Rais Samia, usiichukue hiyo pesa Tsh. Milioni 120,000,000 ya fomu ya kugombea Urais

Rais Samia, usiichukue hiyo pesa Tsh. Milioni 120,000,000 ya fomu ya kugombea Urais

Then what will be happening?
Kunaweza kuwa na miongozo ya kuchangia kampeni. Ratiba, viwango, uwazi zaidi kwenye matumizi, kutenganisha pesa za kampeni na pesa za mambo mengine.

Angalau kunaweza kuwa na point ya kuanzia kushitaki kama kuna uhuni unafanyika.

Hata ikiwa mfumo ni mbaya na watu hawafuati sheria, kuna tofauti kati ya sehemu ambayo kuna sheria na watu hawazifuati, na sehemu ambayo hakuna hata sheria.

Pale ambapo kuna sheria na watu hawazifuati unaweza juanza kulalamika kwamba watu hawafuati sheria, ukaweka utaratibu wa kulazimisha sheria zifuatwe.

Pale ambapo huna hata sheria huwezi kulazimisha watu wafuate sheria, kwa sababu hakuna sheria.
 
Nimeshtushwa na habari kuwa wanawake kwenye kongamano lao lililokutana kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee, wamekuchangia sh 120,000,000 kwa ajili ya form ya Urais 2025. Pamoja na kuwa form hiyo ina gharimu sh milioni 1 tu. Mama tunaujua fika kuwa Una uwezo wa kujilipia gharama ya form hiyo yaani sh milioni moja tu. Wanawake hao wangekuchangia kiasi halisi sh milioni moja tu na zinazozidi waelekeze ziende ziwasaidie wanawake na wasichana Watanzania wenye uhitaji mkubwa zaidi lakini siyo wewe Rais Samia. Mfano kwenye Radio Free Africa tarehe 10 March 2024 asubuhi, walirusha habari ya mama mmoja amelazwa hospitali ya Seketoure huko Mwanza yuko hoi. Mama huyo hana pesa ya matibabu, hana chakula na hana hata mtu wa kumuudumia. Mama huyo anaudumiwa na mtoto wake wa kiume wa miaka 10 kwa kila kitu hata kumuosha akijisaidia maana hajiwezi kabisa. Kongamano hilo la wanawake lingemsaidia mama mwenzao kama huyo ambaye anakosa matibabu, chakula na huduma ya kujisitili. Rais wangu Kataa pesa hizo ziende kwa wanawake wenzenu na wasichana wanaokosa ada vyuoni.
Achukue na akaitumie mahala stahiki kama Hawa wanawake wa Mbeya hapa 👇

View: https://www.instagram.com/p/C4Ss1_2PPbq/?igsh=a2U5ZHplYXN5NHB0
 
Nimeshtushwa na habari kuwa wanawake kwenye kongamano lao lililokutana kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee, wamekuchangia sh 120,000,000 kwa ajili ya form ya Urais 2025.

Pamoja na kuwa form hiyo ina gharimu sh milioni 1 tu. Mama tunaujua fika kuwa Una uwezo wa kujilipia gharama ya form hiyo yaani sh milioni moja tu.

Wanawake hao wangekuchangia kiasi halisi sh milioni moja tu na zinazozidi waelekeze ziende ziwasaidie wanawake na wasichana Watanzania wenye uhitaji mkubwa zaidi lakini siyo wewe Rais Samia.

Mfano kwenye Radio Free Africa tarehe 10 March 2024 asubuhi, walirusha habari ya mama mmoja amelazwa hospitali ya Seketoure huko Mwanza yuko hoi.

Mama huyo hana pesa ya matibabu, hana chakula na hana hata mtu wa kumuudumia.

Mama huyo anaudumiwa na mtoto wake wa kiume wa miaka 10 kwa kila kitu hata kumuosha akijisaidia maana hajiwezi kabisa.

Kongamano hilo la wanawake lingemsaidia mama mwenzao kama huyo ambaye anakosa matibabu, chakula na huduma ya kujisitili.

Rais wangu Kataa pesa hizo ziende kwa wanawake wenzenu na wasichana wanaokosa ada vyuoni.
Umenena vema,Nchi ina maajabu sana hii
 
Nimeshtushwa na habari kuwa wanawake kwenye kongamano lao lililokutana kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee, wamekuchangia sh 120,000,000 kwa ajili ya form ya Urais 2025.

Pamoja na kuwa form hiyo ina gharimu sh milioni 1 tu. Mama tunaujua fika kuwa Una uwezo wa kujilipia gharama ya form hiyo yaani sh milioni moja tu.

Wanawake hao wangekuchangia kiasi halisi sh milioni moja tu na zinazozidi waelekeze ziende ziwasaidie wanawake na wasichana Watanzania wenye uhitaji mkubwa zaidi lakini siyo wewe Rais Samia.

Mfano kwenye Radio Free Africa tarehe 10 March 2024 asubuhi, walirusha habari ya mama mmoja amelazwa hospitali ya Seketoure huko Mwanza yuko hoi.

Mama huyo hana pesa ya matibabu, hana chakula na hana hata mtu wa kumuudumia.

Mama huyo anaudumiwa na mtoto wake wa kiume wa miaka 10 kwa kila kitu hata kumuosha akijisaidia maana hajiwezi kabisa.

Kongamano hilo la wanawake lingemsaidia mama mwenzao kama huyo ambaye anakosa matibabu, chakula na huduma ya kujisitili.

Rais wangu Kataa pesa hizo ziende kwa wanawake wenzenu na wasichana wanaokosa ada vyuoni.
Ushauri mzuri
 
,angekuwa anajitambuwa asingegombea tena uraisi
Well said!
Huyu bibi ukimwuliza kuhusu safari yake ya uraisi ikoje...ALIKOTOKA, ALIKO na ANAKOELEKEA, jibu ni kwamba hajui lolote wala chochote.

Yupo yupo tu bora liende. Amechoka na kuchakaa kabisa.
Ni kwa vile tu hajitambui, angekuwa wa kujitambua angefuata ushauri wako...ila ndio hivyo tena!
 
Yanga na Simba wakifunga goli wanalipwa na wenye mahitaji bado wapo. Haya mambo huwa hayaishi.
 
Nimeshtushwa na habari kuwa wanawake kwenye kongamano lao lililokutana kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee, wamekuchangia sh 120,000,000 kwa ajili ya form ya Urais 2025.

Pamoja na kuwa form hiyo ina gharimu sh milioni 1 tu. Mama tunaujua fika kuwa Una uwezo wa kujilipia gharama ya form hiyo yaani sh milioni moja tu.

Wanawake hao wangekuchangia kiasi halisi sh milioni moja tu na zinazozidi waelekeze ziende ziwasaidie wanawake na wasichana Watanzania wenye uhitaji mkubwa zaidi lakini siyo wewe Rais Samia.

Mfano kwenye Radio Free Africa tarehe 10 March 2024 asubuhi, walirusha habari ya mama mmoja amelazwa hospitali ya Seketoure huko Mwanza yuko hoi.

Mama huyo hana pesa ya matibabu, hana chakula na hana hata mtu wa kumuudumia.

Mama huyo anaudumiwa na mtoto wake wa kiume wa miaka 10 kwa kila kitu hata kumuosha akijisaidia maana hajiwezi kabisa.

Kongamano hilo la wanawake lingemsaidia mama mwenzao kama huyo ambaye anakosa matibabu, chakula na huduma ya kujisitili.

Rais wangu Kataa pesa hizo ziende kwa wanawake wenzenu na wasichana wanaokosa ada vyuoni.
Ushauri wako ni mzuri sana tatizo uwa awakubali ushauri
 
Nimeshtushwa na habari kuwa wanawake kwenye kongamano lao lililokutana kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee, wamekuchangia sh 120,000,000 kwa ajili ya form ya Urais 2025.

Pamoja na kuwa form hiyo ina gharimu sh milioni 1 tu. Mama tunaujua fika kuwa Una uwezo wa kujilipia gharama ya form hiyo yaani sh milioni moja tu.

Wanawake hao wangekuchangia kiasi halisi sh milioni moja tu na zinazozidi waelekeze ziende ziwasaidie wanawake na wasichana Watanzania wenye uhitaji mkubwa zaidi lakini siyo wewe Rais Samia.

Mfano kwenye Radio Free Africa tarehe 10 March 2024 asubuhi, walirusha habari ya mama mmoja amelazwa hospitali ya Seketoure huko Mwanza yuko hoi.

Mama huyo hana pesa ya matibabu, hana chakula na hana hata mtu wa kumuudumia.

Mama huyo anaudumiwa na mtoto wake wa kiume wa miaka 10 kwa kila kitu hata kumuosha akijisaidia maana hajiwezi kabisa.

Kongamano hilo la wanawake lingemsaidia mama mwenzao kama huyo ambaye anakosa matibabu, chakula na huduma ya kujisitili.

Rais wangu Kataa pesa hizo ziende kwa wanawake wenzenu na wasichana wanaokosa ada vyuoni.
Aminaaaaa....!
 
Unampangiaje mama wa watu cha kufanya acha yeye mwenyewe aamue sio mjinga au hajui anachofanya..

Alafu hayo mambo ni yawanawake kwenye events yao na unajua wanawake hasa wa pwani na kutunzana kwenye sherehe ni kama uji na mgonjwa.

Waachie wenyewe..
wanaandaa mazingira ya kukumbukwa kwenye ufalme wa bimkubwa hio ni technical corruption
 
Ngoja tumsubiri yeye mwenyewe mama atanyamaza na hizo hela au ataongea jinsi atakavyozitumia ni mtu mzima huyo acha afanye maamuzi mwenyewe

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
Tunazungumzia nchi yetu hii pendwa au nchi nyingine?
Sheria zipo lakini inategemea wewe ni nani, unamjua nani na una kiasi gani mkoni mwako? Na hii wala si porojo za kijiweni, kiongozi mmoja mkubwa na mwenye nguvu amenukuliwa hivi kwamba akikiri kwamba huwezi kupata haki kwenye mamlaka za kisheria kama huna huna fedha au humjui mtu kwenye mamlaka. Ni ukweli mchungu.
 
Nimeshtushwa na habari kuwa wanawake kwenye kongamano lao lililokutana kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee, wamekuchangia sh 120,000,000 kwa ajili ya form ya Urais 2025.

Pamoja na kuwa form hiyo ina gharimu sh milioni 1 tu. Mama tunaujua fika kuwa Una uwezo wa kujilipia gharama ya form hiyo yaani sh milioni moja tu.

Wanawake hao wangekuchangia kiasi halisi sh milioni moja tu na zinazozidi waelekeze ziende ziwasaidie wanawake na wasichana Watanzania wenye uhitaji mkubwa zaidi lakini siyo wewe Rais Samia.

Mfano kwenye Radio Free Africa tarehe 10 March 2024 asubuhi, walirusha habari ya mama mmoja amelazwa hospitali ya Seketoure huko Mwanza yuko hoi.

Mama huyo hana pesa ya matibabu, hana chakula na hana hata mtu wa kumuudumia.

Mama huyo anaudumiwa na mtoto wake wa kiume wa miaka 10 kwa kila kitu hata kumuosha akijisaidia maana hajiwezi kabisa.

Kongamano hilo la wanawake lingemsaidia mama mwenzao kama huyo ambaye anakosa matibabu, chakula na huduma ya kujisitili.

Rais wangu Kataa pesa hizo ziende kwa wanawake wenzenu na wasichana wanaokosa ada vyuoni.
Hakuna mchango hapo ni michezo tu ya kisiasa..
 
Kwani zile zilizochangwa na wale waalimu hazikutosha kuchukua Ile fomu? Au ni heshima kila kundi likachanga mwisho Mheshimiwa ataamua mwenyewe achukue fomu kwa pesa ya kundi gani?
 
Inasikitisha sana ushauri mzuri, ila hawezi kuufuata, ashalewa madaraka,angekuwa anajitambuwa asingegombea tena uraisi angewaachia na yeye akae pembeni kuitafuta akhera yake,
Kwa hiyo yeye Hana haki ya kuongoza hii nchi? Ila mabwana zako ndo wanafaa et! Acha kuvuta skanka
 
Back
Top Bottom