambo ambayo angeweza kuyaepuka.

LAKINI

Kwa kweli kuna mambo mazuri ameyafanyia Taifa hili. Yaani ukikosa kukiri kuwa kuna mazuri marehemu Magufuli aliyafanya, utakuwa na tatizo.

Lisu, pamoja na kufanyiwa aliyofanyiwa, LAKINI alikiri pia kuwa marehemu katika masuala ya mali za asili kuwa eti mchakato wa kuzipora bandari ulianza wakati wake, alikataa kabisa, na kusema kuwa, tena marehemu alipenda sana kila kitu tufanye wenyewe.

Mimi naamini makosa ambayo Magufuli aliyafanya, siyo kwa sababu ya kukosa uzalendo, bali alikuwa too ambitious, na ingekuwa inawezekana, alitamani Tanzania iwe bora kuliko nchi yoyote Duniani. Na hivyo kwa yeyote aliyehisi kuwa labda anamfanya asizifikie ambitions zake, basi aliweza kumtendea uovu wowote. Kama ambitions zake angezifanyia integrations sahihi na masuala mengine muhimu kwenye uongozi, angefanikiwa sana, na kuwa wa mfano.
Uko na akili mingi sana ambazo hazijafunikwa na uroho wa kulamba asali.

Yes alikuwa na mapungufu kibao sana ya kuudhi na kukera, ila kuna mambo meengi sana yenye tija na faida kwa kila mtanzania aliyafanya ambayo hata watangulizi wake hawakuthubutu kuyafanya.

Sema wengi hawa wanaojifanya kutokuona lolote jema lililofanywa na awamu ya tano ndio wale waliofinywa sana na kupoteza kabisa ramani ya madili yao kiasi kwamba mpaka leo hii bado hawajarudi barabarani... na hivyo hizo comments zao kumzodoa marehemu ni wanasukumwa na uchungu walionao wa kuharibiwa ugali waliokuwa wanaupata kwa njia ya shortcuts na si kwamba eti wanaumizwa na yale mambo yake ya ajabu kama kuminya demokrasia,kuharibu bunge,kutotoa ajira kwa wakati au kukwapua hela za watu kwenye mabenki.
 
kiongozi usishangae kuona hilo ni kweli walikuwa wanatoa gawio hilo na baadae wanaomba!Sasa kama halmashauri zinarudisha hela Serikali kuu yaan zinaletewa zikiwa zimeomba zenyewe halaf baadae zinarudisha utashangaa hilo la TRA tena wakati ule!?😂
Hii ya Halmashauri kurudisha hela inawezekana kabisa na inachangiwa na vitu vingi. Moja wapo ni uzembe wa viongozi Mkurugenzi au pia hela mnaletewa tarahe 25/6 na tarehe 29/6 saa sita usiku Akaunti zinafungwa zote kupisha ukaguzi na kuanza mwaka mpya wa fedha tarehe 1/7 kuja kufunguliwa Julai mwishoni
 
kiongozi usishangae kuona hilo ni kweli walikuwa wanatoa gawio hilo na baadae wanaomba!Sasa kama halmashauri zinarudisha hela Serikali kuu yaan zinaletewa zikiwa zimeomba zenyewe halaf baadae zinarudisha utashangaa hilo la TRA tena wakati ule!?😂
Hii ya Halmashauri kurudisha hela inawezekana kabisa na inachangiwa na vitu vingi. Moja wapo ni uzembe wa viongozi Mkurugenzi au pia hela mnaletewa tarahe 25/6 na tarehe 29/6 saa sita usiku Akaunti zinafungwa zote kupisha ukaguzi na kuanza mwaka mpya wa fedha tarehe 1/7 kuja kufunguliwa Julai mwishoni
 
kiongozi usishangae kuona hilo ni kweli walikuwa wanatoa gawio hilo na baadae wanaomba!Sasa kama halmashauri zinarudisha hela Serikali kuu yaan zinaletewa zikiwa zimeomba zenyewe halaf baadae zinarudisha utashangaa hilo la TRA tena wakati ule!?😂
Hii ya Halmashauri kurudisha hela inawezekana kabisa na inachangiwa na vitu vingi. Moja wapo ni uzembe wa viongozi Mkurugenzi au pia hela mnaletewa tarahe 25/6 na tarehe 29/6 saa sita usiku Akaunti zinafungwa zote kupisha ukaguzi na kuanza mwaka mpya wa fedha tarehe 1/7 kuja kufunguliwa Julai mwishoni
 
binafsi sichochewi na mihemko bali ukweli mtupu....

na daima siwezi kuvumilia upotoshaji wa aina yoyote kwa viongozi, chama na serikali, hata kama ni dhaifu na wa uongo duni kama huu wako, na daima nita deal nao tu vizuri na kutoa wito kwa jamii wa kupuzwa kwa upotoshaji huo [emoji205]

Una ujinga
 
Back
Top Bottom