ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Shida ni kutaja Jinsia ya Kiongozi kama kete ya ushindiMbona mboro dada.... shida nini??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shida ni kutaja Jinsia ya Kiongozi kama kete ya ushindiMbona mboro dada.... shida nini??
Dada Demi naomba gombea urais kupitia chaumma nikupigie kura😋😋😋Hao wanaume watano waliopita walikusaidia nini wewe? Au ulifurahia mbu×× zao? Be serious kwenye mambo serious
wewe unaishi dunia ipi? nani alikwambia kuwa kwa hii dunia ya sasa kuna hayo mawazo?Mimi nina kadi ya muda mrefu.
Marekani nchi iliyoendelea kuliko zote duniani, nchi ambayo mwanaume anaweza kubadili jinsia, akakimbia mke na watoto na jamii ikamkubali.
Nchi hii kwa mara ya pili mfululizo imekataa kuwa na rais mwanamke. Wameona bora shetani kuliko mwanamke mara zote mbili. Sio kwamba Trump anapendwa sana, alishindwa na Biden mwaka 2020 tena akiwa rais.
Tanzania sisi wa mwisho kila kitu na chama changu ccm tunataka kuwaaminisha watanzania kwamba mjita wa mkoani Mara atampigia kura rais mwanamke tena anaevaa ushungi?
Wasukuma jirani zangu wazee wa wanawake weupe kweli watampigia kura mwanamke?
Wazee wangu wayao wa Songea, watu wa kuoa wake hadi wa 4 kweli wataenda kumpigia kura mwanamke awaongoze?
Imetosha CCM, tumeweka historia tayari.
Miaka mitano ni mingi mno, damage itakua kubwa mno.
Si twezi utu wala sibezi uwezo wa Dr Samia, ila tuwe wakweli.
Tanzania bado sana.
Kidumu chama cha mapinduzi.
Mimi nina kadi ya muda mrefu.
Marekani nchi iliyoendelea kuliko zote duniani, nchi ambayo mwanaume anaweza kubadili jinsia, akakimbia mke na watoto na jamii ikamkubali.
Nchi hii kwa mara ya pili mfululizo imekataa kuwa na rais mwanamke. Wameona bora shetani kuliko mwanamke mara zote mbili. Sio kwamba Trump anapendwa sana, alishindwa na Biden mwaka 2020 tena akiwa rais.
Tanzania sisi wa mwisho kila kitu na chama changu ccm tunataka kuwaaminisha watanzania kwamba mjita wa mkoani Mara atampigia kura rais mwanamke tena anaevaa ushungi?
Wasukuma jirani zangu wazee wa wanawake weupe kweli watampigia kura mwanamke?
Wazee wangu wayao wa Songea, watu wa kuoa wake hadi wa 4 kweli wataenda kumpigia kura mwanamke awaongoze?
Imetosha CCM, tumeweka historia tayari.
Miaka mitano ni mingi mno, damage itakua kubwa mno.
Si twezi utu wala sibezi uwezo wa Dr Samia, ila tuwe wakweli.
Tanzania bado sana.
Kidumu chama cha mapinduzi.
Sasa ndio mborog ikaja aseee?? DaahShida ni kutaja Jinsia ya Kiongozi kama kete ya ushindi
Nilikuwa majibu tuu kwamba mborong ndio inaleta maendeleo? Kuna watu wana akili za kitoto na kijingaSasa ndio mborog ikaja aseee?? Daah
CCM labda muuwe na muibe kura sivyo hamtoboi 2025 huo ndo ukweli. Kwanza mpaka hapo ushamtoshia maisha huyu jamaa et "utafika mwisho kabla ya mwisho wa CCM" akili hunaUtafika mwisho kabla ya mwisho wa hiyo CCM
Una matatizo mahali. Hao wanaume waliopita wamefanya maajabu gani kuliko huyu mama?Mbona umepanic.
Kiuhalisia mwanamke anaweza kuwa kiongozi lakini sio kwa ngazi ya kuongoza Taifa.
Madhaifu ya mwanamke yapo na hayakwepeki. Kama vile ubora wenu unaonekana katika nyanja ya kifamilia.
Mimi mwanaume siwezi kuchagua mwanamke aniongoze. Siwezi na haitokuja.
Kidini, kikabila, kisaikolojia, kifalsafa na kihisia zote hizo nisababu
binafsi nawapongeza ccm kwa kumteua samia agombee akapambane na wapinzani ili anguko la ccm litokee, huwezi kuyazuia mafuriko yawezekana ndo hatima ya ccm kushika dolaMimi nina kadi ya muda mrefu.
Marekani nchi iliyoendelea kuliko zote duniani, nchi ambayo mwanaume anaweza kubadili jinsia, akakimbia mke na watoto na jamii ikamkubali.
Nchi hii kwa mara ya pili mfululizo imekataa kuwa na rais mwanamke. Wameona bora shetani kuliko mwanamke mara zote mbili. Sio kwamba Trump anapendwa sana, alishindwa na Biden mwaka 2020 tena akiwa rais.
Tanzania sisi wa mwisho kila kitu na chama changu ccm tunataka kuwaaminisha watanzania kwamba mjita wa mkoani Mara atampigia kura rais mwanamke tena anaevaa ushungi?
Wasukuma jirani zangu wazee wa wanawake weupe kweli watampigia kura mwanamke?
Wazee wangu wayao wa Songea, watu wa kuoa wake hadi wa 4 kweli wataenda kumpigia kura mwanamke awaongoze?
Imetosha CCM, tumeweka historia tayari.
Miaka mitano ni mingi mno, damage itakua kubwa mno.
Si twezi utu wala sibezi uwezo wa Dr Samia, ila tuwe wakweli.
Tanzania bado sana.
Kidumu chama cha mapinduzi.
Basi naomba tamu baby tuwaachie misiasa yao sawa we😋😋😋Sifai hata kuwa mwenyekiti wa kitongoji kwasababu kwenye siasa kuna unafiki uliopitiliza
LABDA MUIBE.Wewe sio mwanaume wala wewe sio mwanamke
Nadhani umenielewa
Mi 5 tena na Samia Suluhu Hassan
CCM YA SAMIA MBELE KWA MBELE
Acha ujinga basi we mtuBasi naomba tamu baby tuwaachie misiasa yao sawa we😋😋😋
Chama Cha fomu moja...Mimi nina kadi ya muda mrefu.
Marekani nchi iliyoendelea kuliko zote duniani, nchi ambayo mwanaume anaweza kubadili jinsia, akakimbia mke na watoto na jamii ikamkubali.
Nchi hii kwa mara ya pili mfululizo imekataa kuwa na rais mwanamke. Wameona bora shetani kuliko mwanamke mara zote mbili. Sio kwamba Trump anapendwa sana, alishindwa na Biden mwaka 2020 tena akiwa rais.
Tanzania sisi wa mwisho kila kitu na chama changu ccm tunataka kuwaaminisha watanzania kwamba mjita wa mkoani Mara atampigia kura rais mwanamke tena anaevaa ushungi?
Wasukuma jirani zangu wazee wa wanawake weupe kweli watampigia kura mwanamke?
Wazee wangu wayao wa Songea, watu wa kuoa wake hadi wa 4 kweli wataenda kumpigia kura mwanamke awaongoze?
Imetosha CCM, tumeweka historia tayari.
Miaka mitano ni mingi mno, damage itakua kubwa mno.
Si twezi utu wala sibezi uwezo wa Dr Samia, ila tuwe wakweli.
Tanzania bado sana.
Kidumu chama cha mapinduzi.
Kura Zitalindwaje ???!!CCM itapata pigo kubwa sana mwaka huu, pigo moja tu ,pigo lililonyooka, pigo takatifu
Duh 🙄 !
Hoja sio mavazi. Hoja ni nature tu kwamba waafrika tumekuzwa ktk mfumo dume. Kuongozwa na ke haileti hamasa .Wewe ni mshenzi tu, kwahiyo kwakuwa anavaa ushungi/muislam ndio hafai, je angekuwa anavaa kimini na kuweka nyele za marehemu kichwani kwake ungekenua tu sio
CCM isitoboe Kwa nini? Kwa mfano tunaanza na wewe hapo unadhani hutaipigia kura ccm Kwa sababu zipi?CCM labda muuwe na muibe kura sivyo hamtoboi 2025 huo ndo ukweli. Kwanza mpaka hapo ushamtoshia maisha huyu jamaa et "utafika mwisho kabla ya mwisho wa CCM" akili huna