Pre GE2025 Rais Samia, usigombee uchaguzi wa 2025. Achia wengine wapambanie karata zao

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Usimuamshe aliyelala
 
Mtoa mada hata kama hujui kusoma hata picha huoni mama anavyo furahiwa kila anapoenda kwenye ziara zake mfano mzuri ni Katavi,Sumbawanga,Songwe na Sasa Morogoro watu wanafuraha na mama kweli kweli
Endeleeni kumdanganya
 
Kweli kabisa nami nashauri apumzike...2025 awaachie Tanganyika yetu.....tupambane wenyewe..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…