Rais Samia unatupa wakati mgumu wanachama wa CCM

Rais Samia unatupa wakati mgumu wanachama wa CCM

Sidhani kama hoja ya jinsia ina mashiko, labda kama shida ipo ndani ya chama au mifumo ya nchi, tunaweza kujadili.
 
Una matatizo mahali. Hao wanaume waliopita wamefanya maajabu gani kuliko huyu mama?
Bado haiwezi kuondoa madhaifu ya mwanamke.

Ni wadhaifu hasa katika kufanya maamuzi magumu. Kama nafasi aliyopo huyo mama.
 
Sidhani kama hoja ya jinsia ina mashiko, labda kama shida ipo ndani ya chama au mifumo ya nchi, tunaweza kujadili.
Hakuna Cha chama ni punguani tuu wachache.

Hakuna Rais anaeweza kufikia Samia Kwa lolote ,nyie mnashangaa huo mradi mmja mbona Kuna utitiri wa miradi Nchi nzima? Eg Vyuo Vikuu Mikoa yote
 
Mimi nina kadi ya muda mrefu.

Marekani nchi iliyoendelea kuliko zote duniani, nchi ambayo mwanaume anaweza kubadili jinsia, akakimbia mke na watoto na jamii ikamkubali.

Nchi hii kwa mara ya pili mfululizo imekataa kuwa na rais mwanamke. Wameona bora shetani kuliko mwanamke mara zote mbili. Sio kwamba Trump anapendwa sana, alishindwa na Biden mwaka 2020 tena akiwa rais.

Tanzania sisi wa mwisho kila kitu na chama changu ccm tunataka kuwaaminisha watanzania kwamba mjita wa mkoani Mara atampigia kura rais mwanamke tena anaevaa ushungi?

Wasukuma jirani zangu wazee wa wanawake weupe kweli watampigia kura mwanamke?

Wazee wangu wayao wa Songea, watu wa kuoa wake hadi wa 4 kweli wataenda kumpigia kura mwanamke awaongoze?

Imetosha CCM, tumeweka historia tayari.
Miaka mitano ni mingi mno, damage itakua kubwa mno.

Si twezi utu wala sibezi uwezo wa Dr Samia, ila tuwe wakweli.

Tanzania bado sana.

Kidumu chama cha mapinduzi.
Dawa itawaingia polepole 😂😂😂
 
Ulaya karibu mataifa yote makubwa pale yanaongozwa na Wanawake analeta upumbavu wake.

Kuna mahala mwanamke amewahi shindwa Kuongoza au aseme hapa wenye masuruali wamemzidi nini Samia?

Mbona Mimi kijiweni kwangu wapo watu wengi tena wanaume wanamkubali Samia vizuri Sana Kutokana na delivery yake.
Una kijiwe cha nini wewe?
 
Oyaaaa wameanza kukanyagana we chadema endelea kuwapiga pvmbu mbn watakaa level tu. nyambafu washatuzea sana
 
Mimi nina kadi ya muda mrefu.

Marekani nchi iliyoendelea kuliko zote duniani, nchi ambayo mwanaume anaweza kubadili jinsia, akakimbia mke na watoto na jamii ikamkubali.

Nchi hii kwa mara ya pili mfululizo imekataa kuwa na rais mwanamke. Wameona bora shetani kuliko mwanamke mara zote mbili. Sio kwamba Trump anapendwa sana, alishindwa na Biden mwaka 2020 tena akiwa rais.

Tanzania sisi wa mwisho kila kitu na chama changu ccm tunataka kuwaaminisha watanzania kwamba mjita wa mkoani Mara atampigia kura rais mwanamke tena anaevaa ushungi?

Wasukuma jirani zangu wazee wa wanawake weupe kweli watampigia kura mwanamke?

Wazee wangu wayao wa Songea, watu wa kuoa wake hadi wa 4 kweli wataenda kumpigia kura mwanamke awaongoze?

Imetosha CCM, tumeweka historia tayari.
Miaka mitano ni mingi mno, damage itakua kubwa mno.

Si twezi utu wala sibezi uwezo wa Dr Samia, ila tuwe wakweli.

Tanzania bado sana.

Kidumu chama cha mapinduzi.
Sisi ccm sio vichaa hatuwezi ruhusu mwanamke apigiwe kura dhidi ya mwanamme !!!labda kama tumeamua nchi iende upinzani!

Naamini nchimbi ndio mgombea wa urais !udini ukileta kelele Mwinyi junior at step up!
 
Mimi nina kadi ya muda mrefu.

Marekani nchi iliyoendelea kuliko zote duniani, nchi ambayo mwanaume anaweza kubadili jinsia, akakimbia mke na watoto na jamii ikamkubali.

Nchi hii kwa mara ya pili mfululizo imekataa kuwa na rais mwanamke. Wameona bora shetani kuliko mwanamke mara zote mbili. Sio kwamba Trump anapendwa sana, alishindwa na Biden mwaka 2020 tena akiwa rais.

Tanzania sisi wa mwisho kila kitu na chama changu ccm tunataka kuwaaminisha watanzania kwamba mjita wa mkoani Mara atampigia kura rais mwanamke tena anaevaa ushungi?

Wasukuma jirani zangu wazee wa wanawake weupe kweli watampigia kura mwanamke?

Wazee wangu wayao wa Songea, watu wa kuoa wake hadi wa 4 kweli wataenda kumpigia kura mwanamke awaongoze?

Imetosha CCM, tumeweka historia tayari.
Miaka mitano ni mingi mno, damage itakua kubwa mno.

Si twezi utu wala sibezi uwezo wa Dr Samia, ila tuwe wakweli.

Tanzania bado sana.

Kidumu chama cha mapinduzi.
Na akisimama na kichaa Lissu ataomba mma! Lisu na Trump akili zao wanazijua wenyewe...na huyo kishoia alompendekeza kwenye umakamu ni bora angebaki tu mpango na ngonjera zake za mabadiliko ya tabia nchi.
 
Mama D mambo gani tena , nakubaliana na wewe kipindi cha embryology, mwazo kabisa huwezi tofautisha maumbile, ila kadri mda unavyoenda ,maumbile yanatofautiana na badae kupata mtoto wa kike au wa kiume, mambo ya uumbaji.

Hoja ya mleta mada ni kwamba sasa wewe mwanamke je jamii yote ipo tiyari kukupa kura kwa uongozi, unaleta mambo magum ya kisayansi kwenye mambo ya siasa .

Iyo shule ya embryology yenyewe ni balaa tupu unaweza isoma miaka 3 na bado isikae leo ndo unaleta apa.

Alafu mama D wewe kwa nini katika siasa kila upande ukiungaga mkono mambo huaribika?

Mwenda zake - kiko wapi

FAM - kikowapi .

Pole sana kwa maoni yako

Ninachojua mimi ambacho ndio ukweli ni kwamba majukumu ya kiutawala hayafanywi na kiungo cha uzazi (ke/me) ila yanafajikishwa na akili, hekima, uweza, uzoefu, elimu na ujuzi wa mtu awe mwanamke au mwanaume.

Halafu nikukumhushe tuu kwenye siasa mimi Sijawahi Unga mkono popote tukashindwa.

Rejea mijadala historia ya harakati za siasa ndani na nje ya nchi walau kwa miaka 15 utanielewa sana.

Na sasa nakuambia October tuna uhakika wa kushinda kwa kishindo toka kwa Rais mwenye jinsia ya kike
 
Siwezi mpigia kura mwanamke, labda mfumo wa uendeshaji wa nchi ubadilike. Hii nchi ambayo Rais hawezi kushtakiwa alafu nimpigie kura Samia? Sitaweza na mwambieni kabisa kanda ya ziwa asiihesabie.
 
Siwezi mpigia kura mwanamke, labda mfumo wa uendeshaji wa nchi ubadilike. Hii nchi ambayo Rais hawezi kushtakiwa alafu nimpigie kura Samia? Sitaweza na mwambieni kabisa kanda ya ziwa asiihesabie.
Hoja zako zinahusinaje na mwanamke mbona kama hueleweki?

Sema huwezi mpigia Kwa sababu za mfumo dume ila Mimi siwezi kuchagua mtu kisa Jinsia yake ,never
 
Back
Top Bottom