chukuachako
JF-Expert Member
- Nov 13, 2014
- 1,209
- 817
Watanzania hawachangii MTU wanachagua chama SAMIA atashinda Kwa kishindo kama kawaida ya CCM hii Ni UHAKIKA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha mihemko Juzi ujanja ujanja ya kuja na jina na kufanya interpretation ya Katiba ya Chama Cha Mapinduzi na kupendekezwa Yeye pekee unahisi huo ni uwezo… everyone knows that was crooked n planned circus 🎪 🤡….. TUNATAMANI TURUDI MWEZI WA TANO NA RESOLUTION YA WATU WENGINE…. Embu fikiria MAJALIWA vs TUNDULISU or DOTO 🆚 TUNDULISU …. Kua realistic… Kuna mkubwa ndani ya chama anajua chama kina vijana wa hovyo kama wewe wasiojua siasa wala maono yani Kijani Nguoni … Kichwani Empty set.Mama yako ndio asiyekuwa na uwezo ndio maana unajuta
Angwkua na uwezo angekua rais ioi usijute😃😃😃
Acha mihemko Juzi ujanja ujanja ya kuja na jina na kufanya interpretation ya Katiba ya Chama Cha Mapinduzi na kupendekezwa Yeye pekee unahisi huo ni uwezo… everyone knows that was crooked n planned circus 🎪 🤡….. TUNATAMANI TURUDI MWEZI WA TANO NA RESOLUTION YA WATU WENGINE…. Embu fikiria MAJALIWA vs TUNDULISU or DOTO 🆚 TUNDULISU …. Kua realistic… Kuna mkubwa ndani ya chama anajua chama kina vijana wa hovyo kama wewe wasiojua siasa wala maono yani Kijani Nguoni … Kichwani Empty set.
Mtumishi wa Mungu mwenye Mapepo.Wewe sio mwanaume wala wewe sio mwanamke
Nadhani umenielewa
Mi 5 tena na Samia Suluhu Hassan
CCM YA SAMIA MBELE KWA MBELE
Hajajenga Samia zimejenga Kodi za wananchi...Unaona Sasa imeshaanza kutukana hovyo,huna hoja.
Namba za Samia hazilingani na takataka zenu zingine zozote.
Nakupa nyingine,ni Rais gani aliyejemga shule za High School za Wasichana Tanzania nzima ? Kama hizi hapa 👇 👇
View attachment 3210132
Nonsense,hizo Kodi wakati wengine wanakusanya Kwa nini hawakujenga?Hajajenga Samia zimejenga Kodi za wananchi...
hactarws!?🥱😂😂1.Samia anajenga hactarws 500k za umwagiliaji Nchi nzima,na Bajeti ya 1.2 wengine wamewahi fanya?
Nionyeshe nataka twende kimoja baada ya kingine.Na nataka ushahidi Mimi ninazo nitakupa hapa.
Kwani Samia imeikuta nchi ikiwa Haina kitu...(empty) amekuta shule ngapi.!?..kabla ya kuwa raisi watu walikua haweendi shule..!?.au kajenga zote mwenyewe..!?.Nonsense,hizo Kodi wakati wengine wanakusanya Kwa nini hawakujenga?
Mtumishi wa Mungu mwenye Mapepo.
Seriously?Mimi nina kadi ya muda mrefu.
Marekani nchi iliyoendelea kuliko zote duniani, nchi ambayo mwanaume anaweza kubadili jinsia, akakimbia mke na watoto na jamii ikamkubali.
Nchi hii kwa mara ya pili mfululizo imekataa kuwa na rais mwanamke. Wameona bora shetani kuliko mwanamke mara zote mbili. Sio kwamba Trump anapendwa sana, alishindwa na Biden mwaka 2020 tena akiwa rais.
Tanzania sisi wa mwisho kila kitu na chama changu ccm tunataka kuwaaminisha watanzania kwamba mjita wa mkoani Mara atampigia kura rais mwanamke tena anaevaa ushungi?
Wasukuma jirani zangu wazee wa wanawake weupe kweli watampigia kura mwanamke?
Wazee wangu wayao wa Songea, watu wa kuoa wake hadi wa 4 kweli wataenda kumpigia kura mwanamke awaongoze?
Imetosha CCM, tumeweka historia tayari.
Miaka mitano ni mingi mno, damage itakua kubwa mno.
Si twezi utu wala sibezi uwezo wa Dr Samia, ila tuwe wakweli.
Tanzania bado sana.
Kidumu chama cha mapinduzi.
Tuna deni la taifa DIGIT TATU SASA HIVI EHEEE yani ilitoka 60+ Mzee wetu Mungu ampumzishe na sasa lipo 100+… sasa hio mipesa ilitakiwa ifanye mara tatu zaidiNonsense,hizo Kodi wakati wengine wanakusanya Kwa nini hawakujenga?
Deni la Taifa linaendana na Ukubwa wa Uchumi.Tuna deni la taifa DIGIT TATU SASA HIVI EHEEE yani ilitoka 60+ Mzee wetu Mungu ampumzishe na sasa lipo 100+… sasa hio mipesa ilitakiwa ifanye mara tatu zaidi
😁😁😁😁😁 Nachowapendea mna roho ngumuWewe sio mwanaume wala wewe sio mwanamke
Nadhani umenielewa
Mi 5 tena na Samia Suluhu Hassan
CCM YA SAMIA MBELE KWA MBELE
Deni la china lipoje mkuu😁😁Deni la Taifa linaendana na Ukubwa wa Uchumi.
Nchi Zote Zenye Uchumi mkubwa Zina madeni ya kutosha.
Tukiacha Mahaba, Jinsia na unafiki tutafika mbali… Mwenyekiti yupo vizuri lakini kuna wengine wapo vizuri zaidi yake na wote wanajenga nyumba moja kwa nini usimpishe mwenzako tu. Mungu atusaidia kuona mbali na kuiangalia serikali kwa jicho la kusaidia wananchi masikini kama alivokua anasema Mh Hayati Dr Magufuli na Mungu amlinde… WACHAWI SIO WAMESHAKUFA ila waumini waukweli na uadilifu na kukazia pia hawakua wakamilifu lakini kweli na uongo waliweza tofautisha mara nyingi.Tulia dawa ikuingie💊📌💊✂️💊📌💊✂️
Samia mpaka 2030 hata usipompigia kuraMimi nina kadi ya muda mrefu.
Marekani nchi iliyoendelea kuliko zote duniani, nchi ambayo mwanaume anaweza kubadili jinsia, akakimbia mke na watoto na jamii ikamkubali.
Nchi hii kwa mara ya pili mfululizo imekataa kuwa na rais mwanamke. Wameona bora shetani kuliko mwanamke mara zote mbili. Sio kwamba Trump anapendwa sana, alishindwa na Biden mwaka 2020 tena akiwa rais.
Tanzania sisi wa mwisho kila kitu na chama changu ccm tunataka kuwaaminisha watanzania kwamba mjita wa mkoani Mara atampigia kura rais mwanamke tena anaevaa ushungi?
Wasukuma jirani zangu wazee wa wanawake weupe kweli watampigia kura mwanamke?
Wazee wangu wayao wa Songea, watu wa kuoa wake hadi wa 4 kweli wataenda kumpigia kura mwanamke awaongoze?
Imetosha CCM, tumeweka historia tayari.
Miaka mitano ni mingi mno, damage itakua kubwa mno.
Si twezi utu wala sibezi uwezo wa Dr Samia, ila tuwe wakweli.
Tanzania bado sana.
Kidumu chama cha mapinduzi.
Wewe wewe weee unamjua TRAOLE Burkina faso 🇧🇫 president .. In a landmark decision reshaping Burkina Faso’s economic landscape, President Ibrahim Traoré announced the clearance of the country’s $4.7 billion external debt while simultaneously taking control of its lucrative gold mining industry. The bold move has sparked widespread reactions domestically and globally, signaling a potential shift in Africa’s approach to economic sovereignty and resource management.….. huyu mwamba kakataa misaada IMF n Word Bank na anadunda anacheza na madini ya nchi yake kama MAGU kama ilivokua kwetu kipindi cha MAGU ….. WAZUNGU HAWATUPENDIIIIIIIIIDeni la Taifa linaendana na Ukubwa wa Uchumi.
Nchi Zote Zenye Uchumi mkubwa Zina madeni ya kutosha.
Takataka yule na Nchi maskini usitumie kujenga hoja unajiaibisha.Wewe wewe weee unamjua TRAOLE Burkina faso 🇧🇫 president .. In a landmark decision reshaping Burkina Faso’s economic landscape, President Ibrahim Traoré announced the clearance of the country’s $4.7 billion external debt while simultaneously taking control of its lucrative gold mining industry. The bold move has sparked widespread reactions domestically and globally, signaling a potential shift in Africa’s approach to economic sovereignty and resource management.….. huyu mwamba kakataa misaada IMF n Word Bank na anadunda anacheza na madini ya nchi yake kama MAGU kama ilivokua kwetu kipindi cha MAGU ….. WAZUNGU HAWATUPENDIIIIIIIII