Rais Samia unatupa wakati mgumu wanachama wa CCM

Rais Samia unatupa wakati mgumu wanachama wa CCM

MUNGU nijalie uzima niwe mwenye bahati kubwa sana kuwa mmoja kati ya wataofanikisha kumuondoa mkoloni mweusi pale October 2025,
Ahsante MUNGU
 
Mimi nina kadi ya muda mrefu.

Marekani nchi iliyoendelea kuliko zote duniani, nchi ambayo mwanaume anaweza kubadili jinsia, akakimbia mke na watoto na jamii ikamkubali.

Nchi hii kwa mara ya pili mfululizo imekataa kuwa na rais mwanamke. Wameona bora shetani kuliko mwanamke mara zote mbili. Sio kwamba Trump anapendwa sana, alishindwa na Biden mwaka 2020 tena akiwa rais.

Tanzania sisi wa mwisho kila kitu na chama changu ccm tunataka kuwaaminisha watanzania kwamba mjita wa mkoani Mara atampigia kura rais mwanamke tena anaevaa ushungi?

Wasukuma jirani zangu wazee wa wanawake weupe kweli watampigia kura mwanamke?

Wazee wangu wayao wa Songea, watu wa kuoa wake hadi wa 4 kweli wataenda kumpigia kura mwanamke awaongoze?

Imetosha CCM, tumeweka historia tayari.
Miaka mitano ni mingi mno, damage itakua kubwa mno.

Si twezi utu wala sibezi uwezo wa Dr Samia, ila tuwe wakweli.

Tanzania bado sana.

Kidumu chama cha mapinduzi.
 

Attachments

  • IMG-20250122-WA0047.jpg
    IMG-20250122-WA0047.jpg
    32.8 KB · Views: 2
"Wakati niko shule mtoto wa rais awamu ya kwanza Wasira tayari alikuwa mkuu wa mkoa, nikamaliza shule nikaenda Kagera kupigana vita nilivyorudi nikamkuta Wasira yupo, akamuaga Nyerere wakati anastaafu baada ya miaka 24 Wasira bado yupo, Ikaja awamu ya pili ya Mzee Mwinyi, Wasira bado yupo, Mwinyi akamaliza awamu yake ya miaka 10 Wasira yupo, Ikaja wamu ya tatu miaka 10 ya Mkapa, Wasira bado yupo, Mkapa akastaafu Wasira akamuaga yeye bado yupo, ikafika awamu ya Kikwete miaka 10, Wasira bado yupo, baada ya kikwete ikafika awamu ya 5 miaka 5 na robo, Wasira bado yupo, Ikafika wamu hii ya sasa Wasira bado yupo....
Wenyewe wanasema damu changa hiyo bado
 
Mama D, wanawake mnafanya mengi tu ya maana.
Hata Dr Samia I am sure amefanya mengi ya maana, hoja yangu mimi ni namuombeaje kura kwa watu wanaoona wanawake hawatakiwi kuongoza wanaume?
 

Attachments

  • IMG-20250122-WA0047.jpg
    IMG-20250122-WA0047.jpg
    32.8 KB · Views: 2
Mimi nina kadi ya muda mrefu.

Marekani nchi iliyoendelea kuliko zote duniani, nchi ambayo mwanaume anaweza kubadili jinsia, akakimbia mke na watoto na jamii ikamkubali.

Nchi hii kwa mara ya pili mfululizo imekataa kuwa na rais mwanamke. Wameona bora shetani kuliko mwanamke mara zote mbili. Sio kwamba Trump anapendwa sana, alishindwa na Biden mwaka 2020 tena akiwa rais.

Tanzania sisi wa mwisho kila kitu na chama changu ccm tunataka kuwaaminisha watanzania kwamba mjita wa mkoani Mara atampigia kura rais mwanamke tena anaevaa ushungi?

Wasukuma jirani zangu wazee wa wanawake weupe kweli watampigia kura mwanamke?

Wazee wangu wayao wa Songea, watu wa kuoa wake hadi wa 4 kweli wataenda kumpigia kura mwanamke awaongoze?

Imetosha CCM, tumeweka historia tayari.
Miaka mitano ni mingi mno, damage itakua kubwa mno.

Si twezi utu wala sibezi uwezo wa Dr Samia, ila tuwe wakweli.

Tanzania bado sana.

Kidumu chama cha mapinduzi.
Mkuu ukilewa usiandike kitu
 
"Wakati niko shule mtoto wa rais awamu ya kwanza Wasira tayari alikuwa mkuu wa mkoa, nikamaliza shule nikaenda Kagera kupigana vita nilivyorudi nikamkuta Wasira yupo, akamuaga Nyerere wakati anastaafu baada ya miaka 24 Wasira bado yupo, Ikaja awamu ya pili ya Mzee Mwinyi, Wasira bado yupo, Mwinyi akamaliza awamu yake ya miaka 10 Wasira yupo, Ikaja wamu ya tatu miaka 10 ya Mkapa, Wasira bado yupo, Mkapa akastaafu Wasira akamuaga yeye bado yupo, ikafika awamu ya Kikwete miaka 10, Wasira bado yupo, baada ya kikwete ikafika awamu ya 5 miaka 5 na robo, Wasira bado yupo, Ikafika wamu hii ya sasa Wasira bado yupo....
Mkuu ongeza na hii "Wasira oyeee" in Makongóro Nyerere voice"
 
Hapana, uislam ni dini nzuri sana.
Hoja yangu mimi ni kwamba, kama mwanachama wa CCM inakua ngumu kumshawishi imam mwenye wake wawili na anaeamini "arijalu qawamuna ala nisaa" - "" Mwanaume ni kiongozi wa mwanamke"" ampe kura mwanamke ili aongoze.
Mwanamke ambae hata kwenye mimbar hawezi kusimama.
Una maanisha una hofo atabeba mimba

Kasha vuka huwo umri
 
Mimi nina kadi ya muda mrefu.

Marekani nchi iliyoendelea kuliko zote duniani, nchi ambayo mwanaume anaweza kubadili jinsia, akakimbia mke na watoto na jamii ikamkubali.

Nchi hii kwa mara ya pili mfululizo imekataa kuwa na rais mwanamke. Wameona bora shetani kuliko mwanamke mara zote mbili. Sio kwamba Trump anapendwa sana, alishindwa na Biden mwaka 2020 tena akiwa rais.

Tanzania sisi wa mwisho kila kitu na chama changu ccm tunataka kuwaaminisha watanzania kwamba mjita wa mkoani Mara atampigia kura rais mwanamke tena anaevaa ushungi?

Wasukuma jirani zangu wazee wa wanawake weupe kweli watampigia kura mwanamke?

Wazee wangu wayao wa Songea, watu wa kuoa wake hadi wa 4 kweli wataenda kumpigia kura mwanamke awaongoze?

Imetosha CCM, tumeweka historia tayari.
Miaka mitano ni mingi mno, damage itakua kubwa mno.

Si twezi utu wala sibezi uwezo wa Dr Samia, ila tuwe wakweli.

Tanzania bado sana.

Kidumu chama cha mapinduzi.
kua huru,
hamia vyama vingine vya siasa kwa haki, unang'ang'ana nini na unafiki moyoni? hakuna haja ya kubababika gentleman 🐒
 
Mimi nina kadi ya muda mrefu.

Marekani nchi iliyoendelea kuliko zote duniani, nchi ambayo mwanaume anaweza kubadili jinsia, akakimbia mke na watoto na jamii ikamkubali.

Nchi hii kwa mara ya pili mfululizo imekataa kuwa na rais mwanamke. Wameona bora shetani kuliko mwanamke mara zote mbili. Sio kwamba Trump anapendwa sana, alishindwa na Biden mwaka 2020 tena akiwa rais.

Tanzania sisi wa mwisho kila kitu na chama changu ccm tunataka kuwaaminisha watanzania kwamba mjita wa mkoani Mara atampigia kura rais mwanamke tena anaevaa ushungi?

Wasukuma jirani zangu wazee wa wanawake weupe kweli watampigia kura mwanamke?

Wazee wangu wayao wa Songea, watu wa kuoa wake hadi wa 4 kweli wataenda kumpigia kura mwanamke awaongoze?

Imetosha CCM, tumeweka historia tayari.
Miaka mitano ni mingi mno, damage itakua kubwa mno.

Si twezi utu wala sibezi uwezo wa Dr Samia, ila tuwe wakweli.

Tanzania bado sana.

Kidumu chama cha mapinduzi.
Takataka gani hii umeandika🚮🚮nyambaff
 
Tanzania sisi wa mwisho kila kitu na chama changu ccm tunataka kuwaaminisha watanzania kwamba mjita wa mkoani Mara atampigia kura rais mwanamke tena anaevaa ushungi?
Aiseeeee sikutegea hiki
... Hii statement sidhani kama uliifikiria upana wake wakati unaandikia. Umekosea Mkuu.
 
Mimi nina kadi ya muda mrefu.

Marekani nchi iliyoendelea kuliko zote duniani, nchi ambayo mwanaume anaweza kubadili jinsia, akakimbia mke na watoto na jamii ikamkubali.

Nchi hii kwa mara ya pili mfululizo imekataa kuwa na rais mwanamke. Wameona bora shetani kuliko mwanamke mara zote mbili. Sio kwamba Trump anapendwa sana, alishindwa na Biden mwaka 2020 tena akiwa rais.

Tanzania sisi wa mwisho kila kitu na chama changu ccm tunataka kuwaaminisha watanzania kwamba mjita wa mkoani Mara atampigia kura rais mwanamke tena anaevaa ushungi?

Wasukuma jirani zangu wazee wa wanawake weupe kweli watampigia kura mwanamke?

Wazee wangu wayao wa Songea, watu wa kuoa wake hadi wa 4 kweli wataenda kumpigia kura mwanamke awaongoze?

Imetosha CCM, tumeweka historia tayari.
Miaka mitano ni mingi mno, damage itakua kubwa mno.

Si twezi utu wala sibezi uwezo wa Dr Samia, ila tuwe wakweli.

Tanzania bado sana.

Kidumu chama cha mapinduzi.
Kwa ccm usijali, hawategemei kura, bali vyombo vya dola ndio vyenye jukumu hilo.
 
Ulaya karibu mataifa yote makubwa pale yanaongozwa na Wanawake analeta upumbavu wake.

Kuna mahala mwanamke amewahi shindwa Kuongoza au aseme hapa wenye masuruali wamemzidi nini Samia?

Mbona Mimi kijiweni kwangu wapo watu wengi tena wanaume wanamkubali Samia vizuri Sana Kutokana na delivery yake.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Umemsingizia samia kuwa ana deliver. Ana deliver nini? Waste product? Acha kumsingizia samia wa watu. Hakuna ajualo wala afanyalo. Mwacheni tu aenjoy urais nasi tu enjoy.
 
1.Samia anajenga hactarws 500k za umwagiliaji Nchi nzima,na Bajeti ya 1.2 wengine wamewahi fanya?

Nionyeshe nataka twende kimoja baada ya kingine.Na nataka ushahidi Mimi ninazo nitakupa hapa.
😄😄😄 wenyewe kwa wenyewe sasa
 
Wewe sio mwanaume wala wewe sio mwanamke

Nadhani umenielewa

Mi 5 tena na Samia Suluhu Hassan

CCM YA SAMIA MBELE KWA MBELE
Mama D mambo gani tena , nakubaliana na wewe kipindi cha embryology, mwazo kabisa huwezi tofautisha maumbile, ila kadri mda unavyoenda ,maumbile yanatofautiana na badae kupata mtoto wa kike au wa kiume, mambo ya uumbaji.

Hoja ya mleta mada ni kwamba sasa wewe mwanamke je jamii yote ipo tiyari kukupa kura kwa uongozi, unaleta mambo magum ya kisayansi kwenye mambo ya siasa .

Iyo shule ya embryology yenyewe ni balaa tupu unaweza isoma miaka 3 na bado isikae leo ndo unaleta apa.

Alafu mama D wewe kwa nini katika siasa kila upande ukiungaga mkono mambo huaribika?

Mwenda zake - kiko wapi

FAM - kikowapi .
 
Wenye akili wanaelewa ila mapunguani mlioshikiwa akili na ambao mnadhani mkiwa na mboro ndio kuleta maendeleo hamtaelewa.

So hoja zangu ni Kwa wanajitambua na wanao gauge mtu Kwa matokeo yake na sio Jinsia zenu.
Mbona mboro dada.... shida nini??
 
Wewe ni mpumbavu sana. Ningekuunga mkono kama ungetaja mapungufu ya mama samia ambayo yapo wazi lakini si kumpinga kwasababu ya uanamke wake. Punguani mkubwa wewe...
Mbona umepanic.
Kiuhalisia mwanamke anaweza kuwa kiongozi lakini sio kwa ngazi ya kuongoza Taifa.

Madhaifu ya mwanamke yapo na hayakwepeki. Kama vile ubora wenu unaonekana katika nyanja ya kifamilia.

Mimi mwanaume siwezi kuchagua mwanamke aniongoze. Siwezi na haitokuja.
Kidini, kikabila, kisaikolojia, kifalsafa na kihisia zote hizo nisababu
 
Back
Top Bottom