Rais Samia, unda tume huru kuchunguza mauaji ya Hamza

Wewe rejesha milion 400 na madini ya marehemu Hamza kwanza kubla haujaendelea kumbambikia marehemu tuhuma feki za ugaidi wakati yeye aliwaua Asikari wawili huku wengine wakiuana wenyewe kwa wenyewe kwa kutupa risasi hovyo
Serious? Kama ndio ukweli uwekeni wazi, Ukweli utatuweka huru
 
Tunataka kuujua ukweli, na ukweli hauwezi kutoka kwa mtuhumiwa. Polisi nao, kama wanataka kujisafisha na tuhuma hizi, nao wasisitize uchunguzi ufanywe na chombo kingine, kilicho huru.
 
Kuna mtu anakuwa gaidi kwa vile tu mtu fulani katamka kuwa ni gaidi?

Kauli yako ni ya kutafuta ridhisho la moyo wako, haina maana yoyote.
Unajaza server kutetea upuuzi wa gaidi na wewe Inaonesha una damu ya kigaidi
 
Kwakweli ni aibu! Kuna haja ya IGP kuwajibishwa.

Sent from my G80 using JamiiForums mobile app
 
Wanataka kuhalalisha kesi ya Mbowe mbele ya jamii na dunia.
Badala yake wanaidhalilisha serikali.

Sent from my G80 using JamiiForums mobile app
 
Polisi asilimia kubwa ni wahuni Sana ,yaan wanaishi Kama Digi Digi ujanja ujanja mwingi.

Haki nakuambia yule Hamza aliporwa na hao polisi maana wamezoea pesa za bure bure ,hili la ugaidi ni kuficha tu aibu na kufunika hii picha mbaya kwa polisi.

Na hii issue imechezwa na vigogo wa polisi Ila walioucheza huu mziki ni vidagaa wa polisi
 
Hawawezi kuunda tume huru, wanataka kutulewesha na maneno yao ili tuwaamini, wanajua Tume huru inaweza kuja na maneno tofauti na tuliyoambiwa na DCI.
Kuna huyu jamaa anaitwa Seleman 0715132277 ni rafiki wa marehemu Hamza na pia ni rafiki mkubwa wa Polisiccm anasema kuwa rafiki yake Hamza hakuwa gaidi anao ushahidi kuwa Polisiccm waliuana wenyewe kwa wenyewe kwa kurusha risasi hovyo kasema marehemu Hamza aliwaua Polisi wawili tu hao wengine na wale waliojeruhiwa ni kazi ya Polisi kurusha risasi bila mpangilio
 
Pesa milion 400 na madini ya Hamza viwekwenda na mungu atawalaani wote waliomdhulumu marehemu Hamza
 
Kwa nini isiundwe tume ya kuchunguza mauaji ya polisi?
Kwa mujibu wa Seleman ambaye ni msiri mkuu wa Polisi anadai marehemu Hamza aliwaua Polisiccm wawili tu, hao wengine waliuana wenyewe kwa wenyewe kwa kurusha risasi hovyo
 
Siku hizi imekua ni 'style' wanaojitambua kubambikiwa kesi za ugaidi.Huu mwendo wanaokwenda nao Jeshi la Polisi,wataichafua hii nchi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…