Rais Samia unatupa wakati mgumu wanachama wa CCM

Rais Samia unatupa wakati mgumu wanachama wa CCM

Katika kipindi cha mwaka 2020-2024, miradi na matukio kadhaa ya ufisadi imejulikana nchini Tanzania, ingawa baadhi ya matukio haya hayajaangaziwa sana kwa umma. Hapa chini ni mifano ya baadhi ya miradi na tuhuma za ufisadi:


1. Mradi wa Ujenzi wa Reli ya Kisasa (SGR) – Ujenzi wa reli ya kisasa ya SGR umekuwa ukikumbwa na tuhuma za ufisadi kuhusiana na zabuni za ujenzi, gharama zilizozidi makadirio na mikataba isiyokuwa wazi. Wakati mradi huu umekuwa na umuhimu mkubwa kwa uchumi wa Tanzania, kumekuwa na shaka kuhusu uwazi na matumizi ya fedha zinazotumika.


2. Mradi wa Umeme wa Kinyerezi II – Mradi huu wa kuzalisha umeme ulileta maswali kuhusu usimamizi wa fedha na matumizi ya mikopo kutoka kwa taasisi za fedha za kimataifa. Kuna madai kwamba fedha za umma zilitumika vibaya katika utekelezaji wa mradi huu.


3. Mfumo wa Malipo ya Madeni ya Serikali (Government Debt) – Kuna ripoti zinazosema kwamba serikali imekuwa ikikopa fedha nyingi kwa ajili ya miradi, na kwamba baadhi ya mikopo hiyo inahusishwa na ufisadi na matumizi yasiyo wazi. Kuna tuhuma kwamba baadhi ya fedha zilizokopwa zilitumika kwa manufaa binafsi ya viongozi wa serikali.


4. Mradi wa Ujenzi wa Ndege za Serikali (Air Tanzania) – Ingawa serikali ilijitahidi kuimarisha shirika la ndege la Air Tanzania, mradi huu umehusishwa na tuhuma za ufisadi kuhusiana na malipo ya zabuni, mikataba na vifaa vilivyonunuliwa. Hii inahusisha ufanisi mdogo wa kampuni licha ya kuingiza fedha nyingi.


5. Dhamana za Kampuni za Madini – Ingawa awali ilikua na jitihada kubwa za kuboresha mikataba ya madini, wanasiasa na baadhi ya viongozi wa serikali wanatuhumiwa kuhusika na upendeleo wa mikataba ya madini ambayo inadhihirisha ufisadi na upendeleo kwa kampuni kubwa za kigeni.


#Hata hivyo, katika kipindi cha 2020-2024, Rais Samia Suluhu Hassan ameonyesha jitihada kubwa za kupambana na ufisadi na amekuwa akichukua hatua za kurekebisha hali ya usimamizi wa fedha za umma, ingawa changamoto bado zipo. Wakati mwingine, suala hili limekuwa na mvutano mkubwa kutokana na baadhi ya viongozi na wafanyabiashara kuwa na maslahi binafsi kwenye miradi ya serikali.
# MAGUFULI ALIKUA ANASEMA UTAZITAPIKAAAAAA#
Samia tunae na tunatamba nae kama hutaki kajinyonge kwa big G.
 
Mleta mada anaweza kutwezwa kwa hoja yake, lakini watu watamwelewa baada ya uchaguzi.

Rais Samia ana disadvantages nyingi:
Jinsia yake:
1. Kwa desturi za Kiafrika, mwanaume kuongozwa au kutawaliwa na mwanamke ni fedheha na dharau kubwa.

2. Biblia inatamka kuwa mwanaume ndiye kiongozi wa familia, na kwamba mwanaume ni kichwa cha mwanamke.

3. Kwa waislam, ndiyo kabisa!! Mwanamke hawezi kuwa kiongozi. Huko Afganstan marufuku hata kwenda shule, nchi za kiarabu mwanamke haruhusiwi hata kuendesha gari; ushahidi wa mwanaume mmoja ni sawa na ushahidi wa wanawake watatu.

Uzanzibari wake na Yale aliyoyafanya dhidi ya Tanganyika
1. Yale mabaya aliyoyafanya dhidi ya Tanganyika kama vile kuziingiza bandari za Tanganyika kwenye mkataba tata DPW, lakini akazilinda bandari za Zanzibar.

2. Kuwajaza wazanzibari kwenye nafasi za uongozi ambazo siyo za Muungano.

3. Kuzipora mbuga za wanyama na hifadhi za misitu, na kuwagawia waarabu.

4. Kuitumia Tanganyika kuineemesha Zanzibar, kama vile kuongeza mgao wa Zanzibar kwa pesa zote za misaada na mikopo inayochukuliwa na Tanzania.

Advantage pekee aliyo nayo ni kuwa mgombea wa CCM, chama ambacho kimevifanya vyombo vya ulinzi na usalama kuwa idara za chama.
 
Mgombea alisukumizwa bila kuniandaa, Marekani sio wajinga kwamba mtu ateuliwe ndani ya miezi 3 awe Rais tena ashindane na Rais wa zamani ambae alijiandaa kuwa Rais Toka siku ya kwanza.

Wataendelea kusimamisha wagombea na Kuna siku watashinda,maana sio kweli kwamba Democrats wao ni wajinga kuliko nyie.
Kati ya Hillary Clinton na Trump nani alikuwa na CV kubwa ya uongozi??
 
Mimi nina kadi ya muda mrefu.

Marekani nchi iliyoendelea kuliko zote duniani, nchi ambayo mwanaume anaweza kubadili jinsia, akakimbia mke na watoto na jamii ikamkubali.

Nchi hii kwa mara ya pili mfululizo imekataa kuwa na rais mwanamke. Wameona bora shetani kuliko mwanamke mara zote mbili. Sio kwamba Trump anapendwa sana, alishindwa na Biden mwaka 2020 tena akiwa rais.

Tanzania sisi wa mwisho kila kitu na chama changu ccm tunataka kuwaaminisha watanzania kwamba mjita wa mkoani Mara atampigia kura rais mwanamke tena anaevaa ushungi?

Wasukuma jirani zangu wazee wa wanawake weupe kweli watampigia kura mwanamke?

Wazee wangu wayao wa Songea, watu wa kuoa wake hadi wa 4 kweli wataenda kumpigia kura mwanamke awaongoze?

Imetosha CCM, tumeweka historia tayari.
Miaka mitano ni mingi mno, damage itakua kubwa mno.

Si twezi utu wala sibezi uwezo wa Dr Samia, ila tuwe wakweli.

Tanzania bado sana.

Kidumu chama cha mapinduzi.
Ingekuwa ni mama yako usingeandika hivi?
 
Mimi nina kadi ya muda mrefu.

Marekani nchi iliyoendelea kuliko zote duniani, nchi ambayo mwanaume anaweza kubadili jinsia, akakimbia mke na watoto na jamii ikamkubali.

Nchi hii kwa mara ya pili mfululizo imekataa kuwa na rais mwanamke. Wameona bora shetani kuliko mwanamke mara zote mbili. Sio kwamba Trump anapendwa sana, alishindwa na Biden mwaka 2020 tena akiwa rais.

Tanzania sisi wa mwisho kila kitu na chama changu ccm tunataka kuwaaminisha watanzania kwamba mjita wa mkoani Mara atampigia kura rais mwanamke tena anaevaa ushungi?

Wasukuma jirani zangu wazee wa wanawake weupe kweli watampigia kura mwanamke?

Wazee wangu wayao wa Songea, watu wa kuoa wake hadi wa 4 kweli wataenda kumpigia kura mwanamke awaongoze?

Imetosha CCM, tumeweka historia tayari.
Miaka mitano ni mingi mno, damage itakua kubwa mno.

Si twezi utu wala sibezi uwezo wa Dr Samia, ila tuwe wakweli.

Tanzania bado sana.

Kidumu chama cha mapinduzi.
Wewe maku hujalazimishwa umchague Mama Samia. Kampigie kura Hashim Rungwe kama unaangalia jinsia.
 
Samia tunae na tunatamba nae kama hutaki kajinyonge kwa big G.
Issue ni Hoja Ndugu zangu wa CCM sio tu tunapamba nae … Hayati Magufuli alimaliza kelele za Chadema kwa utekelezaji pamoja na mspungufu yake ambayo kila mtu anayajua. USHABIKI NDO UMEHARIBU UCHAGUZI DODOMA …. CCM ina watu madhubuti lakini mnachagua 😞
 
"Wakati niko shule mtoto wa rais awamu ya kwanza Wasira tayari alikuwa mkuu wa mkoa, nikamaliza shule nikaenda Kagera kupigana vita nilivyorudi nikamkuta Wasira yupo, akamuaga Nyerere wakati anastaafu baada ya miaka 24 Wasira bado yupo, Ikaja awamu ya pili ya Mzee Mwinyi, Wasira bado yupo, Mwinyi akamaliza awamu yake ya miaka 10 Wasira yupo, Ikaja wamu ya tatu miaka 10 ya Mkapa, Wasira bado yupo, Mkapa akastaafu Wasira akamuaga yeye bado yupo, ikafika awamu ya Kikwete miaka 10, Wasira bado yupo, baada ya kikwete ikafika awamu ya 5 miaka 5 na robo, Wasira bado yupo, Ikafika wamu hii ya sasa Wasira bado yupo....
kwamaana hyo Wasira ni hazina ya Taifa si ndio Bw/Bi.
 
"Wakati niko shule mtoto wa rais awamu ya kwanza Wasira tayari alikuwa mkuu wa mkoa, nikamaliza shule nikaenda Kagera kupigana vita nilivyorudi nikamkuta Wasira yupo, akamuaga Nyerere wakati anastaafu baada ya miaka 24 Wasira bado yupo, Ikaja awamu ya pili ya Mzee Mwinyi, Wasira bado yupo, Mwinyi akamaliza awamu yake ya miaka 10 Wasira yupo, Ikaja wamu ya tatu miaka 10 ya Mkapa, Wasira bado yupo, Mkapa akastaafu Wasira akamuaga yeye bado yupo, ikafika awamu ya Kikwete miaka 10, Wasira bado yupo, baada ya kikwete ikafika awamu ya 5 miaka 5 na robo, Wasira bado yupo, Ikafika wamu hii ya sasa Wasira bado yupo....
Unataka kusema wasira ni mtoto wa Nyerere 😂
 
Mimi nina kadi ya muda mrefu.

Marekani nchi iliyoendelea kuliko zote duniani, nchi ambayo mwanaume anaweza kubadili jinsia, akakimbia mke na watoto na jamii ikamkubali.

Nchi hii kwa mara ya pili mfululizo imekataa kuwa na rais mwanamke. Wameona bora shetani kuliko mwanamke mara zote mbili. Sio kwamba Trump anapendwa sana, alishindwa na Biden mwaka 2020 tena akiwa rais.

Tanzania sisi wa mwisho kila kitu na chama changu ccm tunataka kuwaaminisha watanzania kwamba mjita wa mkoani Mara atampigia kura rais mwanamke tena anaevaa ushungi?

Wasukuma jirani zangu wazee wa wanawake weupe kweli watampigia kura mwanamke?

Wazee wangu wayao wa Songea, watu wa kuoa wake hadi wa 4 kweli wataenda kumpigia kura mwanamke awaongoze?

Imetosha CCM, tumeweka historia tayari.
Miaka mitano ni mingi mno, damage itakua kubwa mno.

Si twezi utu wala sibezi uwezo wa Dr Samia, ila tuwe wakweli.

Tanzania bado sana.

Kidumu chama cha mapinduzi.
Mwanamke hana maamuzi. Mwanamke ni kiumbe dhaifu sana. Anafanya maamuzi kwa hisia bila kutumia akili.
 
Wewe ni mpumbavu sana. Ningekuunga mkono kama ungetaja mapungufu ya mama samia ambayo yapo wazi lakini si kumpinga kwasababu ya uanamke wake. Punguani mkubwa wewe...
Punguza mihemko, mwandiko wako pia unaweza kutambulisha kipimo chako cha ujinga. Yaani Samia bila kutokea kifo cha mwendazake kwa jinsia yake angeweza diriki hata kuchukuwa form ya kugombea Urais wa JMT? Kwa uwezo gani kwa mfano....?? Au unadhani ni rahisi kama unavyotambaa na keyboard yako ya Itel?? Idiot....siyo kila uzi ni lazima uchangie pumbavu na nusu kabisa wewe!!
 
Back
Top Bottom