Rais Samia unajua kuwa wanaohujumu Kilimo ni hizi Benki za Biashara?

Rais Samia unajua kuwa wanaohujumu Kilimo ni hizi Benki za Biashara?

Tatizo kufukia hela baada ya miaka 3 na kuendelea ndo uje uzifukue hapo ndipo mtiti unaanzia.
Yaani maoni haya unanikumbusha Kuna Rais wa hapa Tanzania aliwahi unganisha wizara ya kilimo na wizara. Ya maliasili na utalii ,sijui Nia yake ilikuwa nini Kama ukichunguza benki za nje nyingi zilizopo hapa Tanzania zinafuatilia sana wafanyakilimo wa dengu,korosho,ukwaju,u buyu na wanatoa mikopo kwa wale wanoweza tengeneza add value chàin kama kina mo,Manji nk mtu kama mo avac ya korosho akiitikisa tu tunatafutana hapa tz mpaka jeshi linatumika kubangua korosho lakini ujanja wote mtaalamu wake kamtoa wizara kilimo naye ni Mshindo Msola,ukijiuliza Kwanini Msola serikali ilimwacha unakuta ni SIASA chafu.
 
Ila kumpa mtu mikopo akalimie inataka moyo
Basi kama ni hivyo wasiizungumzie kabisa mikopo kwa kuwa ni ulaghai. Kumbuka miji yote inategemea chakula kutoka vijijini. Chakula tunachokula ni matokeo ya wakulima wadogo wadogo wanaodanganywa na serikali kupitia benk za biashara. Huyu mkulima akifel njaa mijini tutafutana. Bora wammpe mikopo ili angalau kinachopatikana kisaidie taifa.
 
Tatizo kufukia hela baada ya miaka 3 na kuendelea ndo uje uzifukue hapo ndipo mtiti unaanzia.
Kilimo cha kufukia hela miaka mitatu ndicho chenye tija zaidi kwa kuwa mazao haya hudumu zaidi ya miaka 15 hadi 20. Baada ya hapo unapumzika unakula pension ya muda mrefu na mkulima akifanikiwa anakuwa awezi kukopa tena hizo hela anapewa mtu mwingine
 
Mkuu pole na yaliyokukuta...

Ila ushasema Benki za Biashara (yaani ni biashara ) wanawekeza kwa utashi wao kwa kuona ni kipi kinaweza kuuzwa kwa haraka pindi uki-default

Kwahio badala ya kulalamikia watu binafsi ambao hawana obligation ya kuhakikisha mafanikio yako, Mlaumu huyo huyo Samia kutokuwa na Sera za kuwainua nyie wadau ambao ndio uti wa mgongo wa nchi au lile bakuli tunalotembeza nje lije kuwasaidia na sio kuliwa na mbuzi wenye kamba ndefu

Au kama vipi unaona wakulima na potential customers wazuri jiunge na wakulima wenzako muanzishe benki na kuwakopesha wakulima wengine ili mpate faida maradufu
 
Labda kilimo cha mboga mboga(green house).
Lakini hiki kilimo cha asili cha kutegemea mvua....ni ngumu sana kuaminika.

Mfano halisi ni kama huu mwaka na jinsi mvua zilivyokataa. Ni ngumu haswa!
Kwa hiyo tuache au tujaribu. Wakulima wakubwa walianza kama wadogo. Serikali imetupa hela ngapi kwa vitu visivyo na faida? Kwenye kilimo wapo wanaofaidi wapo wanaofeli ni sawa na kununua coasta ukafanya biashara ya kusafirisha abiria. Kuna siku basi linakula mzinga. Serikali inatakiwa kila mkopo iuwekee bima ya maafa.
 
Mkuu pole na yaliyokukuta...

Ila ushasema Benki za Biashara (yaani ni biashara ) wanawekeza kwa utashi wao kwa kuona ni kipi kinaweza kuuzwa kwa haraka pindi uki-default

Kwahio badala ya kulalamikia watu binafsi ambao hawana obligation ya kuhakikisha mafanikio yako, Mlaumu huyo huyo Samia kutokuwa na Sera za kuwainua nyie wadau ambao ndio uti wa mgongo wa nchi au lile bakuli tunalotembeza nje lije kuwasaidia na sio kuliwa na mbuzi wenye kamba ndefu

Au kama vipi unaona wakulima na potential customers wazuri jiunge na wakulima wenzako muanzishe benki na kuwakopesha wakulima wengine ili mpate faida maradufu
Hao wakulima wakudunduliza wanawezaje kuunda benk. Pesa nyingi inatumika kuwaangaikia wamachinga kwa nini wasishawishi machinga wakawqtafutia sehemu mzuri wakageukia kilimo chenye tija
 
Hao wakulima wakudunduliza wanawezaje kuunda benk. Pesa nyingi inatumika kuwaangaikia wamachinga kwa nini wasishawishi machinga wakawqtafutia sehemu mzuri wakageukia kilimo chenye tija
Naam huo pia ni ushauri wafanye chochote kile..., point yangu kuwashurutisha watu ambao ni for Profit na kwao Faida ndio kila kitu kwamba wafanye jambo fulani ili wapate faida nadhani haina logic; after all they know their business better...

Na kama wanamiss point fulani basi hio fursa ichukue au wadau kama wewe muichukue...
 
NI kweli.
Ila hata Kama ungekuwa ndo mwenye benk ungewaza mara 2.
nakumbuka kuna kipindi nililima biringanya shambani zimekubali lakini sokoni Bei hakunaa
Sasa hapo Kama ningekuwa nimechukua mkopo ingekuwaje?
Kilimo cha kufukia hela miaka mitatu ndicho chenye tija zaidi kwa kuwa mazao haya hudumu zaidi ya miaka 15 hadi 20. Baada ya hapo unapumzika unakula pension ya muda mrefu na mkulima akifanikiwa anakuwa awezi kukopa tena hizo hela anapewa mtu mwingine
 
NI kweli.
Ila hata Kama ungekuwa ndo mwenye benk ungewaza mara 2.
nakumbuka kuna kipindi nililima biringanya shambani zimekubali lakini sokoni Bei hakunaa
Sasa hapo Kama ningekuwa nimechukua mkopo ingekuwaje?
Kilimo cha mbogamboga bado hakina tija kwa taifa na kinahitaji soko la uhakika. Kuna kilimo cha muda mrefu ndicho kinahitaji ufadhili mkubwa. Mfano Michikichi, Korosho, ndizi, parachichi, mkadonia, magimbi, mdarasini. Limau machungwa , papai hii ni baadhi ambayo kama kuna soko zuri hakuna hasara. Kilimo cha Tanzania wanategemea sana kilimo cha msimu yaani cha muda mfupi kama maharage, kunde, nyanya, vitunguu mahindi alizeti. Pia unatakiwa kulima bidhaa ambavyo vinatunzika mfano mahindi, alizeti, mpunga hapa kama una hesabu mzuri na ukatafuta soko sawa sawa hakuna hasara. Vijana wanaozalishwa Sua hawa wangeunganishwa na wafungwa wa magereza mbali mbali kufunisha kilimo na kutafutiwa sehemu ya kulima ili mfungwa akitoka gerezani tayari anakuwa amejifunza kitu kuacha utegemezi. Na kama wanazalisha tayari wanakuwa na mitaji ya kuanzia.
 
Kibongo bongo,
Kumkopesha mkulima Ni risk sana
Waliowahi kufanya biashara Hii Nadhan wanaelewa changamoto zake.

Wenye mabenki hawajakurupuka.
 
Kibongo bongo,
Kumkopesha mkulima Ni risk sana
Waliowahi kufanya biashara Hii Nadhan wanaelewa changamoto zake.

Wenye mabenki hawajakurupuka.
Hata mfanyabiashara ni risk ndio maana nyumba nyinginzimeandikwa maandishi mekundu zinApigwa mnada. Kwenye kilimo hamna mambo hayo kama kweli pesa uliopewa umeitumia kwenyebkitu ulichoomba
 
Tuanziye wapi mkuu?
Umemuuliza swali la maana. Mbona nguvu nyingi serikali inazitumia kufadhiri machuuzi aina ya machinga badala wangewqjengea uwezo wa kumiliki mashamba ya kilimo sehemu mbali mbali.
 
Back
Top Bottom