Hii ya Halmashauri kurudisha hela inawezekana kabisa na inachangiwa na vitu vingi. Moja wapo ni uzembe wa viongozi Mkurugenzi au pia hela mnaletewa tarahe 25/6 na tarehe 29/6 saa sita usiku Akaunti zinafungwa zote kupisha ukaguzi na kuanza mwaka mpya wa fedha tarehe 1/7 kuja kufunguliwa Julai mwishoni
Ila Magufuli pamoja na madhaifu yake(ya kutufanya tuiogope Serikali 'intimidation') mwamba alifanya vitu tangible kabisa!Imagine Magufuli angetupa na ujasiri(yeye alidili kutupa power watu wa chini ya kuwashurutisha wafanyakaz wa umma pale wanapoacha kuwajibika)Flyover, SGR, Nyerere HEP, Mbezi stand, Masoko makubwa yaliyo jengwa katka awamu yake hiyo ilikua ni uchakachuaji? Siyo?
Katka Kipindi Cha miaka 60 ya uhuru Tanzania, deni la Taifa lilikua Trillion 60, na katka hiyo miaka tumekua na Marais Watano tu. Lakini Samia amechukua nchi kwa miaka mitatu tu amekopa trillion 30 na kulipandisha deni la Taifa mpaka kufikia zaidi ya trillion 90.
Je huo nao ni uchakachuaji?
Matendo ya mtu yanaongea yenyewe, Wala siyo kwa kupambwa kwa maneno na uchawa usiyo kuwa na maana.
Mwamba alikua na madhaifu yake, lakini kazi yake ilionekana.
May his soul continue rest in peace 🕊️
nimekuelewa vzuri Mr TutorHii ya Halmashauri kurudisha hela inawezekana kabisa na inachangiwa na vitu vingi. Moja wapo ni uzembe wa viongozi Mkurugenzi au pia hela mnaletewa tarahe 25/6 na tarehe 29/6 saa sita usiku Akaunti zinafungwa zote kupisha ukaguzi na kuanza mwaka mpya wa fedha tarehe 1/7 kuja kufunguliwa Julai mwishoni
ieleweke bayana kwamba hakuna upotoshaji wowote utaachwa wala kuvumiliwa dhidi ya ukweli halisi....Una ujinga
Ufumbuzi sio kugawa mali za nchi kwa wageni. Serikali ilipaswa kuajiri menejimenti toka nje ya nchi na kawalipa mishahara minono lakini wakatuzalishia na faida yote ikawa ya kwetu kama nchi.Ni kitu kinachotukwamisha, upigaji, ufisadi, wizi na ujambazi kwenye mali za umma.
Muna soko la Metric tonnes 20 Million za mizigo ya DRC, Zambia, Malawi, Burundi na Rwanda na Uganda, lakini mnaweza kupata Metric tonnes 8 Millioni tu. Nyingine zote zinakwenda Mombasa, Beira na Durban. Bado mnashindwa tatizo ni uongozi, usimamizi, msimamiaji.
Mtu mweusi hakuna anachoweza, labda pombe na ngono!
Kwanza unaex
Ufumbuzi sio kugawa mali za nchi kwa wageni. Serikali ilipaswa kuajiri menejimenti toka nje ya nchi na kawalipa mishahara minono lakini wakatuzalishia na faida yote ikawa ya kwetu kama nchi.
Pili hizo takwimu za mizigo sio hakika kuwa lqzima wapitishe hapa kwetu. Nchi hizo haziwezi kurisk kwa kupitisha mizigo yote bandari moja kwa sababu ikitokea hanelewani ni hatari kwa hizo nchi hivyo lazima wadiversify kwa kupitisha baadhi ya mizigo bandari tofauti. Tatu gharama za DSM ziko juu kulinganisha na za huko katika bandari zingine, lakini vile vile hizo bandari kama Durba na Mombasa wana mikakati pia ya kuvutia nchi zisizo na bandari ili zipitishie nizigo huko. Kwaxkupunguza gharama na kuongeza ufanisi.
DP WORLD sio solution bali ni tatizo.
Wewe ni mwongo, ulikuwa humpendi tu JPM, pamoja na kuwa critical sana kwa JPM kuhusu human rights, ufanisi ulikuwepo, alikopa au aliiba, au sijui alifanya nini Takwimu lakini Vision yake na accountability sikuwa na doubts. Watu kama nyie inawezekaka mna dhambi zenu nyingine.Hiki siyo kipindi cha kuchakachua TAKWIMU. Enzi za Mwendazake hata TTCL walikuwa wanatoa Gawio la Tsh 2.0 Billion halafu next month wanaomba dhamana ya serekali kwenye mkopo wa Tsh 300 Bilioni ili waboreshe mitambo.
Ni bora upeleke gawio dogo lakini la ukweli kuliko USANII wa Waziri Kindamba na Magufuli mwaka 2019
Kwahio alijenga ? Sio kukopa na kupotelea sijui God knows where au kuminya wananchi na Matozo bila kuona value for moneyMagufuli naye hakuwa na jipya alikuwa anaenda kukopa kimya kimya kujenga sgr
Subiri,huenda na wewe ukaja kula shavu hatua za majeruhi😂Marehemu gani ameteuliwa mkuu?
Hii ilinipita kidogo tafadhali nitonye.
Dunia haiishi vituko
Etweege hivi sasa unamwacha mbali sana Tlaaatlaaah nakumbuka enzi yako ya awamu ya kuunga juhudi mkono,endelea kumpa darasa huyu jamaaa🫠Una ujinga