Rais Samia unatupa wakati mgumu wanachama wa CCM

Rais Samia unatupa wakati mgumu wanachama wa CCM

"Wakati niko shule mtoto wa rais awamu ya kwanza Wasira tayari alikuwa mkuu wa mkoa, nikamaliza shule nikaenda Kagera kupigana vita nilivyorudi nikamkuta Wasira yupo, akamuaga Nyerere wakati anastaafu baada ya miaka 24 Wasira bado yupo, Ikaja awamu ya pili ya Mzee Mwinyi, Wasira bado yupo, Mwinyi akamaliza awamu yake ya miaka 10 Wasira yupo, Ikaja wamu ya tatu miaka 10 ya Mkapa, Wasira bado yupo, Mkapa akastaafu Wasira akamuaga yeye bado yupo, ikafika awamu ya Kikwete miaka 10, Wasira bado yupo, baada ya kikwete ikafika awamu ya 5 miaka 5 na robo, Wasira bado yupo, Ikafika wamu hii ya sasa Wasira bado yupo....
Mungu umkunjulia ridhiki amtakaye!
 
Katika kipindi cha mwaka 2020-2024, miradi na matukio kadhaa ya ufisadi imejulikana nchini Tanzania, ingawa baadhi ya matukio haya hayajaangaziwa sana kwa umma. Hapa chini ni mifano ya baadhi ya miradi na tuhuma za ufisadi:


1. Mradi wa Ujenzi wa Reli ya Kisasa (SGR) – Ujenzi wa reli ya kisasa ya SGR umekuwa ukikumbwa na tuhuma za ufisadi kuhusiana na zabuni za ujenzi, gharama zilizozidi makadirio na mikataba isiyokuwa wazi. Wakati mradi huu umekuwa na umuhimu mkubwa kwa uchumi wa Tanzania, kumekuwa na shaka kuhusu uwazi na matumizi ya fedha zinazotumika.


2. Mradi wa Umeme wa Kinyerezi II – Mradi huu wa kuzalisha umeme ulileta maswali kuhusu usimamizi wa fedha na matumizi ya mikopo kutoka kwa taasisi za fedha za kimataifa. Kuna madai kwamba fedha za umma zilitumika vibaya katika utekelezaji wa mradi huu.


3. Mfumo wa Malipo ya Madeni ya Serikali (Government Debt) – Kuna ripoti zinazosema kwamba serikali imekuwa ikikopa fedha nyingi kwa ajili ya miradi, na kwamba baadhi ya mikopo hiyo inahusishwa na ufisadi na matumizi yasiyo wazi. Kuna tuhuma kwamba baadhi ya fedha zilizokopwa zilitumika kwa manufaa binafsi ya viongozi wa serikali.


4. Mradi wa Ujenzi wa Ndege za Serikali (Air Tanzania) – Ingawa serikali ilijitahidi kuimarisha shirika la ndege la Air Tanzania, mradi huu umehusishwa na tuhuma za ufisadi kuhusiana na malipo ya zabuni, mikataba na vifaa vilivyonunuliwa. Hii inahusisha ufanisi mdogo wa kampuni licha ya kuingiza fedha nyingi.


5. Dhamana za Kampuni za Madini – Ingawa awali ilikua na jitihada kubwa za kuboresha mikataba ya madini, wanasiasa na baadhi ya viongozi wa serikali wanatuhumiwa kuhusika na upendeleo wa mikataba ya madini ambayo inadhihirisha ufisadi na upendeleo kwa kampuni kubwa za kigeni.


#Hata hivyo, katika kipindi cha 2020-2024, Rais Samia Suluhu Hassan ameonyesha jitihada kubwa za kupambana na ufisadi na amekuwa akichukua hatua za kurekebisha hali ya usimamizi wa fedha za umma, ingawa changamoto bado zipo. Wakati mwingine, suala hili limekuwa na mvutano mkubwa kutokana na baadhi ya viongozi na wafanyabiashara kuwa na maslahi binafsi kwenye miradi ya serikali.
# MAGUFULI ALIKUA ANASEMA UTAZITAPIKAAAAAA#
Sijawahi sikia Wala kusoma haya unayoongea kwenye Utawala huu wa Samia sio jf Wala kwenye vyombo vya habari so hizo ni rumours
 
Mimi nina kadi ya muda mrefu.

Marekani nchi iliyoendelea kuliko zote duniani, nchi ambayo mwanaume anaweza kubadili jinsia, akakimbia mke na watoto na jamii ikamkubali.

Nchi hii kwa mara ya pili mfululizo imekataa kuwa na rais mwanamke. Wameona bora shetani kuliko mwanamke mara zote mbili. Sio kwamba Trump anapendwa sana, alishindwa na Biden mwaka 2020 tena akiwa rais.

Tanzania sisi wa mwisho kila kitu na chama changu ccm tunataka kuwaaminisha watanzania kwamba mjita wa mkoani Mara atampigia kura rais mwanamke tena anaevaa ushungi?

Wasukuma jirani zangu wazee wa wanawake weupe kweli watampigia kura mwanamke?

Wazee wangu wayao wa Songea, watu wa kuoa wake hadi wa 4 kweli wataenda kumpigia kura mwanamke awaongoze?

Imetosha CCM, tumeweka historia tayari.
Miaka mitano ni mingi mno, damage itakua kubwa mno.

Si twezi utu wala sibezi uwezo wa Dr Samia, ila tuwe wakweli.

Tanzania bado sana.

...Kidumu chama cha mapinduzi.
Liwalo na liwe kwanza mwanangu kala shavu la uwaziri changu nini kupingana na mwenyekiti.... Mtoto kautaka tumempa shida nini
 
Tuseme ukweli kilichotokea mkutano Mkuu ni mawimbi ila sunami itakuwa gharika Usalama wapo vizuri aisee
 
Tuseme ukweli kilichotokea mkutano Mkuu ni mawimbi ila sunami itakuwa gharika Usalama wapo vizuri
 
Wazee wangu wayao wa Songea, watu wa kuoa wake hadi wa 4 kweli wataenda kumpigia kura mwanamke awaongoze?

Imetosha CCM, tumeweka historia tayari.
Miaka mitano ni mingi mno, damage itakua kubwa mno.

Si twezi utu wala sibezi uwezo wa Dr Samia, ila tuwe wakweli.
Nashangaa yule Zbr ataongoza vipindi vitatu sijui katiba yao inasemaje
 
Mimi nina kadi ya muda mrefu.

Marekani nchi iliyoendelea kuliko zote duniani, nchi ambayo mwanaume anaweza kubadili jinsia, akakimbia mke na watoto na jamii ikamkubali.

Nchi hii kwa mara ya pili mfululizo imekataa kuwa na rais mwanamke. Wameona bora shetani kuliko mwanamke mara zote mbili. Sio kwamba Trump anapendwa sana, alishindwa na Biden mwaka 2020 tena akiwa rais.

Tanzania sisi wa mwisho kila kitu na chama changu ccm tunataka kuwaaminisha watanzania kwamba mjita wa mkoani Mara atampigia kura rais mwanamke tena anaevaa ushungi?

Wasukuma jirani zangu wazee wa wanawake weupe kweli watampigia kura mwanamke?

Wazee wangu wayao wa Songea, watu wa kuoa wake hadi wa 4 kweli wataenda kumpigia kura mwanamke awaongoze?

Imetosha CCM, tumeweka historia tayari.
Miaka mitano ni mingi mno, damage itakua kubwa mno.

Si twezi utu wala sibezi uwezo wa Dr Samia, ila tuwe wakweli.

Tanzania bado sana.

Kidumu chama cha mapinduzi.
Ccm wanaamini tume l, tise, polisib a watawabeba
 
Mimi nina kadi ya muda mrefu.

Marekani nchi iliyoendelea kuliko zote duniani, nchi ambayo mwanaume anaweza kubadili jinsia, akakimbia mke na watoto na jamii ikamkubali.

Nchi hii kwa mara ya pili mfululizo imekataa kuwa na rais mwanamke. Wameona bora shetani kuliko mwanamke mara zote mbili. Sio kwamba Trump anapendwa sana, alishindwa na Biden mwaka 2020 tena akiwa rais.

Tanzania sisi wa mwisho kila kitu na chama changu ccm tunataka kuwaaminisha watanzania kwamba mjita wa mkoani Mara atampigia kura rais mwanamke tena anaevaa ushungi?

Wasukuma jirani zangu wazee wa wanawake weupe kweli watampigia kura mwanamke?

Wazee wangu wayao wa Songea, watu wa kuoa wake hadi wa 4 kweli wataenda kumpigia kura mwanamke awaongoze?

Imetosha CCM, tumeweka historia tayari.
Miaka mitano ni mingi mno, damage itakua kubwa mno.

Si twezi utu wala sibezi uwezo wa Dr Samia, ila tuwe wakweli.

Tanzania bado sana.

Kidumu chama cha mapinduzi.
Kwanza Samia hana uwezo wa kujenga hoja.

CCM ilijikoroga sana juzi.

Bora hata Mpina alijikalia tuli.

Mnachaguaje Rais kama mnachagua katibu wa chama bila kufanya utafiti?
 
Mtumishi wa Mungu mwenye Mapepo.
Nimeshangaa sana anavyojinasibu kuwa ni mtumishi wa Mungu huku akiandika "matusi"!!!!
 

Attachments

  • 2025_01_22_22.12.31.jpg
    2025_01_22_22.12.31.jpg
    199.1 KB · Views: 2
Wenye akili wanaelewa ila mapunguani mlioshikiwa akili na ambao mnadhani mkiwa na mboro ndio kuleta maendeleo hamtaelewa.

So hoja zangu ni Kwa wanajitambua na wanao gauge mtu Kwa matokeo yake na sio Jinsia zenu.
Na wewe umeanza kutukana sasa.
 
Hata wapumbavu Huwa wanaojiita Wazalendo na ndio maana mnakimbia facts.

Nasisitiza usapoti au usisapoti ataapishwa Disemba Kwa sababu hakuna mvaa suruali yeyote anaweza kufikia Samia.kwa.delivery hayupo.
 
Mimi nina kadi ya muda mrefu.

Marekani nchi iliyoendelea kuliko zote duniani, nchi ambayo mwanaume anaweza kubadili jinsia, akakimbia mke na watoto na jamii ikamkubali.

Nchi hii kwa mara ya pili mfululizo imekataa kuwa na rais mwanamke. Wameona bora shetani kuliko mwanamke mara zote mbili. Sio kwamba Trump anapendwa sana, alishindwa na Biden mwaka 2020 tena akiwa rais.

Tanzania sisi wa mwisho kila kitu na chama changu ccm tunataka kuwaaminisha watanzania kwamba mjita wa mkoani Mara atampigia kura rais mwanamke tena anaevaa ushungi?

Wasukuma jirani zangu wazee wa wanawake weupe kweli watampigia kura mwanamke?

Wazee wangu wayao wa Songea, watu wa kuoa wake hadi wa 4 kweli wataenda kumpigia kura mwanamke awaongoze?

Imetosha CCM, tumeweka historia tayari.
Miaka mitano ni mingi mno, damage itakua kubwa mno.

Si twezi utu wala sibezi uwezo wa Dr Samia, ila tuwe wakweli.

Tanzania bado sana.

Kidumu chama cha mapindu
Ccm daima
 
Mimi nina kadi ya muda mrefu.

Marekani nchi iliyoendelea kuliko zote duniani, nchi ambayo mwanaume anaweza kubadili jinsia, akakimbia mke na watoto na jamii ikamkubali.

Nchi hii kwa mara ya pili mfululizo imekataa kuwa na rais mwanamke. Wameona bora shetani kuliko mwanamke mara zote mbili. Sio kwamba Trump anapendwa sana, alishindwa na Biden mwaka 2020 tena akiwa rais.

Tanzania sisi wa mwisho kila kitu na chama changu ccm tunataka kuwaaminisha watanzania kwamba mjita wa mkoani Mara atampigia kura rais mwanamke tena anaevaa ushungi?

Wasukuma jirani zangu wazee wa wanawake weupe kweli watampigia kura mwanamke?

Wazee wangu wayao wa Songea, watu wa kuoa wake hadi wa 4 kweli wataenda kumpigia kura mwanamke awaongoze?

Imetosha CCM, tumeweka historia tayari.
Miaka mitano ni mingi mno, damage itakua kubwa mno.

Si twezi utu wala sibezi uwezo wa Dr Samia, ila tuwe wakweli.

Tanzania bado sana.

Kidumu chama cha mapinduzi.
Huyu mama nchi ilimshinda kitambo tu, anachofanya sasa ni bongo movie tu au Ze Comedy.
 
Back
Top Bottom