BestOfMyKind
JF-Expert Member
- Apr 26, 2012
- 1,350
- 1,464
- Thread starter
- #241
Mungu atusaidie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wengine ni akina nani???1.Samia anajenga hactarws 500k za umwagiliaji Nchi nzima,na Bajeti ya 1.2 wengine wamewahi fanya?
Nionyeshe nataka twende kimoja baada ya kingine.Na nataka ushahidi Mimi ninazo nitakupa hapa.
Hata muungane hamuwezi shidana na Mimi Kwa takwimu na data.
Narudia hakuna Rais wa kumshinda Samia kwenye delivery Kwa chochote ikiwemo Ajira ambazo yule mtu wenu alishindwa.,Hakuna.
Ndiyo.... Kura za wavaa vimini na nywele za marehemu atazisikia kwenye bomba.Wewe ni mshenzi tu, kwahiyo kwakuwa anavaa ushungi/muislam ndio hafai, je angekuwa anavaa kimini na kuweka nyele za marehemu kichwani kwake ungekenua tu sio
Sio tuu Ajira takribani Kila sekta ,namba za Samia ni extra ordinary eg shule za msingi za kata Hadi mwaka Jana zilikuwa takribani 700 Mpya achilia mbali vyumba vya madarasa,high schools,Vyuo vya Veta ,Vyuo Vikuu nk.Nakubaliana na wewe. Hakuna Rais aliyeajiri watumishi wengi ndani ya miaka michache nchi hii kama Samia.
Numbers dont lie.
Hoja yenu ya kijinga hapa si ni Jinsia au hujasoma mada ?Wengine ni akina nani???
Mwalimu,JK,Mwinyi,Mkapa au Jm!!!??.
Sahihi. Kwenye maeneo mengi numbers zinambeba sana Samia. Hata kwenye utalii. Kwa sasa tunafanya vizuri sana.Sio tuu Ajira takribani Kila sekta ,namba za Samia ni extra ordinary eg shule za msingi za kata Hadi mwaka Jana zilikuwa takribani 700 Mpya achilia mbali vyumba vya madarasa,high schools,Vyuo vya Veta ,Vyuo Vikuu nk.
Samia unaweza mchukia Kwa chuki binafsi za kijinga ila sio kwenye namba za delivery ya vitu.
Sijaona sekta hata Moja ambayo Samia ame underperform ambae anaijua anitajie,hata huko wanakodai malipo yanasua sua ni Kwa sababu ya miradi mikubwa aliyoasisi Mwendazake bila utaratibu ndio imetatiza mambo ikizingatiwa alitumia mikopo ya mda mfupi yaani commercial loans matokeo yake hela nyingi inaenda kulipa Madeni.Sahihi. Kwenye maeneo mengi numbers zinambeba sana Samia. Hata kwenye utalii. Kwa sasa tunafanya vizuri sana.
Sina shida kubwa na Samia. Nina shida kubwa na CCM.
Porojo za kujifariji.CCM haiendi kuuza ngonjera Bali kuonesha kazi kama hizi 👇 👇
View: https://x.com/sisiniTanzania/status/1882053855451533568?t=eV2yMi4fcUBA5uLrFEI4xA&s=19
Kwa kazi hizo unadhani Kwa nini isichavuliwe?
Nachojua Ili Wapinzani washinde lazima.ccm wakosee uteuzi wa wagombea wao kinyume na hapo hakuna Upinzani Tanzania.
Kabla ya hapo alikuwa Waziri tuu na ni Samia ambae alimpa kazi ya Makamu Rais na kabla ya hicho Cheo hakuna Cha maana kilifanyika huko Kigoma.Huwajui waha ww! Kukaa kando kwa Dk Mpango ccm hampati kitu pale Kigoma hata kama mliwajengea hiyo Hospital
Mimi nina kadi ya muda mrefu.
Marekani nchi iliyoendelea kuliko zote duniani, nchi ambayo mwanaume anaweza kubadili jinsia, akakimbia mke na watoto na jamii ikamkubali.
Nchi hii kwa mara ya pili mfululizo imekataa kuwa na rais mwanamke. Wameona bora shetani kuliko mwanamke mara zote mbili. Sio kwamba Trump anapendwa sana, alishindwa na Biden mwaka 2020 tena akiwa rais.
Tanzania sisi wa mwisho kila kitu na chama changu ccm tunataka kuwaaminisha watanzania kwamba mjita wa mkoani Mara atampigia kura rais mwanamke tena anaevaa ushungi?
Wasukuma jirani zangu wazee wa wanawake weupe kweli watampigia kura mwanamke?
Wazee wangu wayao wa Songea, watu wa kuoa wake hadi wa 4 kweli wataenda kumpigia kura mwanamke awaongoze?
Imetosha CCM, tumeweka historia tayari.
Miaka mitano ni mingi mno, damage itakua kubwa mno.
Si twezi utu wala sibezi uwezo wa Dr Samia, ila tuwe wakweli.
Tanzania bado sana.
Kidumu chama cha mapinduzi.
Acha hizo. Hivi ni kweli mnafuata hiyo dini ipasavyo? Basi kwa taarifa yako hakuna imam wa nchi hii anaempinga mama SamiaHapana, uislam ni dini nzuri sana.
Hoja yangu mimi ni kwamba, kama mwanachama wa CCM inakua ngumu kumshawishi imam mwenye wake wawili na anaeamini "arijalu qawamuna ala nisaa" - "" Mwanaume ni kiongozi wa mwanamke"" ampe kura mwanamke ili aongoze.
Mwanamke ambae hata kwenye mimbar hawezi kusimama.
Kabla ya hapo alikuwa Waziri tuu na ni Samia ambae alimpa kazi ya Makamu Rais na kabla ya hicho Cheo hakuna Cha maana kilifanyika huko Kigoma.
So Samia na CCM haiendi kubishana Kwa ujinga wa vijiweni inaenda kuonesha kazi ilisofanya na kuomba ridhaa ya kuendelea na kazi 👇👇
View: https://www.instagram.com/p/DFCalKMtfOc/?igsh=MWplM2ZiODhxMW80Nw==
Kabla ya hapo alikuwa Waziri tuu na ni Samia ambae alimpa kazi ya Makamu Rais na kabla ya hicho Cheo hakuna Cha maana kilifanyika huko Kigoma.
So Samia na CCM haiendi kubishana Kwa ujinga wa vijiweni inaenda kuonesha kazi ilisofanya na kuomba ridhaa ya kuendelea na kazi 👇👇
View: https://www.instagram.com/p/DFCalKMtfOc/?igsh=MWplM2ZiODhxMW80
Kabla ya hapo alikuwa Waziri tuu na ni Samia ambae alimpa kazi ya Makamu Rais na kabla ya hicho Cheo hakuna Cha maana kilifanyika huko Kigoma.
So Samia na CCM haiendi kubishana Kwa ujinga wa vijiweni inaenda kuonesha kazi ilisofanya na kuomba ridhaa ya kuendelea na kazi 👇👇
View: https://www.instagram.com/p/DFCalKMtfOc/?igsh=MWplM2ZiODhxMW80Nw==
Hiuo
View:
Waha tukishasema hekaye yaani hapana tunamaanisha. ngoja October ifike ndo utaelewa nnachomaanisha
Mama hajawahi feli atalindwa Kwa wivu mkubwa Kwa maslahi ya Tanzania.Waambie hao Manyumbu. Nakushukuru kwa kuwapa ushahidi pasi na Shaka ya kazi mzuri afanyayo mama
Chama chako kitashinda kwa nguvu ya dola,hofu yako labda ya kimaadili kwamba hupendi wizi.Mimi nina kadi ya muda mrefu.
Marekani nchi iliyoendelea kuliko zote duniani, nchi ambayo mwanaume anaweza kubadili jinsia, akakimbia mke na watoto na jamii ikamkubali.
Nchi hii kwa mara ya pili mfululizo imekataa kuwa na rais mwanamke. Wameona bora shetani kuliko mwanamke mara zote mbili. Sio kwamba Trump anapendwa sana, alishindwa na Biden mwaka 2020 tena akiwa rais.
Tanzania sisi wa mwisho kila kitu na chama changu ccm tunataka kuwaaminisha watanzania kwamba mjita wa mkoani Mara atampigia kura rais mwanamke tena anaevaa ushungi?
Wasukuma jirani zangu wazee wa wanawake weupe kweli watampigia kura mwanamke?
Wazee wangu wayao wa Songea, watu wa kuoa wake hadi wa 4 kweli wataenda kumpigia kura mwanamke awaongoze?
Imetosha CCM, tumeweka historia tayari.
Miaka mitano ni mingi mno, damage itakua kubwa mno.
Si twezi utu wala sibezi uwezo wa Dr Samia, ila tuwe wakweli.
Tanzania bado sana.
Kidumu chama cha mapinduzi.
Wamama hawapendi Samia,hasa hasa alivyowavunjia vibanda kipindi kileUna hoja usikilizwe,
hapo hujazungumzia wanawake walivyo na chuki ya wao kwa wao,