Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Genge lileHilo lichama mfu bado lipo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Genge lileHilo lichama mfu bado lipo?
Mkuu china 🇨🇳 wanatukopesha pia 😞Deni la china lipoje mkuu😁😁
Wewe msomi unafahama #Dutch disease or #Resource Course … Kama wapenda kusoma nakusihi soma ..Takataka yule na Nchi maskini usitumie kujenga hoja unajiaibisha.
Bei ya nyama imepanda sana, imekuwa kama anasa.1.Samia anajenga hactarws 500k za umwagiliaji Nchi nzima,na Bajeti ya 1.2 wengine wamewahi fanya?
Nionyeshe nataka twende kimoja baada ya kingine.Na nataka ushahidi Mimi ninazo nitakupa hapa.
Ndio faida hiyo Sasa ya kuwa na Rais anaependa biashara,hiyo ni faida Kwa wafigaji na exports ya nyama Iko Juu kabisa.Bei ya nyama imepanda sana, imekuwa kama anasa.
MAFISADI wakubwa nyieSijakutishia nimekueleza ukweli
Huu woga wenu ndio ushindi wetu
Kwa nini Wamarekani walimkubali Biden wakawakataa Kamala na Hillary Clinton??Shida sio kwamba Marekani hawamtaki mwanamke ila je ni mazingira yapi yamemfanya huyu mwanamke akose ushawishi
Bahati nzuri wenzetu marekani hawana mahaba niue katika chaguzi zao bali wanafanya maamuzi kutokana na sera za wagombea wao,yani ubora na uzur wa mgombea utategemeana na maono yake ya sera zake
Sasa kwa bahati mbaya sana mtangulizi au sera za democrat kwa kipindi fulani hazikuwa pendeza wamarekani wengi hivyo alivyokuja bwana Trump na sera mbadala na zenye mashiko watu wamemkubali
Kwahiyo ni swala la sera na dira ndio huamua hatima ya raisi wa marekani lakini sio jinsia,na weka kumbumbuku sawa kwamba ipo siku Amerika itatawaliwa na mwanamama
Kama ambavyo iliitwa white house ikulu yao kama code ya mtu mweupe kuwa ikulu lkn historia ilitupa Obama kama mtu mweusi ndani ya white house,stay tuned panapo majaaliwa inshallah mwanamke atakuwa pale white house
CCM isitoboe Kwa nini? Kwa mfano tunaanza na wewe hapo unadhani hutaipigia kura ccm Kwa sababu zipi?
Sisi tunaeona mambo kama haya Kwa nini tusiwapigie kura? 👇👇
View: https://x.com/sisiniTanzania/status/1882053855451533568?t=eV2yMi4fcUBA5uLrFEI4xA&s=19
Nadhani hamjamjibu mleta uzi; anauliza Wasukuma, Wajita, Wakulya, Wayao na hata makabila mengine ya kihafidhina, yanaweza kumpigia KURA mwanamke? Makabila aliyataja, hayaamini katika uongozi wa mwanamke. Mjibuni hilo ili tuendelee mbeleWewe sio mwanaume wala wewe sio mwanamke
Nadhani umenielewa
Mi 5 tena na Samia Suluhu Hassan
CCM YA SAMIA MBELE KWA MBELE
CCM isitoboe Kwa nini? Kwa mfano tunaanza na wewe hapo unadhani hutaipigia kura ccm Kwa sababu zipi?
Sisi tunaeona mambo kama haya Kwa nini tusiwapigie kura? 👇👇
View: https://x.com/sisiniTanzania/status/1882053855451533568?t=eV2yMi4fcUBA5uLrFEI4xA&s=19
Ufisadi gani?We umeenda hapo buhigwe katika hicho kituo cha afya ukajionea UFISADI ulivyofanyika? Au umescreen shot hizo picha zizizopigwa kiujanja ujanja zikionyesha vertical view
Sasa Huduma za Bure zinatokewa wapi? Kuna sera hiyo hapa Tanzania?Juzi babati huko kuna mama kafariki baada ya kutopatiwa huduma hospital kisa mumewe kachelewesha tsh 150k ya matibabu. Huyo mama aligongwa na nyoka. Unaleta vituo vya afya lakini usimamizi zero na wahudumu ni hakuna, we unakua unaakili timamu?
Unajizima data, ninyi ni MAFISADI wakubwa hamfai hata kwa kulumagiaUfisadi gani?
Ufisadi gani na hospital imejengwa na inaiona?Unajizima data, ninyi ni MAFISADI wakubwa hamfai hata kwa kulumagia
Siyo bure mtu kachelewesha kidogo tu PESA mnashindwa kumpa hata huduma ya kwanza. Haya nikuulize angekuwa ni mwenyekiti wa CCM asingepewa huduma?Sasa Huduma za Bure zinatokewa wapi? Kuna sera hiyo hapa Tanzania?
Kwa taarifa yako mimi nimeshasimamia miradi kadhaa chini ya uongozi wa Samia nayajua madudu ya CCM nje ndani kaa Kwa kutulia. Usimamizi mbovu, pesa zinaliwa hovyo miradi haiendani na pesa inayotolewa. CCM shida ni ninyi ma chawa mnamuangusha Rais Kwa ubinafs wenu na UFISADIUfisadi gani na hospital imejengwa na inaiona?
Hiyo taarifa haijatoka Hadharani so Haina uhakika, taarifa za hivyo zimetoka sehemu zingine na mamlaka zikachukua hatua.Siyo bure mtu kachelewesha kidogo tu PESA mnashindwa kumpa hata huduma ya kwanza. Haya nikuulize angekuwa ni mwenyekiti wa CCM asingepewa huduma?
Nani hajasimamia miradi na lini pesa haijawahi liwa?Kwa taarifa yako mimi nimeshasimamia miradi kadhaa chini ya uongozi wa Samia nayajua madudu ya CCM nje ndani kaa Kwa kutulia. Usimamizi mbovu, pesa zinaliwa hovyo miradi haiendani na pesa inayotolewa. CCM shida ni ninyi ma chawa mnamuangusha Rais Kwa ubinafs wenu na UFISADI
Siwezi kufanya wizi Kwa wananchi wanyonge mimi it's better kujiweka pembeni wale wenyewe wenye roho za kishetani.Nani hajasimamia miradi na lini pesa haijawahi liwa?
Swali , hospital mumejenga au hamjajenga? Wewe ulikuwa sehemu ya wezi si ndio?